WASTARA: NIKIKUMBATIWA NAKUWA HOI
![](http://api.ning.com:80/files/wBi6IgNyVl9EYfObo3ljuRhW*v5Q88u4BV3CfrRqw5gEwcxL59GUxWf5*PseW8eSH2twmqdQ4BJVcYLlCrPpFPftunOPlTA1/wastara.jpg?width=650)
Na Gladness Mallya MSANII wa filamu, Wastara Juma amefunguka kuwa starehe yake kubwa duniani ni kukumbatiwa na anapofanyiwa kitendo hicho na mtu wa jinsia yoyote huwa hoi. Wastara Juma. Akistorisha na paparazi wetu, Wastara alisema: “Mimi napenda sana kukumbatiwa au kukumbatia, awe ni mwanaume au mwanamke, ndugu yangu au hata kama siyo ndugu yangu, tukikumbatiana tu najisikia raha sana. “Unajua kila mtu anakuwa na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*k9pHGBCHsnX-c3wizZTUhqIlx3iaBxhtOF21RtFGkxEKsEHuGdkEsSchdfgeHI7dheUSKTGqsq7Pix7LWyHTWn4FsM5InCb/BACKRISASI.gif?width=650)
IMAMU HOI PENZI LA WASTARA
10 years ago
Mtanzania13 Aug
Snura: Muziki ukinishinda nakuwa msusi
NA THERESIA GASPER,
MSANII wa kizazi kipya, Snura Mushi, ameweka wazi kwamba kama kazi za sanaa anazofanya hazitomwendea vema atarudi katika kazi yake ya ususi.
Snura alisema kazi hiyo anaimudu na kama hasingekuwa msanii angeitumikia hadi leo kwa kuwa haikuwahi kumwangusha kiuchumi.
“Nilikuwa msusi mzuri kiasi kwamba sikukosa wateja lakini kutokana na majukumu kunizidi katika sanaa ya muziki na maigizo nimeamua kuikacha kwa sasa lakini ipo siku nitairudia,” alisema.
Snura kwa sasa anatamba...
9 years ago
Bongo514 Nov
New Music: Layla (The Voice Fairy) — Hoi Hoi
![12237221_1669908713222926_427056748_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12237221_1669908713222926_427056748_n-300x194.jpg)
Wimbo wa msanii anayechipukia, Layla A. Walden aka The Voice Fairy uitwao ‘Hoi Hoi.’ Umetayarishwa kwenye studio za AM Records.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
11 years ago
BBCSwahili15 Jul
Ni shangwe na hoi hoi Ujerumani
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
CCM hoi
SIKU chache baada ya Bunge Maalum la Katiba kupitisha katiba inayopendekezwa, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinahaha kutafuta uungwaji mkono Zanzibar, Tanzania Daima Jumapili limedokezwa CCM kinatafuta uungwaji mkono visiwani humo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sbOBjnOKxdI/XkWivSlj2CI/AAAAAAALdUA/ZUdd_cdoGdMep-4WWN2A2y2JjF8K33n8wCLcBGAsYHQ/s72-c/7011241a-91e4-4a0f-8be0-83bf24a86144-1024x683.jpg)
CHADEMA HOI IFAKARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-sbOBjnOKxdI/XkWivSlj2CI/AAAAAAALdUA/ZUdd_cdoGdMep-4WWN2A2y2JjF8K33n8wCLcBGAsYHQ/s640/7011241a-91e4-4a0f-8be0-83bf24a86144-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/c4d5a10c-ad72-4984-b939-17a25f9a8aef.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/0804b0c3-797f-4040-973d-afd24e7aee65.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally, leo ameanza Ziara ya siku tatu Mkoani Morogoro ambapo katika mkutano wa ndani, madiwani watatu wakiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ifakara wamejivua uwanachama wa Chadema na kujiunga na CCM.
Madiwani hao ni Mashaka Benard Mwenyekiti wa Halmashauri, Chiza Shungu diwani Kata ya Mbasa na Digna Nyangile diwani viti maalum Ifakara.
Viongozi hao wamejiunga na CCM leo tarehe 13 Februari, 2020 katika mkutano wa Katibu Mkuu na...
11 years ago
Tanzania Daima25 May
Joyce Banda hoi
SIKU moja baada ya matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu nchini Malawi kutangazwa na kuonyesha kuwa mgombea wa chama kikuu cha upinzani Democratic Progressive Party (DPP), Profesa Peter Mutharika, anaongoza...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EDr-zswlq3PmqBiTHgX-kARe4DzLRJHIh03le5ellHe2xMlpts5JQMToYk*VkSm8BkjtwvU5gn5uu0WXjCKt2nTNLSs0demI/MissTz.gif?width=650)
MISS TANZANIA HOI MAREKANI
10 years ago
BBCSwahili14 Oct
Uholanzi hoi Kombe la Ulaya