TAARIFA YA MSIBA MINNESOTA
Ndugu, Jamaa na Marafiki,
Familia ya ndugu Joel & Janeth Mburu inasikitika kuwataarifu juu ya msiba wa ghafla wa mama mzazi wa Janeth na Godson Gabagambi uliotokea leo hii asubuhi-Karagwe, nchini Tanzania.Mipango ya mazishi inaendelea kufanyika huko Karagwe, Tanzania .
Kwa marekani, Msiba upo nyumbani kwa Ndugu Joel & Janeth Mburu, Minnesota na watu wanakutanika nyumbani hapo kuanzia leo kwa anwani ifuatayo:-5250 Villa WayEdina MN 55436.
Kwa Uingereza ,msiba upo kwa Peter Gabagambi ;61...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi22 Jun
TAARIFA YA MSIBA MINNESOTA NA TANZANIA
Tunasikitika kuwataarifu ya kuwa Ndugu yetu na mwanajumuiya mwenzetu Elibariki Mshomi amefiwa na mdogo wake,Robert Mshomi huko Moshi Tanzania.Mazishi yamepangwa kufanyika Jumatatu June 23 2014 nyumbani kwao Moshi. Kama ilivyo kawaida ya desturi yetu,tunaombwa kujitokeza kumfariji ndugu yetu katika kipindi hiki kigumu.
Tutakuwa na Memorial Service,maombi na nafasi ya watu kuleta rambi rambi siku ya jumapili June 22nd 2014 saa kumi na nusu jioni (4.30pm)...
10 years ago
Vijimambo24 Oct
MSIBA MINNESOTA
Familia ya ndugu Joel & Janeth Mburu inasikitika kuwataarifu juu ya msiba wa ghafla wa mama mzazi wa Janeth na Godson Gabagambi uliotokea leo hii asubuhi-Karagwe, nchini Tanzania.Mipango ya mazishi inaendelea kufanyika huko Karagwe, Tanzania .
Kwa marekani, Msiba upo nyumbani kwa Ndugu Joel & Janeth Mburu, Minnesota na watu wanakutanika nyumbani hapo kuanzia leo kwa anwani ifuatayo:-5250 Villa WayEdina MN 55436.
Kwa Uingereza ,msiba upo kwa Peter Gabagambi ;61...
10 years ago
Vijimambo27 Oct
Msiba Mwingine Minnesota
Kwa Marekani, Msiba utakuwepo nyumbani kwa CM & Martha huko Apple Valley -Minnesota.Adress:15483 Flight Way,Apple Valley, MN 55124.
Kama ilivyo desturi yetu,tutakutanika nyumbani kwao leo jioni kuanzia saa kumi jioni kuwafariji na kuleta rambi rambi zetu kwa pamoja.Tunaomba tujitokeze...
10 years ago
Michuzi27 Oct
Msiba Mwingine Minnesota-Update 1
Kwa Marekani, Msiba utakuwepo nyumbani kwa CM & Martha huko Apple Valley -Minnesota.Adress:15483 Flight Way,Apple Valley, MN 55124.
Kama ilivyo desturi yetu,tutakutanika nyumbani kwao leo jioni kuanzia saa kumi jioni kuwafariji na kuleta rambi rambi...
10 years ago
VijimamboAfrican Development Center of Minnesota has hosted a very important meeting yesterday led by Senior U.S. Senator Amy Klobuchar and the leadership from Minnesota African Task Force Against Ebola
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-TPiyz_q_TGM/VFA-Ytn2eOI/AAAAAAAAAAM/41l-k_oBYDg/s72-c/NasibuSareva640.jpg)
African Development Center of Minnesota provides Minnesota’s African immigrants financial education
![](http://4.bp.blogspot.com/-TPiyz_q_TGM/VFA-Ytn2eOI/AAAAAAAAAAM/41l-k_oBYDg/s1600/NasibuSareva640.jpg)
Nasibu Sareva, Executive Director of African Development Center of Minnesota says “We’ve been working really hard to make sure that we continue to strive for excellence in our services.He gained inspiration and enduring leadership lessons as he watched his grandfather, Juma Suleiman Sareva, care for many people in a single household in Tanzania. “My grandad raised just about everybody,” Sareva said. “He raised his children, nieces, nephews and even grandchildren". For More Info Click...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AzGFfH4FUF4/Uxs7XkD1j5I/AAAAAAAFSCg/tvp2U8RyTrA/s72-c/New+Picture+(12).png)
Taarifa ya Msiba
![](http://2.bp.blogspot.com/-AzGFfH4FUF4/Uxs7XkD1j5I/AAAAAAAFSCg/tvp2U8RyTrA/s1600/New+Picture+(12).png)
Marehemu anatarajiwa kuzikwa nyumbani kwake Morogoro siku ya Jumanne tarehe 11/3/2014. Marehemu ataagwa kesho Jumapili...
10 years ago
Vijimambo02 Nov
TAARIFA YA MSIBA DMV
Kama ilivyo mila na desturi yetu kupeana pole ndio utamaduni wetu hasa katika kipindi hiki kigumu cha Jaffari kumpoteza mpendwa mama yake.
Kwa yeyote anayetaka kutoa mkono wa pole anapatikana katika address hii 5701 UNION BRIDGET CT, BOWIE...
10 years ago
Vijimambo28 Sep
Taarifa ya msiba Columbus, OHIO
Tunasikitika kuwapa taarifa ya msiba. Mwenyekiti wa jumuiya ya watanzania Columbus Deo Mwajulujwa Amefiwa na dada yake Angela Mchoropa. Dada Angela aliugua miezi michache iliyopita , Alipopata nafuu akaenda nyumbani Tanzania ambako Mauti yalimfikia. Kama mila Na desturi zeta kushirikiana na kumfariji mwenzetuKatia kipindi hiki kigumu. Anuani ya Deo ni hii ifuatayo:
1440 Sharon Green Columbus Ohio 43229 (614)378-8655
MWENYEZI MUNGU AMLAZE PEMA PEPONI"
Uongozi