Mtuhumiwa wa tindikali mbaroni
MAKACHERO wa Jeshi la Polisi Zanzibar, wamefanikiwa kumtia mbaroni , Alawi Mohammed Silima (25), mkazi wa Fuoni Melinne, nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Mtuhumiwa tindikali Zanzibar anaswa
MAKACHERO wa Jeshi la Polisi Zanzibar, wamefanikiwa kumtia mbaroni mmoja wa washukiwa wa matukio ya tindikali visiwani hapa, Alawi Mohammed Silima (25), mkazi wa Fuoni Melinne, nje kidogo ya mji...
11 years ago
Uhuru Newspaper24 Jun
Vinara wa tindikali, mabomu mbaroni
NA MWANDISHI WETU
MTANDAO hatari wa uhalifu unaohusishwa na kuwamwagia watu tindikali na ulipuaji mabomu, umetiwa mbaroni mjini Zanzibar.
Habari za kuaminika zimesema watuhumiwa saba ambao wanatajwa kuwa vinara wa matukio hayo, walitiwa mbaroni juzi baada ya kufuatiliwa nyendo zao kwa muda mrefu.
Kabla ya kukamatwa, inadaiwa mtandao huo ulipanga kufanya tukio lingine la kihalifu visiwani humo na kwamba polisi walifanikiwa kunasa mawasiliano hatari ya washirika wa mtandao huo.
Chanzo chetu...
11 years ago
Uhuru Newspaper15 Jul
Mtuhimiwa mtandao wa tindikali mbaroni
NA MWANDISHI WETU, ZANZIBARJESHI la Polisi Zanzibar limemtia mbaroni mtuhumiwa wa mtandao wa tindikali, Alawi Mohammed Silima.Ofisa Habari Mkuu wa Jeshi la Polisi Zanzibar, Mohammed Mhina, alisema mtuhumiwa huyo alikamatwa jana na makachero wa polisi.Alisema Silima (25), mkazi wa Fuoni Melinne nje kidogo ya mji wa Zanzibar, anahusishwa na tukio la kummwagia tindikali Sheha wa Shehia ya Tomondo, Mohammed Omar Said.Mhina alisema mtuhumiwa huyo aliyekuwa akisakwa kwa muda mrefu, alikamatwa...
11 years ago
Tanzania Daima28 Oct
Mtuhumiwa wa ubakaji atiwa mbaroni
JESHI la Polisi mkoani Pwani limefanikiwa kumkamata Michael William maarufu (Michael dada), mkazi wa Kiluvya, wilayani Kisarawe anayetuhumiwa kuhusika na matukio ya ubakaji wa vikongwe mkoani hapa. Akizungumza na waandishi...
10 years ago
Michuzi
mtuhumiwa sugu ujambazi katika mikoa ya mwanza,shinyanga na simiyu atiwa mbaroni


11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Sheikh amwagiwa tindikali
IMAMU wa Msikiti wa Sawiyatu Qadiria, Hassan Bashir (33) amejeruhiwa vibaya usoni na sehemu ya bega la kushoto baada ya kumwagiwa kimiminika kinachodhaniwa kuwa ni tindikali. Akizungumza na Tanzania Daima...
11 years ago
Mwananchi03 Oct
Sheikh amwagiwa tindikali Songea
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Sheikh amwagiwa tindikali Arusha
11 years ago
Habarileo04 Sep
Mmiliki wa duka la M-Pesa amwagiwa tindikali
MKAZI wa eneo la Ghana, jijini Mwanza, Mustafa Omary (38) amelazwa katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Sekou Toure baada ya kumwagiwa tindikali na watu wasiojulikana wakati akiwa dukani kwake.