Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Italia yainyuka England

Timu ya England chini ya miaka 21 imekubali kichapo cha Mabao 3-1 kutoka kwa Italia katika michuano ya ulaya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Newcastle yainyuka Liverpool ligi kuu England

Newcastle walishangaza majogoo wa Ligi ya Uingereza Liverpool kwa kuwanyuka 2-0 mechi iliyochezewa uwanja wa St James Park.

 

11 years ago

GPL

ENGLAND HOI KWA ITALIA

Straika wa Italia, Mario Balotelli (kushoto) akiifungia timu yake bao la ushindi dhidi ya England usiku huu. Daniel Sturridge akishangilia baada ya kuisawazishia England katika dakika ua 37.…

 

9 years ago

Africanjam.Com

SUPPORTERS NAME ENGLAND CAPTAIN WAYNE ROONEY ENGLAND PLAYER OF THE YEAR

Wayne Rooney has been named England Player of the Year for 2015, retaining the title he won in 2014.The Manchester United forward earned 37% of the votes cast by members of the England Supporters Club and has now won it four times.England captain Rooney, 30, scored five goals last year, overtaking Sir Bobby Charlton as England's record goalscorer during Euro 2016 qualification.Stoke City goalkeeper Jack Butland was voted Under-21 Player of the Year.In the vote for the senior player of the...

 

10 years ago

Mwananchi

Real yainyuka TZ IX

Wakongwe wa Real Madrid wamethibisha ubora wao kwa kuichapa Tanzania IX kwa mabao 3-1, na kukabidhiwa kombe na Rais Jakaya Kikwete jana kwenyeUwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Burundi yainyuka Stars

Tanzania imeendeleza uteja wake kwa Burundi baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa, Taifa Stars ikiwakilishwa na wachezaji wengi wa majaribio.

 

11 years ago

BBCSwahili

Liverpool yainyuka Everton 4-0

Liverpool imeitimuatimua Everton kwenye mchuano wa katikati ya wiki ligi kuu nchini England kuimarisha kampeni ya taji.

 

10 years ago

Vijimambo

SIMBA YAINYUKA NDANDA FC MAGOLI 3- 0

 Ramadhani Singano akitafuta mbinu za kuwatoka wachezaji wa Ndanda FC katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Simba ilishinda 3-0. (Pichana Francis Dande) Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi akimiliki mpira mbele ya beki wa Ndanda FC. Mchezaji wa Ndanda FC akimiliki mpira.
 Wachezaji wa Simba wakishangilia.Kipa wa Ndanda FC akijaribu kuokoa moja ya hatari langoni mwake.

 

9 years ago

BBCSwahili

Newcastle yainyuka Norwich City

Newcastle hatimaye imeonja ushindi baada ya kuinyuka Norwich city.

 

10 years ago

BBCSwahili

Algeria yainyuka Afrika Kusini 3-1

Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika, Afcon imeendelea nchini Equatorial Guinea,kwa Algeria kuichapa Afrika Kusini 3-1

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani