IMAMU: NIMEMWAGIWA TINDIKALI KUTETEA MALI ZA MSIKITI
![](http://api.ning.com:80/files/Oi8IGTb-jSLZ8f2926zDu0yTO-uVQIl8Y69hCo-BfqrVvW0jm1qaveMD-QJfsZ0jfRUnbWAQadx6zkFbEpE98q5DFBT2N-iB/BACKUWAZI.jpg)
Na Musa Mateja UNYAMA wa kutisha! Bwana mmoja ambaye ni imamu, aliyefahamika kwa jina la Mustafa Omar Mustafa, mkazi wa Ghana, Kata ya Nyamanoro jijini Mwanza, amefanyiwa unyama wa hali ya juu kwa kumwagiwa tindikili na watu wanaosadikiwa kuwa ni waumini wenzake, kisa kulinda mali za msikiti wao uliopo katika mtaa huo wa Ghana. Uwazi linakupa habari kamili. Mustafa Omar Mustafa, anayedaiwa kumwagiwa tindikali. ILIKUAJE? ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/M4LfoYBWZVU/default.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Imamu aiba nguruwe
KATIKA hali isiyo ya kawaida, aliyekuwa Imamu wa Msikiti wa Kisesa uliopo Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza, Salum Yusuph, amenusurika kuuawa na wananchi wenye hasira baada ya kukamatwa akiwa ameiba...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*k9pHGBCHsnX-c3wizZTUhqIlx3iaBxhtOF21RtFGkxEKsEHuGdkEsSchdfgeHI7dheUSKTGqsq7Pix7LWyHTWn4FsM5InCb/BACKRISASI.gif?width=650)
IMAMU HOI PENZI LA WASTARA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqp2esDecmGN6SRXV6mLfz-IyAstMLRmc3k2VFGYnVXBvIOFWffOkSQYGR8YeaztJeQv9JsYR1ZGhR3yAW-h7Omi/13.gif)
IMAMU ANUSURIKA KIFO KWA WIZI WA ‘KITIMOTO’
5 years ago
BBCSwahili21 Apr
Virusi vya corona:Imamu na Askofu Tanzania waeleza kwanini wameamua kufunga nyumba za ibada
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Sheikh amwagiwa tindikali
IMAMU wa Msikiti wa Sawiyatu Qadiria, Hassan Bashir (33) amejeruhiwa vibaya usoni na sehemu ya bega la kushoto baada ya kumwagiwa kimiminika kinachodhaniwa kuwa ni tindikali. Akizungumza na Tanzania Daima...
11 years ago
Habarileo15 Jul
Mtuhumiwa wa tindikali mbaroni
MAKACHERO wa Jeshi la Polisi Zanzibar, wamefanikiwa kumtia mbaroni , Alawi Mohammed Silima (25), mkazi wa Fuoni Melinne, nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Sheikh amwagiwa tindikali Songea