Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAARIFA YA MSIBA DMV

JEFF DEO NKANDA (JAFFARI), Mtanzania mwenzetu DMV anasikitika kutangaza kifo cha mpendwa mama yake mzazi kilichotokea leo Tanzania. Jaffari anategemea kusafiri Jumatano Novemba 5, 2014 kuelekea Tanzania kumpimzisha mama yake katika nyumba yake ya milele . 
Kama ilivyo mila na desturi yetu kupeana pole ndio utamaduni wetu hasa katika kipindi hiki kigumu cha Jaffari kumpoteza mpendwa mama yake. 
Kwa yeyote anayetaka kutoa mkono wa pole anapatikana katika address hii  5701 UNION BRIDGET CT, BOWIE...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Taarifa ya Msiba Tanzania na DMV


Sarah Mushi wa Ashburn, VA anasikitika kutangaza kifo cha mama yake mzazi Mrs. Aruken Geoffrey Mushi (pichani) kilichotokea Jumatano May 29, 2014. Msiba upo nyumbani kwa mfiwa: 20937 Killawog Terr, Ashburn, VA 20147. 
Kwa taarifa zaidi unaweza kuwasiliana na: David Kisanga (703)932-0540.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe 

 

10 years ago

Vijimambo

TAARIFA YA MSIBA DMV NA TANZANIA

NDUGU YETU ALLY MUSA MIKIDADI AMEFIWA NA BABA YAKE MZAZI NYUMBANI TANZANIA MIPANGO YA MAZISHI INAENDELEA HUKO NYUMBANI TANZANIA KAMA KAWAIDA NA MILA ZETU KUPEANA POLE NA KUFARIJIANA.TUMFARIJI NDUGU YETU KWA KIPINDI HIKI KIGUMU CHA KUONDOKEWA NA BABA YAKE KIPENZINAMBA YA MFIWA NI201 628 2133.ADRESS6200 AGER ROADHYATTSVILLE MD 20782.

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA DMV

Ndugu zangu wana DMV Nasikitika kutangaza kifo cha mama mkwe wangu Bi Aziza Salum Bororo ambae ni mama wa mke wangu Bi Jamila Sharif kilichotokea nyumani Tanzania jumamosi 01/03/15 usiku.Msiba kwa sasa upo nyumbani kwetu adress ni 12726 Gladys Retreat Circle Bowie ,Md 20720 .Contact # 301-674-9667 Shariff202 -271-1860 Aunt Grace 301-395-5133 Aisha.

 

11 years ago

Michuzi

MISA YA MSIBA DMV

Dada Sarah Mushi wa Ashburn, VA anapenda kuwajulisha na kuwaomba mjumuike nae katika misa ya mpendwa mama yake mzazi Mrs. Aruken Geoffrey Mushi itakayofanyika Jumamosi June 7, 2014 katika kanisa OUR SAVIOR'S WAY LUTHERAN CHURCH liliko Ashburn.
Our Savior's Way Lutheran Church, 43115 Waxpool Rd, Ashburn, VA 20148 Ibada itaanza saa 6:00 mchana. Kwa taarifa zaidi unaweza kuwasiliana na David Kisanga: 703-932-0540 Mercy Ligate: 240-461-9477. Bwana ametoa, Bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe...

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA DMV NA TANZANIA

Mtanzania mwenzetu Darmatus Nambai anasikitika kutangaza kifo cha mpendwa mama yake mzazi kilichotokea leo Tanzania. Kama ilivyo ada na desturi kupeana pole ndio ustaarabu wetu ukipata wasaa mpitie mfiwa ndugu yetu, kaka yetu mwanaDMV mwenzetu Nambai kuumpa pole na kumfariji katika kipindi hiki kigumu cha kufiwa na mpendwa mama yake mzazi.
DMV msiba upo 4717 Eiderdown Ct,     Owings Mills, MD 21117
Kwa taarifa zaidi na maelekezo piga simu Nambai 301 523 1378Rehema 202 904 5029home 410 363...

 

11 years ago

Michuzi

Msiba Tanzania na DMV


Sarah Mushi wa Ashburn, VA anasikitika kutangaza kifo cha mama yake mzazi Mrs. Aruken Geoffrey Mushi (pichani) kilichotokea Jumatano May 29, 2014. Msiba upo nyumbani kwa mfiwa: 20937 Killawog Terr, Ashburn, VA 20147. 
Kwa taarifa zaidi unaweza kuwasiliana na: David Kisanga (703)932-0540.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe 

 

11 years ago

GPL

MISA YA MSIBA DMV‏

Dada Sarah Mushi wa Ashburn, VA anapenda kuwajulisha na kuwaomba mjumuike nae katika misa ya mpendwa mama yake mzazi Mrs. Aruken Geoffrey Mushi itakayofanyika Jumamosi June 7, 2014 katika kanisa OUR SAVIOR'S WAY LUTHERAN CHURCH liliko Ashburn.   Our Savior's Way Lutheran Church, 43115 Waxpool…

 

10 years ago

Vijimambo

TANGAZO LA MSIBA DMV NA TANZANIA

Ndugu yetu, dada yetu na Mtanzania mwenzetu Rhoda Kasanga amefiwa na mpendwa baba yake mzazi siku ya Alhamisi April 16, 2015 nyumbani Tanzania.
Hapa DMV msiba upo 706 Chillum Rd, Apt 201, Hyttsville, MD 20783
Kupena pole na kufarijiana ndio malezi tuliyokulia ikiwemo upendo na ukarimu. Ukipata muda tafadhali pitia nyumbani kwa mfiwa utoe mkono wa pole au unaweza kumpigia simu 301 272 5922
Bwana ametoa, bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe.

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA NEW MEXICO, DMV NA TANZANIA

BWANA LEMMY MAMUYA WA NEW MEXICO NA CAROLINE MAMUYA WA MARYLAND WANASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA BABA YAO DAUSON MAMUYA KILICHOTOKEA SIKU YA ALHAMISI FEBRUARI 12, 2015 NYUMBANI MARANGU MOSHI KAMA ILIVYO MILA NA DESTURI YETU KUPEANA POLE NDIO USTAARABU WETU.
WAFIWA WANATARAJIA KWENDA NYUMBANI JUMAPILI AU JUMATATU KWA SASA UNAWEZA PIGA SIMU NA KUWAPA POLE WAFIWA WATAKAPORUDI TOKA TANZANIA WATATUJULISHA ILI TUWEZEFIKA NYUMBANI KWAO HUKU MAREKANI KUWAPA MKONO WA POLE.SIMU YA LEMMY MAMUYA ‪(505)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani