Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Real yainyuka TZ IX

Wakongwe wa Real Madrid wamethibisha ubora wao kwa kuichapa Tanzania IX kwa mabao 3-1, na kukabidhiwa kombe na Rais Jakaya Kikwete jana kwenyeUwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Italia yainyuka England

Timu ya England chini ya miaka 21 imekubali kichapo cha Mabao 3-1 kutoka kwa Italia katika michuano ya ulaya.

 

10 years ago

Mwananchi

Burundi yainyuka Stars

Tanzania imeendeleza uteja wake kwa Burundi baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa, Taifa Stars ikiwakilishwa na wachezaji wengi wa majaribio.

 

11 years ago

BBCSwahili

Liverpool yainyuka Everton 4-0

Liverpool imeitimuatimua Everton kwenye mchuano wa katikati ya wiki ligi kuu nchini England kuimarisha kampeni ya taji.

 

5 years ago

Managing Madrid

Real Betis—Real Madrid La Liga 2019-20 Match Preview, Injuries/Suspensions, Potential XIs, Prediction

Real Betis—Real Madrid La Liga 2019-20 Match Preview, Injuries/Suspensions, Potential XIs, Prediction  Managing MadridLionel Messi was foiled by an ingenious method to defend his free-kick against Real Sociedad  GIVEMESPORTBarcelona have a Messi problem... and they simply can't do without him  Goal.comReal Madrid will be without two stars at Real Betis  The Real ChampsQuique Setien says Barcelona look ‘good and strong’ after Real Sociedad win  Barca BlaugranesView Full coverage on Google...

 

10 years ago

Vijimambo

SIMBA YAINYUKA NDANDA FC MAGOLI 3- 0

 Ramadhani Singano akitafuta mbinu za kuwatoka wachezaji wa Ndanda FC katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Simba ilishinda 3-0. (Pichana Francis Dande) Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi akimiliki mpira mbele ya beki wa Ndanda FC. Mchezaji wa Ndanda FC akimiliki mpira.
 Wachezaji wa Simba wakishangilia.Kipa wa Ndanda FC akijaribu kuokoa moja ya hatari langoni mwake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sunderland yainyuka Crystal Palace 3-1

Steven Fletcher amefunga mabao mawili na kuisaidia timu yake ya Sunderland kuinyuka Crystal Palace 3-1

 

10 years ago

BBCSwahili

Algeria yainyuka Afrika Kusini 3-1

Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika, Afcon imeendelea nchini Equatorial Guinea,kwa Algeria kuichapa Afrika Kusini 3-1

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yainyuka Prisons kwao

Mabingwa wa Ligi Kuu, Yanga wameendelea kugawa dozi mkoani Mbeya baada ya jana kuichapa Tanzania Prisons kwa mabao 2-0 katika mchezo wa kirafiki uliochezwa kwenye Uwanja wa Sokoine.

 

10 years ago

GPL

GLOBAL FC YAINYUKA TEGETA VETERAN 1-0

Baadhi ya wachezaji wa Global FC wakiwa na nyuso za furaha baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Timu ya Tegeta Veteran. Mchezo huo ulipigwa jana kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Tegeta uliopo Tegeta jiji…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani