TAARIFA YA MSIBA MINNESOTA NA TANZANIA
Ndugu,Jamaa na Marafiki ,
Tunasikitika kuwataarifu ya kuwa Ndugu yetu na mwanajumuiya mwenzetu Elibariki Mshomi amefiwa na mdogo wake,Robert Mshomi huko Moshi Tanzania.Mazishi yamepangwa kufanyika Jumatatu June 23 2014 nyumbani kwao Moshi.
Kama ilivyo kawaida ya desturi yetu,tunaombwa kujitokeza kumfariji ndugu yetu katika kipindi hiki kigumu.
Tutakuwa na Memorial Service,maombi na nafasi ya watu kuleta rambi rambi siku ya jumapili June 22nd 2014 saa kumi na nusu jioni (4.30pm)...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi23 Oct
TAARIFA YA MSIBA MINNESOTA
Familia ya ndugu Joel & Janeth Mburu inasikitika kuwataarifu juu ya msiba wa ghafla wa mama mzazi wa Janeth na Godson Gabagambi uliotokea leo hii asubuhi-Karagwe, nchini Tanzania.Mipango ya mazishi inaendelea kufanyika huko Karagwe, Tanzania .
Kwa marekani, Msiba upo nyumbani kwa Ndugu Joel & Janeth Mburu, Minnesota na watu wanakutanika nyumbani hapo kuanzia leo kwa anwani ifuatayo:-5250 Villa WayEdina MN 55436.
Kwa Uingereza ,msiba upo kwa Peter Gabagambi ;61...
10 years ago
Vijimambo24 Oct
MSIBA MINNESOTA
Familia ya ndugu Joel & Janeth Mburu inasikitika kuwataarifu juu ya msiba wa ghafla wa mama mzazi wa Janeth na Godson Gabagambi uliotokea leo hii asubuhi-Karagwe, nchini Tanzania.Mipango ya mazishi inaendelea kufanyika huko Karagwe, Tanzania .
Kwa marekani, Msiba upo nyumbani kwa Ndugu Joel & Janeth Mburu, Minnesota na watu wanakutanika nyumbani hapo kuanzia leo kwa anwani ifuatayo:-5250 Villa WayEdina MN 55436.
Kwa Uingereza ,msiba upo kwa Peter Gabagambi ;61...
10 years ago
Vijimambo27 Oct
Msiba Mwingine Minnesota
Kwa Marekani, Msiba utakuwepo nyumbani kwa CM & Martha huko Apple Valley -Minnesota.Adress:15483 Flight Way,Apple Valley, MN 55124.
Kama ilivyo desturi yetu,tutakutanika nyumbani kwao leo jioni kuanzia saa kumi jioni kuwafariji na kuleta rambi rambi zetu kwa pamoja.Tunaomba tujitokeze...
10 years ago
Michuzi27 Oct
Msiba Mwingine Minnesota-Update 1
Kwa Marekani, Msiba utakuwepo nyumbani kwa CM & Martha huko Apple Valley -Minnesota.Adress:15483 Flight Way,Apple Valley, MN 55124.
Kama ilivyo desturi yetu,tutakutanika nyumbani kwao leo jioni kuanzia saa kumi jioni kuwafariji na kuleta rambi rambi...
11 years ago
Michuzi11 Mar
TAARIFA YA MSIBA NEW YORK NA TANZANIA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-55aLjfD44Mo%2FUx6M3KBzxBI%2FAAAAAAAAhW4%2FHjfUZk8yHdU%2Fs1600%2F20140308_184516.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Mtanzania mwenzetu Mama Lulu John Maro Mwaluko amefariki dunia asubuhi ya siku ya Ijumaa tarehe 7 Machi 2014. Mama Mwaluko alikuwa akikaa Queens, New York na alishawahi kuwa mwalimu na alifundisha high school hapa New York. Mama Mwaluko alifariki baada ya kuugua ugonjwa wa saratani yaani kansa. Alikuwa akitibiwa huko katika hospitali ya Calvary huko Bronx, New York.
Mama Mwaluko alishawahi kukaa na Marehemu mumewe China na Marekani kama Wanadiplomasia na alishastaafu kufundisha mwaka...
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Taarifa ya msiba Washington DC na Tanzania !
Bi Nyamiti Lusinde enzi za uhai wake
Mheshimiwa Wilson M. Masilingi, Balozi wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania nchini Marekani, anasikitika kutangaza kifo cha Bi. Nyamiti Ivan Lusinde, aliyekuwa mfanyakazi wa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Washington DC.
Bi. Nyamiti Ivan Lusinde alifariki dunia Jumanne tarehe 17 Novemba,
2015 Dar Es Salaam, Tanzania ambapo alikuwa likizo yake ya mwaka.
Kitabu cha rambirambi kipo nyumbani kwa marehemu 20408
Honey Crisp Lane, Apartment E...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-QeQ76yvRbtA/VFpXEWXPDOI/AAAAAAADMcc/blaeEyeLVeA/s72-c/stambuli.jpg)
Taarifa ya msiba Tanzania na Massachusetts
![](http://3.bp.blogspot.com/-QeQ76yvRbtA/VFpXEWXPDOI/AAAAAAADMcc/blaeEyeLVeA/s1600/stambuli.jpg)
Familia ya Stambuli inasikitika kutangaza kifo cha mtoto wao Idrissa Stambuli (32) kilichotokea Jumatatu tarehe 03/11/2014 huko Tanzania. Mazishi yatafanyika Jumatano tarehe 5/11/2014 baada ya salatul dhuhri huko Mbagala, Dar es salaam, Tanzania.
Kwa hapa Marekani msiba upo nyumbani 17 Walsh Street, Springfield, Massachusetts 01109.
Tutafanya kisomo cha kumuombea marehemu Jumamosi Novemba 8, 2014 kuanzia saa kumi jioni (4pm) mpaka saa Tatu usiku (9pm) katika Masjid Al Baqi 148 Fort...
10 years ago
Vijimambo22 Mar
TAARIFA YA MSIBA DMV NA TANZANIA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-o_Q1JmQY19I/VkvyvYWD_RI/AAAAAAAIGfA/WLJTITuQ9CI/s72-c/d.png)
TAARIFA YA MSIBA WASHINGTONG DC NA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-o_Q1JmQY19I/VkvyvYWD_RI/AAAAAAAIGfA/WLJTITuQ9CI/s640/d.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-j0tV1RQvM3g/Vkvy7TkZe6I/AAAAAAAIGfI/mRGbKAE1lKo/s640/r.jpg)
Bi. Nyamiti Ivan Lusinde alifariki dunia Jumanne tarehe 17 Novemba, 2015 Dar Es Salaam, Tanzania ambapo alikuwa likizo yake ya mwaka.
Kitabu cha rambirambi kipo nyumbani kwa marehemu20408 Honey Crisp Lane, Apartment E Germantown, MD 20876
Maelezo zaidi kuhusu...