Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HOMA YA DENGU YATUA MWANZA

Mbu aina ya Aedes anayeeneza virusi vya homa ya dengue. UGONJWA wa homa ya dengue yaani “dengue fever” umeingia jijini Mwanza ambapo mgonjwa wa kwanza ameripotiwa kulazwa hospitali ya mkoa, Sekou Toure. Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Valentino Bangi amehibitisha kuingia ugojwa huo ndani ya mkoa wake. Ugonjwa huu ulithibitishwa kuingia nchini baada ya sampuli zilizochukuliwa kutoka kwa watu waliohisiwa kuwa na ugonjwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

JOKATE AHOFIA HOMA YA DENGU

Na Shani Ramadhani
MWANAMITINDO maarufu Bongo ambaye pia ni Mtangazaji wa Kituo cha Runinga cha Channel O cha Sauzi, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ ameweka wazi hofu aliyonayo juu ya gonjwa hatari la Homa ya Dengu ambalo limeshika kasi katika jiji la Dar es Salaam. Mwanamitindo maarufu Bongo ambaye pia ni Mtangazaji wa Kituo cha Runinga cha Channel O Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ Akizungumza na paparazi wetu juzi...

 

11 years ago

GPL

UNGANA NA GLOBAL TV ONLINE JUMATANO IJAYO KUJUA KWA UNDANI GONJWA HATARI LA HOMA YA DENGU

GLOBAL TV ONLINE itakuletea kipindi maaalum kitakachoelezea kwa undani kuhusu gonjwa hatari linalotikisa nchi la Homa ya Dengu. Kipindi hicho kitaruka GLOBAL TV ONLINE Jumatano ijayo ya Mei 14 mwaka…

 

10 years ago

Michuzi

AIRTEL FURSA YATUA MWANZA

 Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania Jackson Mmbando akiongea na vijana
wa Mwanza wakati wa uzinduzi  wa warsha maalum kwa vijana  ya'Airtel
Fursa'  kutoka Airtel Tanzania yenye lengo la kuwawezesha Vijana
wajasiliamali nchini iliyofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya jiji
Mwanza. Baadhi ya vijana wa mwanza wakifuatilia kwa makini mafunzo yalikuwa
yakiendeshwa na Airtel Fursa yenye lengo la kuwawezesha vijana kupata
mafunzo kwenye usimamizi wa fedha, upatikanaji wa mikopo, kufungua
akaunti ya...

 

10 years ago

Vijimambo

TIMU YA IMETOSHA YATUA MWANZA



Katibu wa Imetosha Salome Gregory akifuatiwa na Balozi Mdimu na Issaya Mwakilasa(wakuvwanga) wakiteremka toka ndegeni leo asubuhi katika uwanja wa ndege wa Mwanza.Toka kushoto Wakuvwanga, Zaytuni Biboze, Salome Gregory, Henry Mdimu na  msanii wa muziki wa reggae Jhikoman Manyika wakiwa nje ya uwanja wa ndege jijini Mwanza mara baada ya kuwasili leo asubuhiUjumbe wa taasisi ya Imetosha inayojishughulisha na utoaji elimu juu ya kumaliza unyanyapaa,  ukatili na mauaji kwa watu wenye ualbino...

 

11 years ago

Habarileo

Grow yatua Mwanza kumsaka Mama Shujaa wa Chakula

KAMPENI ya Grow inayotetea haki ya chakula na uzalishaji imetua jijini Mwanza kwa ajili ya kuhamasisha wanawake wakulima na wafugaji kujitokeza na kujaza fomu za kushiriki shindano la Mama Shujaa wa Chakula.

 

10 years ago

Michuzi

KAMPENI YA ZUIA AJALI SASA,TOA TAARIFA MAPEMA YATUA JIJINI MWANZA

  Mkuu wa Vodacom Tanzania kanda ya ziwa Dominician Mkama akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(Hawapo pichani)wakati wa kuendeleza kampeni ya kuzuia ajali barabarani inayojulikana kama“Zuia Ajali Sasa,Toa Taarifa Mapema” kupitia namba 0800757575 kwa watumiaji wote wa simu ikiwa nibure kwa wateja wa Vodacom.Kampeni hiyo inayoendeshwa na jeshi la polisi  kikosi cha Usalama barabarani,Vodacom Tanzania na vyombo vya habari vya ITV/Radio one ilifanyika  katika stendi ya mabasi ya Nyegezi...

 

10 years ago

GPL

KAMPENI YA ZUIA AJALI SASA,TOA TAARIFA MAPEMA YATUA JIJINI MWANZA‏

Mkuu wa Vodacom Tanzania kanda ya ziwa Dominician Mkama akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kuendeleza kampeni ya kuzuia ajali barabarani inayojulikana kama “Zuia Ajali Sasa,Toa Taarifa Mapema” kupitia namba 0800757575 kwa watumiaji wote wa simu ikiwa ni bure kwa wateja wa Vodacom. Kampeni hiyo inayoendeshwa na Jeshi la Polisi  kikosi cha Usalama Barabarani, Mtandao Tanzania na...

 

10 years ago

Michuzi

KWETU HOUSE 2015 MSIMU WA PILI YATUA JIJINI MWANZA KUSAKA VIPAJI KWA MASHABIKI WA SOKA, MSHINDI KULAMBA MILIONI 15

Msimu wa pili wa Kwetu House - “kwetu house, kipaji zaidi ya soka” hili shindano ambalo hujumuisha zaidi wapenzi wa soka wenye Kipaji, jumla ya mikoa mitano (Arusha, Zanzibar, Dodoma, Mbeya na Mwanza) kutoa washiriki zaidi kwa ajili ya kunogesha na kuleta upinzani wa kutosha msimu huu mshindi ataondoka na kitita cha shilingi milioni 15, tofauti na msimu uliopita ambao ilikuwa Sh milioni 10.
Baada ya Kwetu House kusaka Shabiki mwenye Kipaji Kwenye Mikoa ya Arusha, Zanzibar,Dodoma na Mbeya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani