New Music: Layla (The Voice Fairy) — Hoi Hoi
Wimbo wa msanii anayechipukia, Layla A. Walden aka The Voice Fairy uitwao ‘Hoi Hoi.’ Umetayarishwa kwenye studio za AM Records.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo516 Nov
Layla (Voice Fairy) – Msanii chipukizi wa Bongo aliyeshinda shindano la Yemi Alade na kuwa staa kwa kuimba cover za wasanii
![11253897_955031214568617_1983885996_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11253897_955031214568617_1983885996_n-300x194.jpg)
Kwa wapenzi wa mtandao wa Instagram, jina na sura ya Layla aka The Voice Fairy sio vigeni.
Muimbaji huyo wa Mwanza anayeishia Dar es Salaam kimasomo amejipatia umaarufu kwenye ulimwengu wa Instagram kwa kuimba nyimbo za wasanii wengine (cover) kabla hata ya kurekodi wimbo wake ‘Hoi Hoi’ uliotoka wiki iliyopita.
“Napenda sana kuimba nyimbo za watu napost kwenye Instagram yangu,” Layla alikiambia kipindi cha The Bridge cha Radio Free Africa, Jumapili, Nov 15.
“So hiyo ilinijengea...
11 years ago
BBCSwahili15 Jul
Ni shangwe na hoi hoi Ujerumani
9 years ago
Bongo525 Dec
New Music: Izzo Bizness f/ Navio & Mwasiti – Walala Hoi (Part 2)
![20151224222753](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/20151224222753-300x194.jpg)
Christmas ni siku ambayo Izzo Bizness anasherehekea siku ya kuzaliwa na ameamua kutoa zawadi kwa mashabiki wake. Ni part 2 ya wimbo wake Walala Hoi aliowashirikisha Navio na Mwasiti.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
CCM hoi
SIKU chache baada ya Bunge Maalum la Katiba kupitisha katiba inayopendekezwa, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinahaha kutafuta uungwaji mkono Zanzibar, Tanzania Daima Jumapili limedokezwa CCM kinatafuta uungwaji mkono visiwani humo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sbOBjnOKxdI/XkWivSlj2CI/AAAAAAALdUA/ZUdd_cdoGdMep-4WWN2A2y2JjF8K33n8wCLcBGAsYHQ/s72-c/7011241a-91e4-4a0f-8be0-83bf24a86144-1024x683.jpg)
CHADEMA HOI IFAKARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-sbOBjnOKxdI/XkWivSlj2CI/AAAAAAALdUA/ZUdd_cdoGdMep-4WWN2A2y2JjF8K33n8wCLcBGAsYHQ/s640/7011241a-91e4-4a0f-8be0-83bf24a86144-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/c4d5a10c-ad72-4984-b939-17a25f9a8aef.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/0804b0c3-797f-4040-973d-afd24e7aee65.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally, leo ameanza Ziara ya siku tatu Mkoani Morogoro ambapo katika mkutano wa ndani, madiwani watatu wakiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ifakara wamejivua uwanachama wa Chadema na kujiunga na CCM.
Madiwani hao ni Mashaka Benard Mwenyekiti wa Halmashauri, Chiza Shungu diwani Kata ya Mbasa na Digna Nyangile diwani viti maalum Ifakara.
Viongozi hao wamejiunga na CCM leo tarehe 13 Februari, 2020 katika mkutano wa Katibu Mkuu na...
11 years ago
Tanzania Daima25 May
Joyce Banda hoi
SIKU moja baada ya matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu nchini Malawi kutangazwa na kuonyesha kuwa mgombea wa chama kikuu cha upinzani Democratic Progressive Party (DPP), Profesa Peter Mutharika, anaongoza...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OsG-NixX39eSZRBEx3HHhmj9IoWksI*MfvzIVvAd1ktt-F3Zp9CXNF7BdJMBadbcEsl6yuF7d*UtJuwefIu1HA0371gKJ4xi/NATASHA.jpg?width=650)
NATASHA HOI KWA DENGU
10 years ago
BBCSwahili20 Mar
Klabu za England hoi kimataifa