Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ngoma Africa band na Jinamizi lao la Bongo Dansi barani ulaya lazidi kuwanasa washabiki

Imebainika kuwa bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-ughaibuni almaarufu viumbe wa ajabu Anunnaki Alien,inayoongoza na mwanamuziki Ebrahim Makunja aka kamanda Ras Makunja,bendi hiyo imejukuta ipo katika hali ya kukosa usingizi tena baada ya kutakiwa kutumbuiza maomyesho zaidi katika msimu ujao wa joto,watayarishaji wa maonyesho makubwa ya nje barani ulaya wanashinikizwa na washabiki wao lazima waipandishe jukwaani Ngoma Africa Band kutokana na mdundo wao...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

NGOMA AFRICA BAND NA MZIMU WAO WA MZIKI WA DANSI ! WENYE MVUTO MKUBWA BARANI ULAYA

Bendi maarufu ya mziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band,ni bendi ya kwanza ya kiafrika iliyojiwekea nafasi ya pekee katika nyoyo za washabiki uko ughaibuni.Bendi hiyo ambayo imetajwa kuwa ndio bendi ya kwanza ya kiafrika kutumia muziki wake kutoka uswahilini kama daraja la kuwafikia washabiki wake  katika kona zote duniani,pia imetajwa na vianzo vya habari vya kimataifa  kuwa  mdundo wa mziki wake umekuwa ni urimbo unao wanasa na kuwatia kiwewe washabiki, popote pale duniani.Bendi ya...

 

11 years ago

Michuzi

FFU wa Ngoma Africa Band wawatia wazimu washabiki Tubingen,Ujerumani

Tubingen,Ujerumani,Ilikuwa usiku  jumamosi  19.Julai 2014 bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya "Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni " imefanikiwa tena kuwatia wazimu malefu ya washabiki katika maonyesho makubwa ya International African Festival 2014 mjini Tubingen,Ujerumani. 
Bendi hiyo iliyobatizwa majina mengi ya utani na washabiki wake  imejikuta inaongeza idadi ya maelfu ya washabiki katika maonyesho yake.
Katika hali isiyo ya kawaida usiku wa jumamosi 19 Julai 2014 Ngoma Africa...

 

11 years ago

Michuzi

NGOMA AFRICA BAND AKA FFU-UGHAIBUNI JINO KWA JINO NA WASHABIKI WA TUBINGEN, UJERUMANI MWISHO MWA WIKI HII !

Tubingen,Ujerumani,Washabiki na wadau wa muziki nchini Ujerumani wanatarajia kujimwaga katika maonyesho ya 5th International African Festival Tubingen 2014, Ujerumani, yanayoanza wiki hii 17 Julai, 2014 hadi 20 Julai, 2014ambako bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band inatarajiwa kutumbuiza Usiku wa jumamosi katika maonyesho hayo.Bendi hiyo  inayoongozwa na kamanda Ras Makunja, kama ujuavyo ni yenye mazoea ya kuwatia kiwewe washabiki kila wanapotumbuiza.

 

11 years ago

Michuzi

CD mpya "Bongo Tambarare" ya Ngoma Africa Band aka FFU ndani ya Ethopia !

Addis Ababa,Ethopia, Kiongozi wa bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU aka Anunnaki Alien Kamanda Ras Makunja amewasili nchini Ethopia kwa ziara ya siku tatu ya kikazi,kwa ajili ya kuiporomoti CD mpya "Bongo Tambarare" ,baada  ya wadau wa muziki nchini humo kuomba CD hiyo iweze kupigwa katika vituo vya redio nchini humo. Wadau wa Ethopia wamevutiwa sana na mdundo uliomo ndani ya CD ya "Bongo Tambarare" yenye nyimbo tatu ambayo inasikika...

 

10 years ago

Michuzi

NGOMA AFRICA BAND YAITAKIA MSONDO NGOMA BAND HERI YA MIAKA 50 !

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani Ulaya, The  Ngoma Africa band aka FFU-Ughaibuni almarufu pia kama viumbe wa ajabu Anunnaki Aliens wenye makao nchi Ujerumani, inatuma salamu na saluti za kuitakia heri ya miaka 50 bendi kongwe barani afrika MSONDO NGOMA MUSIC BAND aka Baba ya Muziki ya watanzania ambayo mwezi Oktoba 2014 itatimiza miaka 50 na kuweka rekodi ya kuwa bendi kongwe pekee barani Afrika ! 
Kiongozi wa Ngoma Africa band Kamanda Ras Makunja, anaitaja bendi ya Msondo Ngoma ndiyo...

 

10 years ago

Vijimambo

The Ngoma Africa Band - East Africa´s golden voices and most wanted Band

The Ngoma Africa Band aka FFU also known as Anunnaki alien, is East Africa´s most wanted band in Europe. The German based band gained its popularity through their extraordinary stage performance on festivals and other events in and out of Europe, leaving fans always wanting for more.

Ngoma Africa Band with it´s more than two decades experience and encounter with diverse cultures and audiences which has marked it´s success in the music and entertainment industry.

The secret of Ngoma Africa...

 

10 years ago

Michuzi

Msondo Ngoma Music Band (Tanzania) Oldest band in Africa

 Msondo Ngoma Music Band (formerly known as NUTA Jazz Band, renamed Juwata Jazz Band, and then OTTU Jazz Band) is an influential and long-lived Tanzanian muziki wa dansi (Bongo Dansi). Having been established in 1964, it is the oldest active dansi band in Tanzania as well in Africa.

The band began in 1964 and was originally named "NUTA Jazz Band", after its sponsor, the National Union of Tanganyika (NUTA), which was the main Tanzanian trade union. In the early years of dansi, the NUTA Jazz...

 

10 years ago

Vijimambo

MOST INFLUENTIAL BAND OF ALL TIME THE NGOMA AFRICA BAND BASE IN GERMANY

It's the first African band to use is music as cross culture bridge from Tanzania in East Africa to the World! Ngoma Africa Band wich has been named The Golden Voice of East Africa is a fast-growing band with a huge fans base worldwide.Its's the first African band to use is music as cross culture bridge from Tanzania in East Africa to the World. Ngoma Africa Band, a Tanzanian band base in Germany,founded in the year 1993 by Ebrahim Makunja also known as Kamanda Ras Makunja,named several time...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani