Man City hoi Capital One
Mechi za kombe la ligi ya CAPITALA ONE CUP zimeendelea usiku wa kuamkia leo huku viwanja kadhaa vikiwa matatani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi02 Nov
Liverpool hoi, Man City v Utd
Newcastle United imeendeleza rekodi nzuri dhidi ya vigogo wa soka kwenye Ligi Kuu England baada ya kuilaza Liverpool kwa bao 1-0 jana.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8XZ9tNduvb1-WE5RC-pcbjWk7iXnUI-Ehw2qaOEwTR9*In0gOsELlRQBZEAzg*frxNVNTd*n9QdLqfnM-6od-pXqOR1hS8Ah/barca.jpg)
MAN CITY HOI KWA BARCELONA, YALALA 2-0
Wachezaji wa Barcelona, Fabregas na Iniesta wakimpongeza Messi baada ya kufunga bao la kwanza. Beki wa Man City, Martin Demichelis akimchezea Messi rafu iliyopelekea penalti na kadi nyekundu.…
10 years ago
Mwananchi22 Sep
Man U hoi, Chelsea, City ‘ngoma droo’
Leicester City ilitoka nyuma kwa mabao 3-1 na kuibuka na ushindi wa mabao 5-3 dhidi ya Manchester United katika mchezo wa Ligi Kuu England uliochezwa jana.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8l--NuzR*jGUndM1*RdKUUm7QHBnwCLUnTTmMMcar1OsEEnQLl9414vnZA4ZxPK6NjN9V4oMnpbPmJZNG72jUwRnoQ9WWUtD/mancity.jpg?width=600)
MAN CITY YATWAA UBINGWA WA CAPITAL ONE
LONDON, England
KOCHA Manuel Pellegrini amefanikiwa kutwaa taji la kwanza akiwa bosi wa Manchester City baada ya jana kuifunga Sunderland katika fainali ya Kombe la Capital kwa mabao 3-1kwenye Uwanja wa Wembley jijini London. Kocha huyo raia wa Chile ambaye yupo katika adhabu ya kukosa mechi tatu za Ulaya baada ya kufungiwa na Shirisho la Soka la Ulaya (Uefa) kutokana na kumtolea lugha kali mwamuzi, Jonas Eriksson, alikuwa na...
11 years ago
Michuzi03 Mar
Timu ya Man City Mabingwa wapya wa Kombe la Capital One 2014
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/UEYRPLFIkk3W09wuZtCymjzuCQeLKIAJOblfvREcxSsOlKwdqLgXzX8aIiSkXpmRmTax8yrRwLD7Ujjytu2h8l7xk8mzz-qAsdH9529nHL6yEDyrFQRO8XvcWYDJq-VtTUkbBZqpsi4x-mUkwcKs-7VjmrLEu6kIu50-_594r-qljUyL6m_HYH93oZ-pZUf9l6il5d83jIURB84ncV7ovdPEZ3VJWh_AIlcL2VuG22TtzLM2Z1xfETBmGJuEYSVXiaXYTkWvHpyru0sm8ce1D7ay1yq1h2y7S8klX8V2X_fvgcfKoWygPOe1avNcOt1cdhO_Qg1va981qJXXWSiua2pVPZfm3v_09zxaX3RLvcjwfZDumZBa3V52Tk7n80QB=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fi4.mirror.co.uk%2Fincoming%2Farticle3199639.ece%2FALTERNATES%2Fs2197%2FManchester-City-v-Sunderland-Capital-One-Final-3199639.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Katika mchezo huo uliokuwa ni mkali na wa kuvutia,Timu ya Sunderland ndio iliyokuwa ya kwanza kuona lango la Manchester City mnamo dakika ya 10 ya mchezo kupitia kwa Mchezaji wake,Fabio Borini katika kipindi cha kwanza.
Kipindi cha pili kilianza kwa kasi na Timu ya Manchester City...
11 years ago
BBCSwahili18 Dec
Chelsea hoi kwa Sunderland Capital One
Sunderland imesonga mbele hatua ya nusu fainali ya michuano ya ya Kombe la Capital One baada ya kuichapa Chelsea mabao 2-1.
10 years ago
Michuzi18 Jan
ligi kuu ya vodacom yazidi kurindima, kagera city hoi kwa mbeya city, yanga yabanwa na ruvu shooting, azam na simba kidedea
Picha na habari na Faustine RuttaLigi Kuu ya Vodacom imeendelea Jumamosi kwa Mechi kadhaa na Mabingwa Watetezi Azam FC kushinda huko Shinyanga na kutwaa uongozi wa Ligi toka kwa Mtibwa Sugar ambao wanacheza leo, huku Yanga wakiteleza kutwaa uongozi huo baada ya kubanwa na Ruvu Shooting kwa Sare ya 0-0 Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Yanga walistahili ushindi lakini walishindwa kufunga wakati walipata nafasi za wazi kibao.
Huko Kambarage, Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa...
Yanga walistahili ushindi lakini walishindwa kufunga wakati walipata nafasi za wazi kibao.
Huko Kambarage, Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa...
9 years ago
BBCSwahili07 Jan
Manchester city hoi kombe la Ligi.
Klabu ya soka ya Everton imefanikiwa kuchomoza na ushindi katika michuano ya kombe la Ligi Nchini Uingereza .
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania