MISA YA MSIBA DMV
![](http://3.bp.blogspot.com/-SGTY5gIw5RU/U4y7ZU0_51I/AAAAAAACsNY/0borno3cDd4/s72-c/Mrs.+Aruken+G+Mushi+(1).jpg)
Dada Sarah Mushi wa Ashburn, VA anapenda kuwajulisha na kuwaomba mjumuike nae katika misa ya mpendwa mama yake mzazi Mrs. Aruken Geoffrey Mushi itakayofanyika Jumamosi June 7, 2014 katika kanisa OUR SAVIOR'S WAY LUTHERAN CHURCH liliko Ashburn.
Our Savior's Way Lutheran Church,
43115 Waxpool Rd,
Ashburn,
VA 20148
Ibada itaanza saa 6:00 mchana.
Kwa taarifa zaidi unaweza kuwasiliana na
David Kisanga: 703-932-0540
Mercy Ligate: 240-461-9477.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-SGTY5gIw5RU/U4y7ZU0_51I/AAAAAAACsNY/0borno3cDd4/s1600/Mrs.+Aruken+G+Mushi+(1).jpg)
MISA YA MSIBA DMV
9 years ago
Vijimambo29 Oct
MSIBA DMV NA TANZANIA: MISA YA MAREHEMU MAMA GREN JUDICA MOSHI
Familia ya Herman Moshi inapenda kuwataarifu ndugu, jamaa na marafiki waishio DMV na vitongoji vyake kwamba misa ya kumuombea mpendwa mama yao Bibi Gren Judica Moshi itafanyika siku ya Jumapili November 1st 2015 kuanzia saa tisa na nusu mpaka saa kumi na moja (3:30 – 5:00pm) katika kanisa la Faith Moravian Church lililopo 405 Riggs Rd NE, Washington DC 20011.
Mama yetu mpendwa Gren alifariki dunia ghafla Tanzania, siku ya Jumamosi October...
11 years ago
MichuziDMV YAFANYA MISA YA KUMBUKUMBU NA KUOMBOLEZA KIFO CAROLINE MWAISELAGE DMV
10 years ago
Vijimambo16 Apr
MISA YA SHUKURANI JUMAPILI DMV
Tunakukaribisha ushiriki nasi kwenye Misa ya shukrani ya kumuombea baba wa Michael itakayofanyika tarehe 19th April katika kanisa la The way of cross gospel ministry from 2 pm to4pm. address 405 Riggs rd NE Washington DC.
for more information call me at 443-636-1782Thanks.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TzkpVeaVDlk/Vbu7Qqx7mcI/AAAAAAAHs9s/lnEk7ko6stI/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
SHUKURANI NA MISA YA KUMALIZA MSIBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-TzkpVeaVDlk/Vbu7Qqx7mcI/AAAAAAAHs9s/lnEk7ko6stI/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Familia ya Marehemu Mzee Richard Azza Mgaya inawaarifu ndugu, jamaa, marafiki na jirani kwamba shughuli ya kumaliza msiba itafanyika Jumapili hii ya tarehe 02 agosti, 2015 nyumbani kwa marehemu Njiro, Arusha.Misa ya shukurani na sadaka itaanza saa tatu za asubuhi na baadaye chakula cha mchana.Familia inatoa shukurani kwa wote walioshiriki kikamilifu katika shughuli za mazishi toka mwanzo hadi mwisho wa kumuweka kwenye nyumba yake ya...
10 years ago
Vijimambo04 Apr
MISA YA KUMBUKUMBU DMV JUMAMOSI APRIL 11, 2015
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/9/99/St._Joseph_Cathedral_Wheeling_WV_1.jpg)
10 years ago
Vijimambo11 Apr
MISA YA KUMBUKUMBU DMV LEO JUMAMOSI APRIL 11, 2015
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/9/99/St._Joseph_Cathedral_Wheeling_WV_1.jpg)
9 years ago
Vijimambo31 Aug
Waumini wakatoliki wa DMV waadhimisha ibada ya misa ya Kiswahili Baltimore Md.
![IMG_9991](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2015/08/img_9991.jpg?w=714)
![IMG_9954](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2015/08/img_9954.jpg?w=714)
![IMG_9952](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2015/08/img_9952.jpg?w=714)
![IMG_9956](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2015/08/img_9956.jpg?w=714)
![IMG_9975](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2015/08/img_9975.jpg?w=714)
![IMG_9977](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2015/08/img_9977.jpg?w=714)
![IMG_9988](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2015/08/img_9988.jpg?w=714)
![IMG_9998](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2015/08/img_9998.jpg?w=714)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-cUWOpn80_kg/VD952RMWqVI/AAAAAAADJ1w/Zi32YIiXJXE/s72-c/TangazolaMisa-KuadhimishaMiakaTanoyaJumuiyaOctober262014%2B(1)_0001.jpg)