Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IMAMU HOI PENZI LA WASTARA

Deogratius Mongela na Chande Abdallah KATIKA hali ya kushangaza, Imam wa msikiti mmoja uliopo Kibamba, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam aliyefahamika kwa jina moja la Ustadh Anuary, yupo hoi kwa kuhitaji penzi la muigizaji nyota, Wastara Juma, Risasi Mchanganyiko linakujuza. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1IGvVbv

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WASTARA: NIKIKUMBATIWA NAKUWA HOI

Na Gladness Mallya
MSANII wa filamu, Wastara Juma amefunguka kuwa starehe yake kubwa duniani ni kukumbatiwa na anapofanyiwa kitendo hicho na mtu wa jinsia yoyote huwa hoi. Wastara Juma. Akistorisha na paparazi wetu, Wastara alisema: “Mimi napenda sana kukumbatiwa au kukumbatia, awe ni mwanaume au mwanamke, ndugu yangu au hata kama siyo ndugu yangu, tukikumbatiana tu najisikia raha sana. “Unajua kila mtu anakuwa na...

 

10 years ago

GPL

BONDI, WASTARA PENZI LAO KIZUNGU-MKUTI

Na Laurent Samatta
BAADA ya wiki iliyopita msanii wa filamu Bongo, Wastara Juma kuripotiwa kwenye moja ya magazeti pendwa kuwa hana uhusiano na mtu yeyote ndani ya Bongo Muvi na yupo mbioni kumuanika mrithi wa Sajuki mengi yameendelea kuibuka. Msanii wa filamu Bongo, Wastara Juma akiwa kwenye pozi la kimahaba na Bondi Bin Salim. Akizungumza na Uwazi, mpenzi wa Wastara anayetambulika kwa jina la Bondi Bin Salim alidai kuwa...

 

9 years ago

GPL

WASTARA: PENZI TAMU NILILIPATA KWA SAJUKI TU!

Imelda Mtema NASEMA ukweli kabisa! Staa wa ‘grade one’ kunako filamu za Bongo, Wastara Juma ameweka wazi kuwa, tangu azaliwe, penzi pekee alilowahi kulifurahia ni la aliyekuwa mumewe na msanii mwenzake, marehemu Juma Kilowoko ‘Sajuki’. Staa wa ‘grade one’ kunako filamu za Bongo, Wastara Juma. Akichonga na Amani juzi, Wastara alifunguka kuwa, Sajuki ndiye mtu pekee aliyekuwa akimwelewa na kumpa mapenzi ya...

 

9 years ago

Bongo5

New Music: Layla (The Voice Fairy) — Hoi Hoi

12237221_1669908713222926_427056748_n

Wimbo wa msanii anayechipukia, Layla A. Walden aka The Voice Fairy uitwao ‘Hoi Hoi.’ Umetayarishwa kwenye studio za AM Records.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

BBCSwahili

Ni shangwe na hoi hoi Ujerumani

Maelfu ya mashabiki wa soka nchini Ujerumani wamekusanyika tangu asubuhi mjini Berlin kuwakaribisha wachezaji wa timu ya taifa ya soka ambayo ilishinda kombe la dunia Brazil.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Imamu aiba nguruwe

KATIKA hali isiyo ya kawaida, aliyekuwa Imamu wa Msikiti wa Kisesa uliopo Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza, Salum Yusuph, amenusurika kuuawa na wananchi wenye hasira baada ya kukamatwa akiwa ameiba...

 

10 years ago

GPL

IMAMU: NIMEMWAGIWA TINDIKALI KUTETEA MALI ZA MSIKITI

Na Musa Mateja
UNYAMA wa kutisha! Bwana mmoja ambaye ni imamu, aliyefahamika kwa jina la Mustafa Omar Mustafa, mkazi wa Ghana, Kata ya Nyamanoro jijini Mwanza, amefanyiwa unyama wa hali ya juu kwa kumwagiwa tindikili na watu wanaosadikiwa kuwa ni waumini wenzake, kisa kulinda mali za msikiti wao uliopo katika mtaa huo wa Ghana. Uwazi linakupa habari kamili. Mustafa Omar Mustafa, anayedaiwa kumwagiwa tindikali. ILIKUAJE?
...

 

11 years ago

GPL

IMAMU ANUSURIKA KIFO KWA WIZI WA ‘KITIMOTO’

IMAMU mmoja ambaye hakufahamika jina lake wa msikiti wa Kisesa Jijini Mwanza, amenusurika kuuawa baada ya kuvamiwa na Waislam wenzake akiwa kituo cha polisi Kisesa anaposhikiliwa kwa wizi wa nguruwe ‘kitimoto’. Waislam hao walivamia kituo cha polisi  baada ya kupata taarifa za Imamu huyo kudaiwa kuiba nguruwe ambaye anajua ni najisi kwenye dini ya Kiislam. ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani