Taarifa ya Msiba
![](http://2.bp.blogspot.com/-AzGFfH4FUF4/Uxs7XkD1j5I/AAAAAAAFSCg/tvp2U8RyTrA/s72-c/New+Picture+(12).png)
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) anasikitika kutangaza kifo cha Mfanyakazi wa Wakala Mhandisi Charles M. Madinda kilichotokea ghafla leo jumamosi tarehe 8/3/2014 katika hospitali ya Amana – Ilala Dar es Salaam. Habari ziwafikie Wafanyakazi wote wa TANROADS, Wizara ya Ujenzi na Taasisi zake zote pamoja na ndugu, jamaa na marafiki popote pale walipo.
Marehemu anatarajiwa kuzikwa nyumbani kwake Morogoro siku ya Jumanne tarehe 11/3/2014. Marehemu ataagwa kesho Jumapili...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi23 Oct
TAARIFA YA MSIBA MINNESOTA
Familia ya ndugu Joel & Janeth Mburu inasikitika kuwataarifu juu ya msiba wa ghafla wa mama mzazi wa Janeth na Godson Gabagambi uliotokea leo hii asubuhi-Karagwe, nchini Tanzania.Mipango ya mazishi inaendelea kufanyika huko Karagwe, Tanzania .
Kwa marekani, Msiba upo nyumbani kwa Ndugu Joel & Janeth Mburu, Minnesota na watu wanakutanika nyumbani hapo kuanzia leo kwa anwani ifuatayo:-5250 Villa WayEdina MN 55436.
Kwa Uingereza ,msiba upo kwa Peter Gabagambi ;61...
10 years ago
Vijimambo02 Nov
TAARIFA YA MSIBA DMV
Kama ilivyo mila na desturi yetu kupeana pole ndio utamaduni wetu hasa katika kipindi hiki kigumu cha Jaffari kumpoteza mpendwa mama yake.
Kwa yeyote anayetaka kutoa mkono wa pole anapatikana katika address hii 5701 UNION BRIDGET CT, BOWIE...
11 years ago
MichuziTaarifa ya Msiba Philadelphia na New York
Marehemu Mama Kagaruki hakuwa mkazi wa Marekani. Kwa maana hiyo na kwa sababu msiba huu umetokea ghafla na kwa sababu ni Mtanzania mwenzetu tunaomba tusaidiane ili tuweze kufanikisha shughuli za msiba huu ili aweze...
11 years ago
Michuzi11 Mar
TAARIFA YA MSIBA NEW YORK NA TANZANIA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-55aLjfD44Mo%2FUx6M3KBzxBI%2FAAAAAAAAhW4%2FHjfUZk8yHdU%2Fs1600%2F20140308_184516.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Mtanzania mwenzetu Mama Lulu John Maro Mwaluko amefariki dunia asubuhi ya siku ya Ijumaa tarehe 7 Machi 2014. Mama Mwaluko alikuwa akikaa Queens, New York na alishawahi kuwa mwalimu na alifundisha high school hapa New York. Mama Mwaluko alifariki baada ya kuugua ugonjwa wa saratani yaani kansa. Alikuwa akitibiwa huko katika hospitali ya Calvary huko Bronx, New York.
Mama Mwaluko alishawahi kukaa na Marehemu mumewe China na Marekani kama Wanadiplomasia na alishastaafu kufundisha mwaka...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-11B-edOpP2o/U8wtqPWl2OI/AAAAAAAF4JU/zvPs8AI4MDs/s72-c/IMG-20140720-WA0029.jpg)
TAARIFA YA MSIBA WA CLEMENT CHAGULA
![](http://1.bp.blogspot.com/-11B-edOpP2o/U8wtqPWl2OI/AAAAAAAF4JU/zvPs8AI4MDs/s1600/IMG-20140720-WA0029.jpg)
Misa ya kumuaga marehemu itafanyika katika kanisa la st Albans jijini Dar es salaam siku ya Jumatatu tarehe 21 Julai 2014 saa saba mchana. Baada ya hapo mazishi yatafanyika katika makaburi ya kinondoni.
Bwana alitoa Bwana ametwaa
Jina lake na lihimidiweAmen
10 years ago
Vijimambo28 Sep
Taarifa ya msiba Columbus, OHIO
Tunasikitika kuwapa taarifa ya msiba. Mwenyekiti wa jumuiya ya watanzania Columbus Deo Mwajulujwa Amefiwa na dada yake Angela Mchoropa. Dada Angela aliugua miezi michache iliyopita , Alipopata nafuu akaenda nyumbani Tanzania ambako Mauti yalimfikia. Kama mila Na desturi zeta kushirikiana na kumfariji mwenzetuKatia kipindi hiki kigumu. Anuani ya Deo ni hii ifuatayo:
1440 Sharon Green Columbus Ohio 43229 (614)378-8655
MWENYEZI MUNGU AMLAZE PEMA PEPONI"
Uongozi
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-a00D1zTCOmw/VWWFVkK9pBI/AAAAAAAHaE0/jKQ146LJUm4/s72-c/unnamed.jpg)
TAARIFA YA MSIBA WA MZEE MGAYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-a00D1zTCOmw/VWWFVkK9pBI/AAAAAAAHaE0/jKQ146LJUm4/s640/unnamed.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-F0UGqkDs47c/UwRWlKa-UfI/AAAAAAAFN3E/0g_DI8VK6Qg/s72-c/unnamed+(17).jpg)
TAARIFA YA MSIBA KOROGWE TANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-F0UGqkDs47c/UwRWlKa-UfI/AAAAAAAFN3E/0g_DI8VK6Qg/s1600/unnamed+(17).jpg)
11 years ago
Michuzi22 Jun
TAARIFA YA MSIBA MINNESOTA NA TANZANIA
Tunasikitika kuwataarifu ya kuwa Ndugu yetu na mwanajumuiya mwenzetu Elibariki Mshomi amefiwa na mdogo wake,Robert Mshomi huko Moshi Tanzania.Mazishi yamepangwa kufanyika Jumatatu June 23 2014 nyumbani kwao Moshi. Kama ilivyo kawaida ya desturi yetu,tunaombwa kujitokeza kumfariji ndugu yetu katika kipindi hiki kigumu.
Tutakuwa na Memorial Service,maombi na nafasi ya watu kuleta rambi rambi siku ya jumapili June 22nd 2014 saa kumi na nusu jioni (4.30pm)...