Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NATASHA HOI KWA DENGU

Stori: imelda mtema STAA mkongwe wa filamu Bongo, Suzan Lewis ‘Natasha’ ameongeza listi ya mastaa ambao wameathirika na ugonjwa wa dengu (Dengue Fever). Staa mkongwe wa filamu Bongo, Suzan Lewis ‘Natasha’. Akipiga stori na mwandishi wetu, Natasha alisema tangu Rais Jakaya Kikwete aingie madarakani, hajawahi kuugua hata homa lakini kwa mara ya kwanza mwaka huu homa ya dengu imemlaza. “Nilianza...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

DK. CHENI NAYE HOI KWA DENGU

Stori: waanDISHI WETU TUMEKWISHA! Baada ya nyota wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ kulazwa Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar kwa kuugua ugonjwa hatari ulioibuka wa Homa ya Dengu (Dengue Fever), staa wa sinema za Kibongo, Muhsein Awadh ‘Dk Cheni’ naye amekumbwa na gonjwa hilo.
Akizungumza kwa tabu akiwa kwenye Hospitali ya Burhani iliyopo maeneo ya Posta, Dar alikolazwa, Dk Cheni alisema kuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

NATASHA SHAYROSE WIMBO WAKE MWINGINE HUU HAPA JIPAKULIE NATASHA MTANZANIA YUPO NORWAY


http://www.soundcloud.com/natashashyrosehttp://www.myspace.com/blackrose52http://www.oddisbold.comhttp://natasha-shyrose.blogspot.no. Ukitaka kujua zaidi kuhusu na Natasha tembelea kwenye hizo link na utakudundua kipaji chake siyo cha kubahatisha.

 

11 years ago

GPL

UNGANA NA GLOBAL TV ONLINE JUMATANO IJAYO KUJUA KWA UNDANI GONJWA HATARI LA HOMA YA DENGU

GLOBAL TV ONLINE itakuletea kipindi maaalum kitakachoelezea kwa undani kuhusu gonjwa hatari linalotikisa nchi la Homa ya Dengu. Kipindi hicho kitaruka GLOBAL TV ONLINE Jumatano ijayo ya Mei 14 mwaka…

 

10 years ago

Mwananchi

Natasha akerwa na utovu wa nidhamu kwa waigizaji wa kike

Mwigizaji mkongwe wa filamu nchini Natasha Mamvi amesema utovu wa nidhamu na maisha yaliyojaa ukakasi kwa waigizaji wa kike hivi sasa, ni matokeo ya kuingia katika fani pasipo kupitia mafunzo ya taaluma hiyo.

 

9 years ago

Bongo5

New Music: Layla (The Voice Fairy) — Hoi Hoi

12237221_1669908713222926_427056748_n

Wimbo wa msanii anayechipukia, Layla A. Walden aka The Voice Fairy uitwao ‘Hoi Hoi.’ Umetayarishwa kwenye studio za AM Records.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo Movies

Natasha Atoa Wito Kwa Makampuni ya Filamu Kufanya Kazi na Watoto Hawa

Staa wa Bongo Movies, Susan Humba ‘Natasha’ amewataka wenye makampuni ya uandaaji wa filamu za bongo kuwatumia watoto wenye vipaji ambao wana ulemavu wa viungo.

Natasha alitoa kauli hiyo kwa watoto hao wenye ulemavu wa viungo wanaosoma Shule ya Sekondari Jangwani, jijini Dar es Salaam, baada ya kuonyesha uwezo wao wa kuigiza mbele yake.

Wanafunzi hao walionesha vipaji vyao mwishoni mwa wiki iliyopita, wakati wa uzinduzi wa shirika lisilo la kiserikali la Save Vulnerable Foundation (SVF),...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ni shangwe na hoi hoi Ujerumani

Maelfu ya mashabiki wa soka nchini Ujerumani wamekusanyika tangu asubuhi mjini Berlin kuwakaribisha wachezaji wa timu ya taifa ya soka ambayo ilishinda kombe la dunia Brazil.

 

11 years ago

GPL

HOMA YA DENGU YATUA MWANZA

Mbu aina ya Aedes anayeeneza virusi vya homa ya dengue. UGONJWA wa homa ya dengue yaani “dengue fever” umeingia jijini Mwanza ambapo mgonjwa wa kwanza ameripotiwa kulazwa hospitali ya mkoa, Sekou Toure. Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Valentino Bangi amehibitisha kuingia ugojwa huo ndani ya mkoa wake. Ugonjwa huu ulithibitishwa kuingia nchini baada ya sampuli zilizochukuliwa kutoka kwa watu waliohisiwa kuwa na ugonjwa...

 

11 years ago

GPL

JOKATE AHOFIA HOMA YA DENGU

Na Shani Ramadhani
MWANAMITINDO maarufu Bongo ambaye pia ni Mtangazaji wa Kituo cha Runinga cha Channel O cha Sauzi, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ ameweka wazi hofu aliyonayo juu ya gonjwa hatari la Homa ya Dengu ambalo limeshika kasi katika jiji la Dar es Salaam. Mwanamitindo maarufu Bongo ambaye pia ni Mtangazaji wa Kituo cha Runinga cha Channel O Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ Akizungumza na paparazi wetu juzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani