Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni shangwe na hoi hoi Ujerumani

Maelfu ya mashabiki wa soka nchini Ujerumani wamekusanyika tangu asubuhi mjini Berlin kuwakaribisha wachezaji wa timu ya taifa ya soka ambayo ilishinda kombe la dunia Brazil.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

New Music: Layla (The Voice Fairy) — Hoi Hoi

12237221_1669908713222926_427056748_n

Wimbo wa msanii anayechipukia, Layla A. Walden aka The Voice Fairy uitwao ‘Hoi Hoi.’ Umetayarishwa kwenye studio za AM Records.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

BBCSwahili

Ujerumani yashinda, Ugiriki hoi

Timu ya taifa ya Ujerumani imepanda hadi kileleni mwa msimamo wa kundi D katika michuano ya kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya barani Ulaya mwaka 2016 baada ya kuichabanga Poland magoli 3 - 1.

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCM hoi

SIKU chache baada ya Bunge Maalum la Katiba kupitisha katiba inayopendekezwa, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinahaha kutafuta uungwaji mkono Zanzibar, Tanzania Daima Jumapili limedokezwa CCM kinatafuta uungwaji mkono visiwani humo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Joyce Banda hoi

SIKU moja baada ya matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu nchini  Malawi kutangazwa na kuonyesha kuwa mgombea wa chama kikuu cha upinzani Democratic Progressive Party (DPP), Profesa Peter Mutharika, anaongoza...

 

5 years ago

Michuzi

CHADEMA HOI IFAKARA


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally, leo ameanza Ziara ya siku tatu Mkoani Morogoro ambapo katika mkutano wa ndani, madiwani watatu wakiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ifakara wamejivua uwanachama wa Chadema na kujiunga na CCM.

Madiwani hao ni Mashaka Benard Mwenyekiti wa Halmashauri, Chiza Shungu diwani Kata ya Mbasa na Digna Nyangile diwani viti maalum Ifakara.

Viongozi hao wamejiunga na CCM leo tarehe 13 Februari, 2020 katika mkutano wa Katibu Mkuu na...

 

10 years ago

GPL

IMAMU HOI PENZI LA WASTARA

Deogratius Mongela na Chande Abdallah KATIKA hali ya kushangaza, Imam wa msikiti mmoja uliopo Kibamba, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam aliyefahamika kwa jina moja la Ustadh Anuary, yupo hoi kwa kuhitaji penzi la muigizaji nyota, Wastara Juma, Risasi Mchanganyiko linakujuza. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1IGvVbv

 

10 years ago

GPL

AUNT LULU HOI KITANDANI

Na Hamida Hassan
Staa wa Filamu za Kibongo, Lulu Semagongo ‘Aunt Lulu’ yupo hoi kitandani baada ya kusumbuliwa na jino la juu ambalo anahofia kulitoa. Staa wa Filamu za Kibongo, Lulu Semagongo ‘Aunt Lulu’. Akizungumza na Amani, Aunt Lulu alisema kuwa anajiona amekonda kwa maumivu ya jino tu na kutokana na vitisho anavyovipata kutoka kwa marafiki zake anaogopa kwenda kuling’oa. “Yaani...

 

10 years ago

BBCSwahili

Man City hoi Capital One

Mechi za kombe la ligi ya CAPITALA ONE CUP zimeendelea usiku wa kuamkia leo huku viwanja kadhaa vikiwa matatani.

 

10 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani