Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


England kuandaa kombe la dunia 2026 ?

England sasa inafikiria kuingia katika kinyanganyiro cha kuwa mwenyeji wa fainali za kombe la dunia mwaka 2026.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Zabuni ya kombe la dunia 2026 yaahirishwa

Utoaji zabuni ya maandalizi ya kombe la dunia mwaka wa 2026 umeahirishwa kufuatia madai ya ufisadi katika utoaji wa maandalizi ya kombe hilo mwaka 2018 na 2022.

 

11 years ago

BBCSwahili

Qatar:halali kuandaa kombe la dunia

Kamati ya maandalizi ya Kombe la dunia Qatar imetetea uhalali wake kuhodhi michuano mwaka 2022

 

10 years ago

Mwananchi

Kazimoto anavyoikubali Qatar kuandaa Kombe la Dunia 2022

Doha, Qatar. Ukipita katika mitaa mbalimbali kwenye mji wa Doha, Qatar utaona wameanza kulinadi Kombe la Dunia 2022.

 

11 years ago

Dewji Blog

Blatter: Ni “kosa” Qatar kuandaa Kombe la Dunia 2022

Rais wa Shirikisho la Soka Ulimwenguni – FIFA Sepp Blatter amesema ilikuwa kosa kuichagua Qatar kuandaa dimba la Kombe la Dunia mwaka wa 2022 kwa sababu ya hali ya joto kali nchini humo

Blatter amekiambia kituo kimoja cha televisheni nchini Uswisi kuwa, na namnukuu “unajua, kila mmoja hufanya makosa maishani”.

Kiwango cha wastani cha joto ni nyuzijoto 40 katika miezi ya Juni na Julai, kipindi ambacho tamasha la kombe la dunia hupangwa kufanyika.

Blatter amesema kuna uwezekano mkubwa kuwa...

 

11 years ago

Michuzi

Je wajua kuwa wakongwe wa Brazil walihusishwa kuandaa kombe la dunia 2014?


Na Sultani Kipingo

Kamati ya maandalizi ya Kombe la Dunia 2014 ilikuwa na nyota watano wa zamani wa Brazil (pichani wakiwa na maafisa wa chama cha soka cha Brazil) waliowahi kuwika katika michuano hiyo tokea mwaka 1958 ilipofanyika nchini Sweden. Kamati hiyo, iliyoundwa January 2013 inaundwa na wachezaji wakongwe kina kutoka kushoto juu:

Amarildo Tavares da Silva (wa tatu toka kulia) , José Roberto Gama de Oliveira (Bebeto), Carlos Alberto Torres, Marta Vieira da Silva, Ronaldo Luis...

 

10 years ago

BBCSwahili

England yaiondoa Canada :Kombe la Dunia

Timu ya wanawake ya England ilifuzu kwa mara ya kwanza katika hatua ya nusu fainali ya kombe la dunia baada ya kuilaza Canada 2-1

 

10 years ago

BBCSwahili

Kombe la dunia ,England yaanza vibaya

Timu ya taifa ya wanawake ya England imeanza vibaya mashindano ya kombe dunia kwa upande wa wanawake yanayoendelea nchini Canada.

 

10 years ago

BBCSwahili

England hoi kombe la dunia la kriketi

Timu ya kriket ya England imeambulia kichapo baada ya kukubali kuchapwa na New Zealand kwa jumla ya wiketi 8.

 

11 years ago

GPL

WACHEZAJI WALIOITWA TIMU YA TAIFA YA ENGLAND KOMBE LA DUNIA

Hatimaye kocha wa timu ya taifa ya England Roy Hodgson ametangaza kikosi cha timu hiyo kitakachoenda Brazil hivi punde.
Kikosi cha England kilichotangazwa kina majina ya wachezaji wafuatao:
Goalkeepers: Joe Hart (Manchester City), Fraser Forster (Celtic), Ben Foster (West Brom)
Defenders: Glen Johnson (Liverpool), Phil Jones (Manchster United), Phil Jagielka (Everton), Gary Cahill (Chelsea), Chris Smalling (Manchester...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani