MISA YA SHUKURANI JUMAPILI DMV
Ukiwa kama ndugu, rafiki na jamaa wa karibu wa Michael Kiangio napenda kukufahamisha kuwa ndugu yetu, mpendwa wetu na rafiki yetu alipoteza baba yake mzazi last month nyumbani Tanzania.
Tunakukaribisha ushiriki nasi kwenye Misa ya shukrani ya kumuombea baba wa Michael itakayofanyika tarehe 19th April katika kanisa la The way of cross gospel ministry from 2 pm to4pm. address 405 Riggs rd NE Washington DC.
for more information call me at 443-636-1782Thanks.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo11 Oct
MISA YA SHUKURANI LEO JUMAPILI
Tunapenda kuwataarifu kuwa ibada ya kumuombea marehemu kaka yetu Raymond Malima itakuwa leo jumapili Oct/11/2015, saa kumi na mbili jioni (6:00pm) katika address ifuatayo:14428 Bradshaw Dr, Silver Spring MD 20905.Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.Bwana ametoa, Bwana ametwaa, jina la Bwana libarikiwe.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na:
Grace Meela 301-520-6303Jacque Korassa - 240-706-6831Aunty Lilly-301- 879-8104Kija Lupemba 240-353-1148
“I shall go to him, but he shall not return to me.”2 Samwel...
Kwa maelezo zaidi wasiliana na:
Grace Meela 301-520-6303Jacque Korassa - 240-706-6831Aunty Lilly-301- 879-8104Kija Lupemba 240-353-1148
“I shall go to him, but he shall not return to me.”2 Samwel...
11 years ago
MichuziDMV YAFANYA MISA YA KUMBUKUMBU NA KUOMBOLEZA KIFO CAROLINE MWAISELAGE DMV
10 years ago
Michuzi
SHUKURANI NA MISA YA KUMALIZA MSIBA

Familia ya Marehemu Mzee Richard Azza Mgaya inawaarifu ndugu, jamaa, marafiki na jirani kwamba shughuli ya kumaliza msiba itafanyika Jumapili hii ya tarehe 02 agosti, 2015 nyumbani kwa marehemu Njiro, Arusha.Misa ya shukurani na sadaka itaanza saa tatu za asubuhi na baadaye chakula cha mchana.Familia inatoa shukurani kwa wote walioshiriki kikamilifu katika shughuli za mazishi toka mwanzo hadi mwisho wa kumuweka kwenye nyumba yake ya...
10 years ago
VijimamboMisa ya Shukurani Arubaini ya Marehemu Mzee Samuel N. Luangisa
Saturday August 8, 2015.
Familia ya Marehemu Mzee Luangisa na New York Tanzania Community, inawakaribisha kwenye MISA ya Shukurani au Arubaini ya Marehemu Mzee wetu, Baba yetu na Kiongozi wetu Mzee Samuel Ntambala Luangisa (83),
Siku: Saturday August 8th, 2015
Saa: 4pm
Address: Luangisa Residence: 374 Hawthorne Terrace, Mt. Vernon, NY 10552
Misa itaongozwa na Mchungaji Mama Butiku
Mpe taarifa mwenzako...
11 years ago
Dewji Blog28 Sep
Edgar Mutta na wazazi wake wafanya misa ya shukurani

11 years ago
VijimamboMISA YA SHUKURANI YA EDGAR MUTTA SILVER SPRING, MARYLAND
11 years ago
GPLEDGAR MUTTA NA WAZAZI WAKE WAFANYA MISA YA SHUKURANI
Padri Evod Shao (kulia) akiongoza  misa ya shukurani ya Edgar Mutta  (hayupo pichani) iliyofanyika Silver Spring, Maryland nchini Marekani ya kumtolea Mungu shukurani ya kuwezesha kupoma maradhi yaliyokuwa yakimsumbua kushoto ni Padri Leandry Kimario. Edgar Mutta (kati) katika picha ya pamoja na wazazi wake wakti misa ya…
10 years ago
Vijimambo10 Nov
Tangazo la Misa - Shukurani (Thanksgiving), Marehamu Wote na Uhuru wa Tanzania, Novemba 30 2014, 2:00 PM
Karibuni Sana Wapendwa Wote
Mnakaribishwa sana kwenye ibada ya misa takatifu kwa lugha ya kiswahilikwa nia ya Kutoa Shukurani (Thanksgiving), Kuwaombea Marehemu Wote na Kusheherekea Uhuru wa Tanzania na Kenya
Ibada itafanyika katika kanisa takatifu katoliki la
Mtakatifu Edward (St Edward Parish)901 Poplar Grove St, Baltimore, MD 21216, Phone: (410) 362-2000
Tarehe 30 Novemba 2014. Saa nane kamili mchana (2:00 PM).Karibu sana na unaombwa uwataarifu na kuwakaribisha ndugu, marafiki na jamaa...
Mnakaribishwa sana kwenye ibada ya misa takatifu kwa lugha ya kiswahilikwa nia ya Kutoa Shukurani (Thanksgiving), Kuwaombea Marehemu Wote na Kusheherekea Uhuru wa Tanzania na Kenya
Ibada itafanyika katika kanisa takatifu katoliki la
Mtakatifu Edward (St Edward Parish)901 Poplar Grove St, Baltimore, MD 21216, Phone: (410) 362-2000
Tarehe 30 Novemba 2014. Saa nane kamili mchana (2:00 PM).Karibu sana na unaombwa uwataarifu na kuwakaribisha ndugu, marafiki na jamaa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania