Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waumini wakatoliki wa DMV waadhimisha ibada ya misa ya Kiswahili Baltimore Md.

IMG_9991Padre Honest Munishi akiongoza ibada takatifu ya misa ya Kiswahili ambayo hufanyika mara moja kwa mwezi katika kanisa katoliki la St.Edwards huko Baltimore Md Jumapili Agosti 30,2015. IMG_9954Mwenyekiti wa Jumuiya ya wakatoliki DMV Bw.Pius Mutalemwa na mama Mutalemwa wakifuatilia ibada hiyo. IMG_9952Mrs.Kessi na mwanae wakifuatilia ibada. IMG_9956Bernadeta Kaiza akiongoza kwaya kwaya ya watoto. IMG_9975Bw.Stanley akifuatilia ibada hiyo. IMG_9977Bi.Aireen na wanawe katika ibada. IMG_9988Katibu Dan Stephen akitoa matangazo. IMG_9998Bw.Patrick...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MISA YA KISWAHILI YA THANKSGIVING YAFANYIKA BALTIMORE, MARYLAND

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akiwasili Kanisani hapo kwenye misa la thanksgiving iliyofanyika leo Jumapili Novemba 30, 2014 Baltimore, Maryland nchini MarekaniPadri Honest Munishi akiongoza Misa ya Thanksgiving iliyofanyika leo Jumampili Nivemba 30, 2014 Baltimore, Maryland.
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani mhe. Liberata Mulamula akitoa shukurani zake kwa mapadri waliongoza misa ya Thanksgiving na kusisitiza umoja...

 

10 years ago

GPL

MISA YA KISWAHILI YA THANKSGIVING YAFANYIKA BALTIMORE, MARYLAND‏

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akiwasili Kanisani hapo kwenye misa la thanksgiving iliyofanyika jana Jumapili Novemba 30, 2014 Baltimore, Maryland nchini Marekani Padri Honest Munishi akiongoza Misa ya Thanksgiving iliyofanyika jana Jumampili Nivemba 30, 2014 Baltimore, Maryland. Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani mhe. Liberata Mulamula akitoa...

 

9 years ago

Vijimambo

ibada ya misa takatifu kwa lugha ya kiswahili


Mnakaribishwa sana kwenye ibada ya misa takatifu kwa lugha ya kiswahili
Ibada itafanyika katika kigango cha
Capuchin College4121 Harewood Road, NE, Washington, DC, 20017
Jumapili Tarehe 25 Octoba 2015. Saa nane kamili mchana (2:00 PM).
Karibu sana na unaombwa uwataarifu na kuwakaribisha ndugu, marafiki na jamaa zako.
Unakaribishwa kujiunga kwa mawasiliano ya barua pepe na Wakatoliki DMV anwani. Tupatie mawasiliano yako kwenda kwa:-WauminiWakatoliki@gmail.com
Kwa niaba ya Fr. Leandry Kimario, ni...

 

10 years ago

Vijimambo

Karibuni Sana Kwa Ibada ya Misa ya Kiswahili, 29 March 2015

Tumsifu Yesu Kristu Wapendwa WoteMnakaribishwa sana kwenye ibada ya misa takatifu kwa lugha ya kiswahili kwa nia ya kuwaombea Watoto Wetu Mafanikio Mashuleni itakayofanyika katika kanisa takatifu katoliki la Mtakatifu Edward (St Edward Parish), 901 Poplar Grove St, Baltimore, MD 21216, Phone: (410) 362-2000, Tarehe 29 March 2015 (Jumapili ya Matawi 2015) Saa nane kamili mchana (2:00 PM).Kwa niaba ya Baba Paroko, Padri Honest Munishi, napenda kutoa shukurani za dhati toka kwake na waumini wa...

 

10 years ago

GPL

VIJANA WAKATOLIKI WAFANYA MISA UFUKWENI

Askofu Eusebius Nzigilwa akiwaasa vijana (Hawapo pichani). ….akiwa na viongozi wengine.…

 

9 years ago

Michuzi

MISA TAKATIFU YA KUMBUKUMBU YA NYAMITI LUSINDE BALTIMORE, MARYLAND

 Picha ya mpendwa wetu Nyamiti Ivan Lusinde ikiwa kanisani siku ya Jumapili Novemba 22, 2015 siku ilikofanyika misa takatifu ya kumbukumbu na kuhudhuriwa na Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Wilson Masilingi akiwa ameongozana na mkewe pamoja na mwanae. Nyamiti alikua mfanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani alipatwa na mauti alipokua likizo Tanzania katika hospitali ya Kariuki alipokua amekwenda kwa matibabu baada ya kuugua ghafla alipokua huko na baadae kuaga Dunia Novemba...

 

11 years ago

Michuzi

DMV YAFANYA MISA YA KUMBUKUMBU NA KUOMBOLEZA KIFO CAROLINE MWAISELAGE DMV

Misa ya kumbukumbu iliyofanyika siku ya Jumamosi March 22, 2014 College Parka Maryland kwa ajili ya maerehemu Caroline Mwaiselage aliyekuwa mfanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani aliyekutwa na mauati alipokua amekwenda Tanzania march 7, 2014 mwaka huu. Kushoto ni mume wa marehemu Chris Muhoka na kulia Martin Koroso aliyekuja toka Michigan  Watoto wa marehemu.  Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

Vijimambo

MISA YA KUMBUKUMBU YA COL CLEMENT XAVIER MWIHAVA BALTIMORE, MARYLAND NCHINI MAREKANI

Picha ya Col. Clement Mwihava ikiwa mbele ya kanisa wakati wa misa.Padri Honest Munishi(kushoto) akisaidiwa na padri Filbert Tairo wakati wakiongoza misa ya kumbukumbu ya Col. Clement Mwhava iliyofanyika siku ya Jumampili Januari 4, 2015 katika kanisa la Katoliki la Mt. Edward lililopo Baltimore.Derek Mwihava akisoma somo la kwanza katika misa ya kumbukumbu ya mpendwa baba yao iliyofanyika Baltimore katika kanisa la Mt. Edward siku ya Jumapili Januari 4, 2015.Neema Tembele akisoma somo la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani