Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Qatar:halali kuandaa kombe la dunia

Kamati ya maandalizi ya Kombe la dunia Qatar imetetea uhalali wake kuhodhi michuano mwaka 2022

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kazimoto anavyoikubali Qatar kuandaa Kombe la Dunia 2022

Doha, Qatar. Ukipita katika mitaa mbalimbali kwenye mji wa Doha, Qatar utaona wameanza kulinadi Kombe la Dunia 2022.

 

11 years ago

Dewji Blog

Blatter: Ni “kosa” Qatar kuandaa Kombe la Dunia 2022

Rais wa Shirikisho la Soka Ulimwenguni – FIFA Sepp Blatter amesema ilikuwa kosa kuichagua Qatar kuandaa dimba la Kombe la Dunia mwaka wa 2022 kwa sababu ya hali ya joto kali nchini humo

Blatter amekiambia kituo kimoja cha televisheni nchini Uswisi kuwa, na namnukuu “unajua, kila mmoja hufanya makosa maishani”.

Kiwango cha wastani cha joto ni nyuzijoto 40 katika miezi ya Juni na Julai, kipindi ambacho tamasha la kombe la dunia hupangwa kufanyika.

Blatter amesema kuna uwezekano mkubwa kuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

England kuandaa kombe la dunia 2026 ?

England sasa inafikiria kuingia katika kinyanganyiro cha kuwa mwenyeji wa fainali za kombe la dunia mwaka 2026.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hatima ya Qatar na kombe la dunia 2022

Ripoti iliyokua ikichunguza vitendo vya rushwa huenda ikasabisha washukiwa kushtakiwa

 

11 years ago

Michuzi

Je wajua kuwa wakongwe wa Brazil walihusishwa kuandaa kombe la dunia 2014?


Na Sultani Kipingo

Kamati ya maandalizi ya Kombe la Dunia 2014 ilikuwa na nyota watano wa zamani wa Brazil (pichani wakiwa na maafisa wa chama cha soka cha Brazil) waliowahi kuwika katika michuano hiyo tokea mwaka 1958 ilipofanyika nchini Sweden. Kamati hiyo, iliyoundwa January 2013 inaundwa na wachezaji wakongwe kina kutoka kushoto juu:

Amarildo Tavares da Silva (wa tatu toka kulia) , José Roberto Gama de Oliveira (Bebeto), Carlos Alberto Torres, Marta Vieira da Silva, Ronaldo Luis...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Je, kalenda ya Kombe la Dunia 2022 Qatar kuathrika?

Uefa ina matumaini ya kumaliza ligi ya Mabingwa na Europa mwezi Agosti.

 

10 years ago

Vijimambo

USHAHIDI WA RUSHWA WALIYO TOA SOUTH AFRICA NA KUPEWA NAFASI YA KUANDAA KOMBE LA DUNIA 2010


Kwa takribani wiki mbili sasa neno ‘rushwa’ limekuwa likiliandama sana shirikisho la soka duniani FIFA.Wiki iliyopita maafisa 10 wa shirikisho hilo walikamatwa na serikali ya Marekani kwa kujihusisha na skendo ya ubadhirifu wa £100m, jambo ambalo lilipelekea wadau mbalimbali kumuomba Rais wa shirikisho hilo Sepp Blatter kujiuzulu. Jerome Valcke
Jerome Valcke Hata hivyo Blatter amegoma kufanya hivyo, lakini ikiwa suala la ubadhirifu wa £100m likiwa bado la moto, leo hii umetolewa ushahidi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ilikuwa kosa kuipa Qatar kombe la 2022

Sepp Blatter, amesema ilikuwa kosa kuchagua Quatar kuwa mwenyeji wa kombe la dunia mwaka wa 2022

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani