Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAKUDEKA: Chipukizi ‘Dansi Rhumba’ anayekosa imani na Ma-DJ

VIJANA wengi wa Kitanzania ambao wanaamua kuingia kwenye soko la muziki hivi sasa hujikita zaidi katika muziki wa Bongo Fleva au hip hop. Licha ya wengi wao kujishughulisha na muziki...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tabu Ley: Mfalme wa Rhumba aliyeacha watoto 68

Kama kuna mwanamuziki ambaye ameacha historia ya pekee katika maisha yake, si mwingine ni Pascal-Emmanuel Sinamoyi au Tabu Ley (76) kama anavyojulikana na wengi

 

10 years ago

Michuzi

SIKILIZA RHUMBA JIPYA LA ISHA MASHAUZI A.K.A JIKE LA SIMBA

NYOTA wa miondoko ya taarab, Isha Mashauzi amekuja kivingine ambapo ameachia rhumba kali la miondoko ya muziki wa dansi. Ngoma hiyo inakwenda kwa jina la “Nimlaumu Nani”. Ni wimbo wa dakika tano uliorekodiwa katika studio ya Soft Records chini ya producer Pitchou Meshaa. Sauti zote utakazozisikia katika wimbo huu, zimewekwa na Isha Mashauzi mwenyenye – ameimba peke yake mwanzo mwisho.

 

11 years ago

Tanzania Daima

KING KESTER EMENEYA: Nguli wa rhumba aliyefariki na rekodi ya mahudhurio DRC

FEBRUARI 13 mwaka huu, mashabiki na wadau wa muziki wa rhumba Afrika Mashariki na Kati, walipata pigo la aina yake, baada ya mkali wa muziki huo kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia...

 

10 years ago

Michuzi

KITU KIPYA KABISA KUTOKA KWA ISHA MASHAUZI “NIMPE NANI” …NI ZOUK RHUMBA LENYE UTAMU WA MASAUTI

Wala hakosei kusema ‘kujua kazi ni raha’. Isha Mashauzi anakushuka tena kivingine na wimbo mpya kabisa “Nimpe Nani” unaodhihirisha kuwa anaijua vema kazi yake.

Hii ni ‘single’ yake ya pili nje ya taarab ukiacha ule wa kwanza “Nimlaumu Nani” uliopigwa katika miondoko ya rhumba.

“Nimpe Nani” ni wimbo unaoelea kwenye miondoko ya zouk rhumba lakini ukikolezwa kwa mbali na vionjo vya mduara.

Wimbo huo wa dakika tatu na nusu ambao umerekodiwa katika studio za C9 Records chini ya producer C9...

 

10 years ago

Dewji Blog

Njoo uanze week — end yako kwa kusakata Rhumba na Skylight Band leo Thai Village-Masaki

DSC_0015

Divas wa Skylight Band kutoka kushoto Aneth Kushaba AK47, Mary Lucos na Digna Mbepera kwa pamoja wakitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye kiwanja chao cha nyumbani Thai Village Masaki jijini Dar.

DSC_0016

Mary Lucos akifanya yake jukwaani.

DSC_0005

Hashim Donode a.k.a Mzee wa Kiduku akitoa burudani kwa wapenzi wa Skylight  Band (hawapo pichani) huku akipewa sapoti na Digna Mbepera pamoja na Sam Mapenzi.

DSC_0028

Sam Mapenzi (kulia) sambamba na Sony Masamba (katikati) pamoja na Joniko...

 

11 years ago

GPL

BONGO DANSI IMEPATWA NA NINI?

Mzee wa Farasi, Ali Choki. KWENU,
Wanamuziki na wamiliki wa bendi za dansi nchini maarufu zaidi kama Bongo Dansi. Salamu sana. Mimi ni mzima wa afya njema na ninaendelea na mchakamchaka wa maisha kama kawaida. Kwa hakika mnastahili barua hii, maana nimewasahau kwa muda mrefu. Bado nachanganyikiwa, najiuliza: Hivi muziki wenu umepatwa na nini? Dada Asha Baraka, tatizo ni nini? Mzee wa Farasi, Ali Choki imekuwaje kaka?...

 

10 years ago

Mwananchi

Muziki ni zaidi ya dansi na Starehe -3

Nimeajiriwa kufanya warsha za muziki, siku tatu mfululizo. Chumba nilichopo kimepambwa picha za rangi nzuri ili kuwapendeza na kuwatuliza watoto. Hawa ni walemavu wa aina mbalimbali. Wapo walio katika vigari vinavyosukumwa , baadhi hawawezi kupumua, wana mirija inayopitia chupa za hewa, wengine wameumia kiasi ambacho ubongo au mioyo yao inaendeshwa kwa betri maalumu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tikisa Dansi kivumbi leo

MAKUNDI saba yaliyoingia hatua ya robo fainali ya shindano la kucheza muziki liitwalo Dance Battling, leo usiku yataonyeshana umahiri wa kucheza miondoko mbalimbali katika shoo ya nguvu itakayofanyika katika Ukumbi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani