BONGO DANSI IMEPATWA NA NINI?

Mzee wa Farasi, Ali Choki. KWENU, Wanamuziki na wamiliki wa bendi za dansi nchini maarufu zaidi kama Bongo Dansi. Salamu sana. Mimi ni mzima wa afya njema na ninaendelea na mchakamchaka wa maisha kama kawaida. Kwa hakika mnastahili barua hii, maana nimewasahau kwa muda mrefu. Bado nachanganyikiwa, najiuliza: Hivi muziki wenu umepatwa na nini? Dada Asha Baraka, tatizo ni nini? Mzee wa Farasi, Ali Choki imekuwaje kaka?...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
HATIMAYE BONGO DANSI YATIMIZA MWAKA MMOJA

BONGO DANSI ni kundi linalopatikana kwenye mtandao wa Facebook (kama Facebook Group) lenye lengo ya kujadili na kuinua muziki wa dansi wa Tanzania sambamba na kuwaunganisha wadau mbalimbali wa tasnia ya muziki wa dansi Tanzania wakiwemo washabiki, wanamuziki, waandishi wa habari, mameneja na wamiliki wa bendi. Mpaka sasa kundi ...
11 years ago
Michuzi18 Aug
KUNDI LA BONGO DANSI LA SHEREHEKEA MWAKA MMOJA WA KUANZISHWA KWAKE NA VIJANA JAZZ
10 years ago
Vijimambo
Ngoma Africa band na Jinamizi lao la Bongo Dansi barani ulaya lazidi kuwanasa washabiki

10 years ago
Mwananchi12 Jul
Muziki ni zaidi ya dansi na Starehe -3
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
Tikisa Dansi kivumbi leo
MAKUNDI saba yaliyoingia hatua ya robo fainali ya shindano la kucheza muziki liitwalo Dance Battling, leo usiku yataonyeshana umahiri wa kucheza miondoko mbalimbali katika shoo ya nguvu itakayofanyika katika Ukumbi...
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Mchawi muziki wa dansi ni wanamuziki wenyewe
AHLANWASHLAN msomaji wa safu ya Busati. Leo nitazungumzia anguko la muziki wa dansi nchini. Kama wengi tujuavyo, muziki wa dansi hivi sasa umepoteza umaarufu wake kwa wadau huku waangushaji wa...
11 years ago
Michuzi06 Apr
TBC YAKUTANISHA WADAU WA MUZIKI WA DANSI
11 years ago
Mwananchi17 May
Muziki wa dansi umejinyonga na kamba yake?
11 years ago
GPL
WADAU WA MUZIKI WA DANSI WAKUTANISHWA NA TBC