Real yainyuka TZ IX
Wakongwe wa Real Madrid wamethibisha ubora wao kwa kuichapa Tanzania IX kwa mabao 3-1, na kukabidhiwa kombe na Rais Jakaya Kikwete jana kwenyeUwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 Jun
Italia yainyuka England
Timu ya England chini ya miaka 21 imekubali kichapo cha Mabao 3-1 kutoka kwa Italia katika michuano ya ulaya.
10 years ago
Mwananchi10 Dec
Burundi yainyuka Stars
Tanzania imeendeleza uteja wake kwa Burundi baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa, Taifa Stars ikiwakilishwa na wachezaji wengi wa majaribio.
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Liverpool yainyuka Everton 4-0
Liverpool imeitimuatimua Everton kwenye mchuano wa katikati ya wiki ligi kuu nchini England kuimarisha kampeni ya taji.
5 years ago
Managing Madrid08 Mar
Real Betis—Real Madrid La Liga 2019-20 Match Preview, Injuries/Suspensions, Potential XIs, Prediction
Real Betis—Real Madrid La Liga 2019-20 Match Preview, Injuries/Suspensions, Potential XIs, Prediction Managing MadridLionel Messi was foiled by an ingenious method to defend his free-kick against Real Sociedad GIVEMESPORTBarcelona have a Messi problem... and they simply can't do without him Goal.comReal Madrid will be without two stars at Real Betis The Real ChampsQuique Setien says Barcelona look ‘good and strong’ after Real Sociedad win Barca BlaugranesView Full coverage on Google...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-bSIWEMwam_E/VT0GOakQ_QI/AAAAAAABX1M/QCqckSK81MM/s72-c/2.jpg)
SIMBA YAINYUKA NDANDA FC MAGOLI 3- 0
![](http://2.bp.blogspot.com/-bSIWEMwam_E/VT0GOakQ_QI/AAAAAAABX1M/QCqckSK81MM/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7bO2WoeHLUo/VT0GO2rbjrI/AAAAAAABX1E/dzhTGLipR80/s1600/3.jpg)
10 years ago
BBCSwahili04 Nov
Sunderland yainyuka Crystal Palace 3-1
Steven Fletcher amefunga mabao mawili na kuisaidia timu yake ya Sunderland kuinyuka Crystal Palace 3-1
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Algeria yainyuka Afrika Kusini 3-1
Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika, Afcon imeendelea nchini Equatorial Guinea,kwa Algeria kuichapa Afrika Kusini 3-1
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Yanga yainyuka Prisons kwao
Mabingwa wa Ligi Kuu, Yanga wameendelea kugawa dozi mkoani Mbeya baada ya jana kuichapa Tanzania Prisons kwa mabao 2-0 katika mchezo wa kirafiki uliochezwa kwenye Uwanja wa Sokoine.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ESy03VwS5ZlJN7u8klIoTuZ-LdYLFFsIBA2sv81AeoDu2LV5XUYUo8c3D-k8uwMldZW2iXWv1wZqzD6sLVxnVEZLhABClPlk/amrani1.jpg?width=650)
GLOBAL FC YAINYUKA TEGETA VETERAN 1-0
Baadhi ya wachezaji wa Global FC wakiwa na nyuso za furaha baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Timu ya Tegeta Veteran. Mchezo huo ulipigwa jana kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Tegeta uliopo Tegeta jiji…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania