TAARIFA YA MSIBA JIJINI MWANZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-cBIZcaazxcg/VlMSWMZIJwI/AAAAAAAIIBQ/Sne9mHLkqFk/s72-c/Untitled.png)
Mwalimu Kulthum R. Mussa (Mwambambale) wa Nyakato National Mwanza anasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Mumewe Dr. Hassan Marekero Mdee kilichotokea katika Hospitali ya Bugando Mwanza tarehe 22.11.2015. Msiba upo nyumbani kwake Nyakato National Mahina karibu na kanisa la Roma. Heshima za mwisho zitatolewa siku ya Jumanne kuanzia saa 7 mchana nyumbani kwa Marehemu Mahina. Marehemu atasafirishwa siku ya Jumatano alifajiri kuelekea Moshi Uchira kwa mazishi ambayo yatafanyika siku ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jyhqoMnukzk/Uw2LfVHXm5I/AAAAAAAFPmE/nCBRWWrYLzc/s72-c/New+Picture+(12).png)
TAARIFA YA MSIBA JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-jyhqoMnukzk/Uw2LfVHXm5I/AAAAAAAFPmE/nCBRWWrYLzc/s1600/New+Picture+(12).png)
Familia ya Bwana Venance Ngula inasikitika kutangaza kifo cha mkewe Bi. Agnes Matle Ngula kilichotokea saa 1.30 asubuhi siku ya Jumanne, tarehe 25 Februrari 2014, katika Hospitali ya TMJ, Dar Es Salaam- Tanzania.
Msiba upo nyumbani kwa familia ya Bw. Venance Ngula, eneo la Masaki, mkabala na Seacliff Appartments, Dar Es Salaam.
Mazishi yanatarajiiwa kufanyika Jumamosi, jijini Dar Es Salaam. Habari ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki...
10 years ago
MichuziKAMPENI YA ZUIA AJALI SASA,TOA TAARIFA MAPEMA YATUA JIJINI MWANZA
10 years ago
GPLKAMPENI YA ZUIA AJALI SASA,TOA TAARIFA MAPEMA YATUA JIJINI MWANZA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AzGFfH4FUF4/Uxs7XkD1j5I/AAAAAAAFSCg/tvp2U8RyTrA/s72-c/New+Picture+(12).png)
Taarifa ya Msiba
![](http://2.bp.blogspot.com/-AzGFfH4FUF4/Uxs7XkD1j5I/AAAAAAAFSCg/tvp2U8RyTrA/s1600/New+Picture+(12).png)
Marehemu anatarajiwa kuzikwa nyumbani kwake Morogoro siku ya Jumanne tarehe 11/3/2014. Marehemu ataagwa kesho Jumapili...
10 years ago
Michuzi23 Oct
TAARIFA YA MSIBA MINNESOTA
Familia ya ndugu Joel & Janeth Mburu inasikitika kuwataarifu juu ya msiba wa ghafla wa mama mzazi wa Janeth na Godson Gabagambi uliotokea leo hii asubuhi-Karagwe, nchini Tanzania.Mipango ya mazishi inaendelea kufanyika huko Karagwe, Tanzania .
Kwa marekani, Msiba upo nyumbani kwa Ndugu Joel & Janeth Mburu, Minnesota na watu wanakutanika nyumbani hapo kuanzia leo kwa anwani ifuatayo:-5250 Villa WayEdina MN 55436.
Kwa Uingereza ,msiba upo kwa Peter Gabagambi ;61...
10 years ago
Vijimambo02 Nov
TAARIFA YA MSIBA DMV
Kama ilivyo mila na desturi yetu kupeana pole ndio utamaduni wetu hasa katika kipindi hiki kigumu cha Jaffari kumpoteza mpendwa mama yake.
Kwa yeyote anayetaka kutoa mkono wa pole anapatikana katika address hii 5701 UNION BRIDGET CT, BOWIE...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5LCmscRm0iM/U6fLwB_oopI/AAAAAAAAiOk/9HHcPNLfYp4/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MEMBE AZINDUA FILAMU MPYA YA 'I LOVE MWANZA' JIJINI MWANZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-5LCmscRm0iM/U6fLwB_oopI/AAAAAAAAiOk/9HHcPNLfYp4/s1600/1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ZehuJYxWezc/VlTZqVfwZHI/AAAAAAAIISM/qOi6-4kXJbo/s72-c/nj.jpg)
MSIBA BUGANDO NA NYAKATO NATIONAL MWANZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZehuJYxWezc/VlTZqVfwZHI/AAAAAAAIISM/qOi6-4kXJbo/s640/nj.jpg)
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Taarifa ya msiba Washington DC na Tanzania !
Bi Nyamiti Lusinde enzi za uhai wake
Mheshimiwa Wilson M. Masilingi, Balozi wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania nchini Marekani, anasikitika kutangaza kifo cha Bi. Nyamiti Ivan Lusinde, aliyekuwa mfanyakazi wa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Washington DC.
Bi. Nyamiti Ivan Lusinde alifariki dunia Jumanne tarehe 17 Novemba,
2015 Dar Es Salaam, Tanzania ambapo alikuwa likizo yake ya mwaka.
Kitabu cha rambirambi kipo nyumbani kwa marehemu 20408
Honey Crisp Lane, Apartment E...