Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MFAHAMU KIUNDANI MKALI WA RHUMBA KAHANGA DEKULA "VUMBI"

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Mahojiano ya Dekula Kahanga "Vumbi" na Kwanza Production

Karibu katika mahojiano ya Kwanza Production na Dekula Kahanga "Vumbi" Vumbi ambaye anamiliki Dekula Band nchini Sweden. Amezungumzia mambo mengi ikiwa ni pamoja na uzinduzi wa albamu yake mpya ya Shujaa Mamadou Ndala iliyozinduliwa Aprili 23 na 24 mwaka huu  huko Sweden. Pia, ametoa ushauri kwa wasanii wa Afrika Mashariki wanaotaka kufanya muziki nchi za Scandinavia. KARIBU UUNGANE NASI Kwa maoni na ama ushauri usisite kuwasiliana nasi kupitia kwanzaproduction at gmail.com

 

11 years ago

Tanzania Daima

DEKULA KAHANGA ‘VUMBI’: Baada ya msoto, sasa alia kivulini Sweden

DEKULA Kahanga ‘Vumbi’, Aprili 4, mwaka huu, alitimiza miaka 52 ya kuzaliwa kwake. Alizaliwa katika Kijiji cha Lumera, Wilaya ya Kivu, kusini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Ni...

 

9 years ago

StarTV

Soma kiundani kuhusu Taharuki ya Mv Serengeti

Abiria pamoja na wakazi wa Manispaa ya Bukoba wameingiwa na taharuki baada ya meli ya MV Serengeti kushindwa kutia nanga kwa saa tano katika bandari ya Bukoba.

Meli hiyo iliyochukua nafasi ya MV. Victoria kutoa huduma ya usafiri kati ya Mwanza na Bukoba inadaiwa kushindwa kutia nanga kutokana na hali mbaya ya hewa iliyosababishwa na upepo mkali katika ufukwe wa ziwa Victoria.

Majira ya saa kumi na moja alfajiri ,muda ambao Meli ya Mv Serengeti huwasili bandarini ,lakini jana hali ni tofauti...

 

10 years ago

Africanjam.Com

FAHAMU KIUNDANI REKODI YA JEZI NAMBA 10 DUNIANI

Ukifatilia vizuri washindi wa Ballon d’Or tuzo ya mchezaji bora wa dunia Michael Owen, Ronaldinho Gaucho na Ricaldo Kaka wote walikua wakivaa jezi namba 10.Moja ya kukua kwa umaarufu wa jezi no. 10 ni kuwahi kuvaliwa na wachezaji bora wa muda wote Ulimwenguni, Pele pamoja na Diego Armando Maradona. Pia wachezaji wanaowika sasa Lionel Messi, Neymar na Wayne Rooney wote wanavaa jezi namba 10.

Hilo limechangia kwa kiasi kikubwa jezi hii kuwa na mvuto wa aina yake na kupendwa na mastaa wengi wa...

 

9 years ago

StarTV

Fahamu kiundani tukio la Familia kuteketea kwa moto Dar

Hii ni nyumba iliyoteketea kwa moto maeneo ya

Hii ni nyumba iliyoteketea kwa moto maeneo ya Buguruni Malapa .

 Watu tisa wa familia moja wameteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo huko Buguruni Malapa jijini Dar es Salaam, mashuhuda wamethibitisha.

Tukio hilo la kusikitisha limetokea Mtaa wa Ulam ambapo, bibi, watoto watatu wa kike na wajukuu watano waliokuwa wanaishi nyumba namba 40 wameteketea.

Mashuhuda wa tukio hilo wameliambia Mwanannchi Digital kuwa baba wa familia hiyo amenusurika kwa kuwa hakuwepo nyumbani, na kwamba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

WAKUDEKA: Chipukizi ‘Dansi Rhumba’ anayekosa imani na Ma-DJ

VIJANA wengi wa Kitanzania ambao wanaamua kuingia kwenye soko la muziki hivi sasa hujikita zaidi katika muziki wa Bongo Fleva au hip hop. Licha ya wengi wao kujishughulisha na muziki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani