Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMPENI YA ZUIA AJALI SASA,TOA TAARIFA MAPEMA YATUA JIJINI MWANZA‏

Mkuu wa Vodacom Tanzania kanda ya ziwa Dominician Mkama akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kuendeleza kampeni ya kuzuia ajali barabarani inayojulikana kama “Zuia Ajali Sasa,Toa Taarifa Mapema” kupitia namba 0800757575 kwa watumiaji wote wa simu ikiwa ni bure kwa wateja wa Vodacom. Kampeni hiyo inayoendeshwa na Jeshi la Polisi  kikosi cha Usalama Barabarani, Mtandao Tanzania na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KAMPENI YA ZUIA AJALI SASA,TOA TAARIFA MAPEMA YATUA JIJINI MWANZA

  Mkuu wa Vodacom Tanzania kanda ya ziwa Dominician Mkama akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(Hawapo pichani)wakati wa kuendeleza kampeni ya kuzuia ajali barabarani inayojulikana kama“Zuia Ajali Sasa,Toa Taarifa Mapema” kupitia namba 0800757575 kwa watumiaji wote wa simu ikiwa nibure kwa wateja wa Vodacom.Kampeni hiyo inayoendeshwa na jeshi la polisi  kikosi cha Usalama barabarani,Vodacom Tanzania na vyombo vya habari vya ITV/Radio one ilifanyika  katika stendi ya mabasi ya Nyegezi...

 

10 years ago

Michuzi

KWETU HOUSE 2015 MSIMU WA PILI YATUA JIJINI MWANZA KUSAKA VIPAJI KWA MASHABIKI WA SOKA, MSHINDI KULAMBA MILIONI 15

Msimu wa pili wa Kwetu House - “kwetu house, kipaji zaidi ya soka” hili shindano ambalo hujumuisha zaidi wapenzi wa soka wenye Kipaji, jumla ya mikoa mitano (Arusha, Zanzibar, Dodoma, Mbeya na Mwanza) kutoa washiriki zaidi kwa ajili ya kunogesha na kuleta upinzani wa kutosha msimu huu mshindi ataondoka na kitita cha shilingi milioni 15, tofauti na msimu uliopita ambao ilikuwa Sh milioni 10.
Baada ya Kwetu House kusaka Shabiki mwenye Kipaji Kwenye Mikoa ya Arusha, Zanzibar,Dodoma na Mbeya...

 

9 years ago

Michuzi

TAARIFA YA MSIBA JIJINI MWANZA

Mwalimu Kulthum R. Mussa (Mwambambale) wa Nyakato National Mwanza anasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Mumewe Dr. Hassan Marekero Mdee kilichotokea katika Hospitali ya Bugando Mwanza tarehe 22.11.2015. Msiba upo nyumbani kwake Nyakato National Mahina karibu na kanisa la Roma. Heshima za mwisho zitatolewa siku ya Jumanne kuanzia saa 7 mchana nyumbani kwa Marehemu Mahina. Marehemu atasafirishwa siku ya Jumatano alifajiri kuelekea Moshi Uchira kwa mazishi ambayo yatafanyika siku ya...

 

10 years ago

Vijimambo

NDEGE YA JWTZ YAPATA AJALI JIJINI MWANZA LEO

Ndegevita moja ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ikiteketea kwa moto huku jitihada za kuuzima zikiendelea katika ajali iliyotokea leo Februari 27, 2015 katika uwanja wa ndege wa kijeshi wa MwanzaJeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linapenda kutoa taarifa ya ajali ya Ndegevita moja (1) iliyotokea leo tarehe 27 Februari 2015 katika uwanja wa ndege wa kijeshi wa Mwanza.

Ndegevita za JWTZ zilikuwa katika mazoezi ya kawaida ya kivita, Wakati rubani wa ndegevita...

 

10 years ago

GPL

KAMANDA MPINGA: TOA TAARIFA UKIONA MWENDO KASI WA BASI

Makala: Elvan Stambuli Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, Naibu Kamishna Mohamed Mpinga ametoa wito kwa abiria kutoa taarifa waonapo dereva ana mwendo kasi katika basi. Akihojiwa na waandishi wa habari huku akirekodiwa na Global Tv Online ambao watarusha leo kupitia mtandao wa www. Globalpublishers.com, baadhi ya mahojiano hayo yalikuwa hivi: Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Mohamed R. Mpinga...

 

9 years ago

GPL

MAGUFULI AFUNGA KAMPENI ZAKE JIJINI MWANZA KWA KISHINDO

Mgombea urais kwa tiketi ya CCm, Dk John Pombe Magufuli akiusalimia umati wa watu waliofika kwenye mkutano wake wa kufunga kampeni katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. Rais wa Jamhuri ya uungano wa Tanzania anayemaliza muda wake, Dk Jakaya Mrisho Kikwete akiingia katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza huku akicheza.…

 

10 years ago

Vijimambo

TANAPA WAZINDUA KAMPENI YA KUTANGAZA UTALII WA NDANI JIJINI MWANZA.

Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akiwasili katika viwanja vya Yatch Club jijini Mwanza kwa ajili ya shughuli ya uzinduzi wa kampeni ya kutangaza Utalii wa Ndani.
Baadhi ya Waaandishi wa Habari waliofika kwa ajili ya shughuli hiyo ya uzinduzi wa kampeni ya kutangaza Utalii wa ndani.Baadhi ya wafanyakazi wa Shirika la Hifadhi za Taifa wakiwa katika hafla ya uzinduzi wa kampeni ya kutangaza Utalii wa ndani.Kikundi cha Ngoma cha Bujorwa kikitoa burudani kwa wageni waalikwa.Meneja...

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: NDEGE YA JWTZ YAPATA AJALI JIJINI MWANZA LEO

Ndegevita moja ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ikiteketea kwa moto huku jitihada za kuuzima zikiendelea katika ajali iliyotokea leo Februari 27, 2015 katika uwanja wa ndege wa kijeshi wa MwanzaJeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linapenda kutoa taarifa ya ajali ya Ndegevita moja (1) iliyotokea leo tarehe 27 Februari 2015 katika uwanja wa ndege wa kijeshi wa Mwanza.
Ndegevita za JWTZ zilikuwa katika mazoezi ya kawaida ya kivita,  Wakati rubani wa ndegevita...

 

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA KITCHEN PARTY GALA JIJINI MWANZA‏

Elimu ikitolewa katika Familia Kitchen Party Gala jijini Mwanza jana. Msanii Mwasiti akitoa burudani wakati wa Familia Kitchen Party Gala jijini…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani