Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ENGLAND HOI KWA ITALIA

Straika wa Italia, Mario Balotelli (kushoto) akiifungia timu yake bao la ushindi dhidi ya England usiku huu. Daniel Sturridge akishangilia baada ya kuisawazishia England katika dakika ua 37.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ENGLAND HOI KWA URUGUAY, YACHAPWA 2 -1

Mshambuliaji wa timu ya Uruguay, Luis Suarez akishangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 39 kipindi cha kwanza. Luis Suarez akipiga mpira kichwa kufunga bao la kwanza.…

 

10 years ago

GPL

SCOTLAND HOI KWA ENGLAND YAPIGWA BAO 3-1

Wachezaji wa timu ya England wakishangilia baada ya mechi kumalizika dhidi ya Scotland katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa kuamkia leo na kuwalaza wenyeji Scotland mabao 3-1 . Alex Oxlade-Chamberlain akifunga bao la kwanza kwa England dakika ya 32 kipindi cha kwanza.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Italia yainyuka England

Timu ya England chini ya miaka 21 imekubali kichapo cha Mabao 3-1 kutoka kwa Italia katika michuano ya ulaya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Klabu za England hoi kimataifa

Jana usiku viwanja kadhaa viliwaka moto, katika michuano ya ligi ya Europa wakati timu kadhaa ziliposhuka dimbani katika hatua ya 16 bora.

 

10 years ago

BBCSwahili

England hoi kombe la dunia la kriketi

Timu ya kriket ya England imeambulia kichapo baada ya kukubali kuchapwa na New Zealand kwa jumla ya wiketi 8.

 

9 years ago

Bongo5

New Music: Layla (The Voice Fairy) — Hoi Hoi

12237221_1669908713222926_427056748_n

Wimbo wa msanii anayechipukia, Layla A. Walden aka The Voice Fairy uitwao ‘Hoi Hoi.’ Umetayarishwa kwenye studio za AM Records.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

BBCSwahili

Ni shangwe na hoi hoi Ujerumani

Maelfu ya mashabiki wa soka nchini Ujerumani wamekusanyika tangu asubuhi mjini Berlin kuwakaribisha wachezaji wa timu ya taifa ya soka ambayo ilishinda kombe la dunia Brazil.

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA;mtuhumiwa ajisalimisha kwa polisi Italia

Mfanyibiashara mmoja aliyekuwa miongoni mwa watu 14 waliotajwa katika kashfa ya rushwa ya FIFA amejisalimisha kwa polisi nchini Italia

 

9 years ago

Africanjam.Com

SUPPORTERS NAME ENGLAND CAPTAIN WAYNE ROONEY ENGLAND PLAYER OF THE YEAR

Wayne Rooney has been named England Player of the Year for 2015, retaining the title he won in 2014.The Manchester United forward earned 37% of the votes cast by members of the England Supporters Club and has now won it four times.England captain Rooney, 30, scored five goals last year, overtaking Sir Bobby Charlton as England's record goalscorer during Euro 2016 qualification.Stoke City goalkeeper Jack Butland was voted Under-21 Player of the Year.In the vote for the senior player of the...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani