Taarifa ya msiba Tanzania na Massachusetts
![](http://3.bp.blogspot.com/-QeQ76yvRbtA/VFpXEWXPDOI/AAAAAAADMcc/blaeEyeLVeA/s72-c/stambuli.jpg)
Familia ya Stambuli inasikitika kutangaza kifo cha mtoto wao Idrissa Stambuli (32) kilichotokea Jumatatu tarehe 03/11/2014 huko Tanzania. Mazishi yatafanyika Jumatano tarehe 5/11/2014 baada ya salatul dhuhri huko Mbagala, Dar es salaam, Tanzania.
Kwa hapa Marekani msiba upo nyumbani 17 Walsh Street, Springfield, Massachusetts 01109.
Tutafanya kisomo cha kumuombea marehemu Jumamosi Novemba 8, 2014 kuanzia saa kumi jioni (4pm) mpaka saa Tatu usiku (9pm) katika Masjid Al Baqi 148 Fort...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iWQLdLp0ng8/U-8sr9XOsPI/AAAAAAAF__o/-8GgxoNhOc8/s72-c/IMG-20140816-WA0001.jpg)
Msiba Boston Massachusetts
![](http://2.bp.blogspot.com/-iWQLdLp0ng8/U-8sr9XOsPI/AAAAAAAF__o/-8GgxoNhOc8/s1600/IMG-20140816-WA0001.jpg)
kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana naMartin Kibusi 16179436400Steven kibusi. 16173142910Margareth Pelelwa Shauri 7816326161Mapi Andrew Mwankemwa 857 251-8881 Vilevile unaweza...
11 years ago
Michuzi11 Mar
TAARIFA YA MSIBA NEW YORK NA TANZANIA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-55aLjfD44Mo%2FUx6M3KBzxBI%2FAAAAAAAAhW4%2FHjfUZk8yHdU%2Fs1600%2F20140308_184516.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Mtanzania mwenzetu Mama Lulu John Maro Mwaluko amefariki dunia asubuhi ya siku ya Ijumaa tarehe 7 Machi 2014. Mama Mwaluko alikuwa akikaa Queens, New York na alishawahi kuwa mwalimu na alifundisha high school hapa New York. Mama Mwaluko alifariki baada ya kuugua ugonjwa wa saratani yaani kansa. Alikuwa akitibiwa huko katika hospitali ya Calvary huko Bronx, New York.
Mama Mwaluko alishawahi kukaa na Marehemu mumewe China na Marekani kama Wanadiplomasia na alishastaafu kufundisha mwaka...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-o_Q1JmQY19I/VkvyvYWD_RI/AAAAAAAIGfA/WLJTITuQ9CI/s72-c/d.png)
TAARIFA YA MSIBA WASHINGTONG DC NA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-o_Q1JmQY19I/VkvyvYWD_RI/AAAAAAAIGfA/WLJTITuQ9CI/s640/d.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-j0tV1RQvM3g/Vkvy7TkZe6I/AAAAAAAIGfI/mRGbKAE1lKo/s640/r.jpg)
Bi. Nyamiti Ivan Lusinde alifariki dunia Jumanne tarehe 17 Novemba, 2015 Dar Es Salaam, Tanzania ambapo alikuwa likizo yake ya mwaka.
Kitabu cha rambirambi kipo nyumbani kwa marehemu20408 Honey Crisp Lane, Apartment E Germantown, MD 20876
Maelezo zaidi kuhusu...
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Taarifa ya msiba Washington DC na Tanzania !
Bi Nyamiti Lusinde enzi za uhai wake
Mheshimiwa Wilson M. Masilingi, Balozi wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania nchini Marekani, anasikitika kutangaza kifo cha Bi. Nyamiti Ivan Lusinde, aliyekuwa mfanyakazi wa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Washington DC.
Bi. Nyamiti Ivan Lusinde alifariki dunia Jumanne tarehe 17 Novemba,
2015 Dar Es Salaam, Tanzania ambapo alikuwa likizo yake ya mwaka.
Kitabu cha rambirambi kipo nyumbani kwa marehemu 20408
Honey Crisp Lane, Apartment E...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bnCVzIzhjvE/U4b9Jk1UQ1I/AAAAAAACrXw/8DDw4iO6t8g/s72-c/Mrs.+Aruken+G+Mushi.jpg)
Taarifa ya Msiba Tanzania na DMV
![](http://1.bp.blogspot.com/-bnCVzIzhjvE/U4b9Jk1UQ1I/AAAAAAACrXw/8DDw4iO6t8g/s1600/Mrs.+Aruken+G+Mushi.jpg)
Sarah Mushi wa Ashburn, VA anasikitika kutangaza kifo cha mama yake mzazi Mrs. Aruken Geoffrey Mushi (pichani) kilichotokea Jumatano May 29, 2014. Msiba upo nyumbani kwa mfiwa: 20937 Killawog Terr, Ashburn, VA 20147.
Kwa taarifa zaidi unaweza kuwasiliana na: David Kisanga (703)932-0540.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe
10 years ago
Vijimambo22 Mar
TAARIFA YA MSIBA DMV NA TANZANIA
11 years ago
Michuzi22 Jun
TAARIFA YA MSIBA MINNESOTA NA TANZANIA
Tunasikitika kuwataarifu ya kuwa Ndugu yetu na mwanajumuiya mwenzetu Elibariki Mshomi amefiwa na mdogo wake,Robert Mshomi huko Moshi Tanzania.Mazishi yamepangwa kufanyika Jumatatu June 23 2014 nyumbani kwao Moshi. Kama ilivyo kawaida ya desturi yetu,tunaombwa kujitokeza kumfariji ndugu yetu katika kipindi hiki kigumu.
Tutakuwa na Memorial Service,maombi na nafasi ya watu kuleta rambi rambi siku ya jumapili June 22nd 2014 saa kumi na nusu jioni (4.30pm)...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-HSFHD28Zqzk/VXnQA4HrNtI/AAAAAAADrG8/jLpPJt0s-zk/s72-c/unnamed.jpg)
TAARIFA YA MSIBA NEW YORK NA TANZANIA, LEO NI SIKU YA MWISHO MWILI WA MAREHEMU UNAPUMZISHWA KWENYE NYUMBA YA MILELE HUKO TANZANIA, WATANZANI TUTAKUTANA NYUMBANI KWA DR TEMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-HSFHD28Zqzk/VXnQA4HrNtI/AAAAAAADrG8/jLpPJt0s-zk/s320/unnamed.jpg)
Alizaliwa Uru Shimbwe na alikuwa Mwalimu Lyamungu Secondary School, Moshi Kilimamjaro Tanzania.
Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania kwa Masikitiko makubwa tunaungana na Mweka na Mweka Hazina wetu Dr.Temba kutangaza kifo cha Kaka yake mpenzi Mzee Flavian Temba kilichotokea ghafla usiku wa June 10,2015 katika Hospitali ya Mawenzi Moshi Kilimanjaro, Tanzania. Kama ilivyo desturi yetu wanajumuiya tuungane na Dr.Temba...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AzGFfH4FUF4/Uxs7XkD1j5I/AAAAAAAFSCg/tvp2U8RyTrA/s72-c/New+Picture+(12).png)
Taarifa ya Msiba
![](http://2.bp.blogspot.com/-AzGFfH4FUF4/Uxs7XkD1j5I/AAAAAAAFSCg/tvp2U8RyTrA/s1600/New+Picture+(12).png)
Marehemu anatarajiwa kuzikwa nyumbani kwake Morogoro siku ya Jumanne tarehe 11/3/2014. Marehemu ataagwa kesho Jumapili...