BONDI, WASTARA PENZI LAO KIZUNGU-MKUTI
![](http://api.ning.com:80/files/uVSra6c8ZxVfhN8MmS*Eh81MWJdSeYHHz8wdtyzwdnDUBSACzxrT2r0DJOfDXSejZRnW3tvREaoCaBB*scf087lAAbEITXYw/Wastara.jpg?width=650)
Na Laurent Samatta BAADA ya wiki iliyopita msanii wa filamu Bongo, Wastara Juma kuripotiwa kwenye moja ya magazeti pendwa kuwa hana uhusiano na mtu yeyote ndani ya Bongo Muvi na yupo mbioni kumuanika mrithi wa Sajuki mengi yameendelea kuibuka. Msanii wa filamu Bongo, Wastara Juma akiwa kwenye pozi la kimahaba na Bondi Bin Salim. Akizungumza na Uwazi, mpenzi wa Wastara anayetambulika kwa jina la Bondi Bin Salim alidai kuwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/skuCKHlxf8WuWz1g*qwta0rR8k7an6ifO6pIIkGBXKWxq0bz861zgPMYNNIZXI8TsCT5aKLL*bi*qawfNH7K8PJgfA6JTsMv/Wastara.jpg)
WASTARA AMPIGA MSASA BONDI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNVAZDcWC0ZrPrm9QYwujLen2V9D7dmMqT3bYOIzkDtsQBaShvi61FulcyBAkfozuf6YihhuBtHD8m*D30Uj72LW/bond.jpg?width=650)
SIRI PENZI LA ANTI LULU, BONDI YAFICHUKA
10 years ago
CloudsFM14 Jan
AUNTY EZEKIEL,MOSE IYOBO WADHIHIRISHA PENZI LAO
Staa wa Bongo Movie,Aunty Ezekiel amedhihirisha penzi lake na dansa wa msanii Diamond Platinumz,Mose Iyobo baada ya picha yao wakiwa wamekaa kimahaba iliyosambaa mtandaoni.
9 years ago
Mtanzania18 Dec
Amber Rose, Wiz Khalifa waimarisha penzi lao
LOS ANGELES, MAREKANI
MKALI wa hip hop nchini Marekani, Wiz Khalifa na Amber Rose, wameonekana kuimarisha penzi lao baada ya juzi kukutwa mitaani wakiwa na mtoto wao.
Wawili hao walikuwa na uhusiano wa muda mrefu na kufanikiwa kupata mtoto wa kiume ambaye walimpa jina la Sebastian, lakini Septemba mwaka jana waliachana.
Taarifa zilisambaa kwamba wamerudiana baada ya msanii huyo kuachia wimbo wake mpya wa ‘See You Again’, ambapo wimbo huo ulimfanya mwanadada Amber Rose kushindwa kuzuia hisia...
9 years ago
Bongo Movies15 Nov
Wastara Ampa Ampa Kichapo Bondi
KAZI ipo! Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma anadaiwa kumpa kichapo kikali aliyekuwa mwandani wake, Bond Suleiman baada ya kupatwa na kile kinachosemwa kuwa ni kupandisha majini.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, kupandisha majini hayo kulitokana na jinsi ambavyo mwanaume huyo amekuwa akimtendea mpenziwe huyo, ambaye inadaiwa katika kupandisha huko, alitoa maelekezo ya namna anavyotakiwa kufanya.
“Nakuambia ilikuwa varangati siku hiyo, Wastara alipandisha majini akiwa na Bond, walikuwa...
9 years ago
Bongo Movies31 Dec
Shilole Afuta Tattoo ya Nuh Kifuani, Yasemekana Penzi Lao Limeingia Mchanga!
Kuna taarifa mtaani kuwa penzi la mastaa wa muziki, Shilole na Nuh Mziwanda limevunjika. Japokuwa sio mara ya kwanza kwa tetesi kama hizo kuhusu couple hiyo, lakini safari hii kuna dalili kuwa inaweza kuwa ‘serious’.
Moja ya vitu vinavyoongeza nguvu ya tetesi hizo, Shishi amefuta ile tattoo aliyochora kifuani kwake miezi kadhaa iliyopita, yenye jina la ‘Nuh’ na kuchora UA juu yake.
Tattoo mpya
Tattoo iliyofutwa
Kipindi cha karibuni wawili hao hawaonekani pamoja kama ilivyozoeleka, na kila...
9 years ago
Bongo530 Dec
Picha: Shilole afuta tattoo ya Nuh kifuani, yasemekana penzi lao limeingia mchanga!
![shilole-2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/shilole-2-300x194.jpg)
Kuna taarifa mtaani kuwa penzi la mastaa wa muziki, Shilole na Nuh Mziwanda limevunjika. Japokuwa sio mara ya kwanza kwa tetesi kama hizo kuhusu couple hiyo, lakini safari hii kuna dalili kuwa inaweza kuwa ‘serious’.
Moja ya vitu vinavyoongeza nguvu ya tetesi hizo, Shishi amefuta ile tattoo aliyochora kifuani kwake miezi kadhaa iliyopita, yenye jina la ‘Nuh’ na kuchora UA juu yake.
Tattoo mpya
Tattoo iliyofutwa
Kipindi cha karibuni wawili hao hawaonekani pamoja kama ilivyozoeleka, na kila...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*k9pHGBCHsnX-c3wizZTUhqIlx3iaBxhtOF21RtFGkxEKsEHuGdkEsSchdfgeHI7dheUSKTGqsq7Pix7LWyHTWn4FsM5InCb/BACKRISASI.gif?width=650)
IMAMU HOI PENZI LA WASTARA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uqLqBDFuIfAEj-7GQXDWs9G0afEEkSYHGxvJhNL6o8TZHLGD5yU*EY8QRRiXo-pojRyMm4s0XkLsNfOvQaAq-pQ1OY5MhwDf/WASTARA.jpg?width=650)
WASTARA: PENZI TAMU NILILIPATA KWA SAJUKI TU!