Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taarifa ya Msiba Philadelphia na New York

Mama Harriette Peace Kagaruki amefariki dunia huko Philadelphia tarehe 28 Apil 2014. Marehemu alikuwa anaishi Tanzania na alikuwa amekuja Marekani kuwasalimia wanawe Erick Kagaruki (Ohio) na Mary Kagaruki (Philadelphia), na ndipo alipougua ghafla na baadae kuaga dunia.
Marehemu Mama Kagaruki hakuwa mkazi wa Marekani. Kwa maana hiyo na kwa sababu msiba huu umetokea ghafla na kwa sababu ni Mtanzania mwenzetu tunaomba tusaidiane ili tuweze kufanikisha shughuli za msiba huu ili aweze...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Maendeleo ya Msiba New York na Philadelphia


  Michango kwa ajili ya kufanikisha shughuli za msiba wa Marehemu Mama Harriette Peace Kagaruki aliyefariki dunia huko Philadelphia tarehe 28 April 2014 bado inaendelea. Mpaka sasa kiasi cha dolla 8,800 zimeshapatikana. Lengo ni kuchangisha dolla 20,000 ili kufanikisha shughuli za msiba huu uliotokea tarehe 28 April 2014.   Tunawaomba tuzidi kuchanga ili tuweze kufikia kiasi kinachohitajika na ili tuweze kufanikisha shughuli za kuurudisha mwili wa Marehemu Tanzania. Ukipata taarifa hizi...

 

11 years ago

Michuzi

Maendeleo ya Msiba Philadelphia na New York

Michango kwa ajili ya kufanikisha shughuli za msiba wa Marehemu Mama Harriette Peace Kagaruki aliyefariki dunia huko Philadelphia tarehe 28 April 2014 bado inaendelea. Mpaka sasa kiasi cha dolla 8,800 zimeshapatikana. Lengo ni kuchangisha dolla 20,000 ili kufanikisha shughuli za msiba huu uliotokea tarehe 28 April 2014.
Tunawaomba tuzidi kuchanga ili tuweze kufikia kiasi kinachohitajika na ili tuweze kufanikisha shughuli za kuurudisha mwili wa Marehemu Tanzania. Ukipata taarifa hizi...

 

11 years ago

Michuzi

Tangazo la Msiba Philadelphia na New York

Mama Harriette Peace Kagaruki  (pichani) amefariki dunia huko Philadelphia tarehe 28 Apil 2014. Marehemu alikuwa anaishi Tanzania na alikuwa amekuja Marekani kuwasalimia wanawe Erick Kagaruki (Ohio) na Mary Kagaruki (Philadelphia), na ndipo alipougua ghafla na baadae kuaga dunia.  Marehemu Mama Kagaruki hakuwa mkazi wa Marekani. 
Kwa maana hiyo na kwa sababu msiba huu umetokea ghafla na kwa sababu ni Mtanzania mwenzetu tunaomba tusaidiane ili tuweze kufanikisha shughuli za msiba huu...

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA YA MSIBA NEW YORK NA TANZANIA


Mtanzania mwenzetu Mama Lulu John Maro Mwaluko amefariki dunia asubuhi ya siku ya Ijumaa tarehe 7 Machi 2014. Mama Mwaluko alikuwa akikaa Queens, New York na alishawahi kuwa mwalimu na alifundisha high school hapa New York. Mama Mwaluko alifariki baada ya kuugua ugonjwa wa saratani yaani kansa. Alikuwa akitibiwa huko katika hospitali ya Calvary huko Bronx, New York.
Mama Mwaluko alishawahi kukaa na Marehemu mumewe China na Marekani kama Wanadiplomasia na alishastaafu kufundisha mwaka...

 

11 years ago

Michuzi

Taarifa ya Maendeleo ya Msiba, New York

Kama mlivyofahamishwa awali Mtanzania mwenzetu Mama Lulu John Maro Mwaluko (pichani) amefariki dunia asubuhi ya siku ya Ijumaa tarehe 7 Machi 2014. 
Mama Mwaluko alikuwa akikaa Queens, New York,  na alishawahi kuwa mwalimu na alifundisha high school hapa New York.  
Mama Mwaluko alifariki baada ya kuugua ugonjwa wa saratani yaani kansa. Alikuwa akitibiwa huko katika hospitali ya Calvary huko Bronx, New York. Michango yenu kwa ajili ya kufanikisha shughuli za msiba huu itumwe kwenye akaunti...

 

11 years ago

Michuzi

Maendeleo ya Taarifa ya Msiba wa mama Theonestina Rweyemamu huko new york, marekani

Kufuatia taarifa ya msiba tuliyowatumia jana, tunapenda kuwakumbusha kwamba watoto wa marehemu na ndugu na jamaa watakuwepo nyumbani leo na mnaweza kwenda kuwafariji na kutoa rambi rambi zenu wakati wowote. Address ni:  40 East Sidney Avenue,  Apt # 10C , Mount Vernon,  NY 10550.  Na namba ya simu ya nyumbani ni 914-667-6456. 
Bado harambe ya kutafuta dolla 10,000 za kufanikisha mipango ya mazishi inaendelea.  Tunawaomba mtafute walau muda mchache mweze kujumuika na Watanzania wenzetu...

 

10 years ago

Vijimambo

TAARIFA YA MSIBA NEW YORK NA TANZANIA, LEO NI SIKU YA MWISHO MWILI WA MAREHEMU UNAPUMZISHWA KWENYE NYUMBA YA MILELE HUKO TANZANIA, WATANZANI TUTAKUTANA NYUMBANI KWA DR TEMBA

FLAVIAN IS FLAVIAN TEMBA:   1950 -2015

Alizaliwa Uru Shimbwe na alikuwa Mwalimu  Lyamungu Secondary School, Moshi Kilimamjaro Tanzania.
 Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania kwa Masikitiko makubwa tunaungana na Mweka na Mweka Hazina wetu Dr.Temba kutangaza kifo cha Kaka yake mpenzi Mzee Flavian Temba kilichotokea ghafla usiku wa  June 10,2015 katika Hospitali ya Mawenzi Moshi Kilimanjaro, Tanzania. Kama ilivyo desturi yetu wanajumuiya tuungane na Dr.Temba...

 

10 years ago

Michuzi

MSIBA NEW YORK NA TANZANIA. MAZIKO YANATARAJIWA KUWA JUMAPILI JUNE 28,NEW JERSEY,TUTAUAGA MWILI BRONX,NEW YORK. RATIBA HII ITATEGEMEA NA UKAMILIFU WA MICHANGO YETU TAFADHALI CHANGIA ILI TUKAMILISHE JUKUMU HILI KWA PAMOJA.

MAREHEMU MZEE ALFRED MAGEGE.
Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania inaungana na Familia ya Magege kwa masikitiko kutangaza kifo cha marehemu Mzee Alfred Magege kilichotokea jumamosi June 13,2015. Marehemu Alfred Magege alisumbuliwa na Saratani ya mifupa kwa zaidi ya miaka kumi.Marehemu ameacha Mke na watoto watatu. Kama kawaida yetu tunaombwa watanzania tujitokeze ili kuwafariji wafiwa.Ili tukamilishe Msiba huu kiasi cha $10,000 kinahitajika.Watanzania...

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA NEW YORK NA TANZANIA

Familia ya Lwangisa inasikitika kutangaza kifo cha mpendwa baba yao mzazi kilichotokea leo New York nchini Marekani taarifa zaidi kuhusiana na msiba mzee Lwangisa zitafuata 
Kama ilivyokawaida kupeana pole ni kawaida yetu anuani ya msiba utakapokua tutaweka hapa baadaeKwa habari zaidi unaweza piga simu 
Peter Lwangisa (917) 681-6971Mao Lwangisa (917) 709-6889
bwana ametoa,Bwana ametoa na jina lake lihimidie

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani