Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSIBA MINNESOTA

Ndugu, Jamaa na Marafiki,
Familia ya ndugu Joel & Janeth Mburu inasikitika kuwataarifu juu ya  msiba wa ghafla wa mama mzazi wa Janeth na Godson  Gabagambi uliotokea leo hii asubuhi-Karagwe, nchini Tanzania.Mipango ya mazishi inaendelea kufanyika huko Karagwe, Tanzania  .
Kwa marekani, Msiba upo nyumbani kwa Ndugu Joel & Janeth Mburu, Minnesota  na watu wanakutanika nyumbani hapo kuanzia leo  kwa anwani ifuatayo:-5250 Villa WayEdina MN 55436.
Kwa Uingereza ,msiba upo kwa Peter Gabagambi ;61...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Msiba Mwingine Minnesota

Ndugu ,Jamaa na Marafiki .Tunasikitika kuwataarifu ya kuwa Mama Mzazi wa Cuthbert (CM) na Martha Lema amefariki dunia jana usiku Arusha Tanzania.Mipango ya mazishi inaendelea kule Machame ,Tanzania .
Kwa Marekani, Msiba utakuwepo nyumbani kwa CM & Martha huko Apple Valley -Minnesota.Adress:15483 Flight Way,Apple Valley, MN 55124.
 Kama ilivyo desturi yetu,tutakutanika nyumbani kwao leo jioni kuanzia saa kumi jioni kuwafariji na kuleta rambi rambi zetu kwa pamoja.Tunaomba tujitokeze...

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA YA MSIBA MINNESOTA

Ndugu, Jamaa na Marafiki,
Familia ya ndugu Joel & Janeth Mburu inasikitika kuwataarifu juu ya  msiba wa ghafla wa mama mzazi wa Janeth na Godson  Gabagambi uliotokea leo hii asubuhi-Karagwe, nchini Tanzania.Mipango ya mazishi inaendelea kufanyika huko Karagwe, Tanzania  .
Kwa marekani, Msiba upo nyumbani kwa Ndugu Joel & Janeth Mburu, Minnesota  na watu wanakutanika nyumbani hapo kuanzia leo  kwa anwani ifuatayo:-5250 Villa WayEdina MN 55436.
Kwa Uingereza ,msiba upo kwa Peter Gabagambi ;61...

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA YA MSIBA MINNESOTA NA TANZANIA

Ndugu,Jamaa na Marafiki ,
Tunasikitika kuwataarifu ya kuwa Ndugu yetu na mwanajumuiya mwenzetu Elibariki Mshomi amefiwa na mdogo wake,Robert Mshomi huko Moshi Tanzania.Mazishi yamepangwa kufanyika Jumatatu June 23 2014 nyumbani kwao Moshi.   Kama ilivyo kawaida ya desturi yetu,tunaombwa kujitokeza kumfariji ndugu yetu katika kipindi hiki kigumu.
Tutakuwa na Memorial Service,maombi  na nafasi ya watu kuleta rambi rambi siku ya jumapili June 22nd 2014 saa kumi na nusu jioni (4.30pm)...

 

10 years ago

Michuzi

Msiba Mwingine Minnesota-Update 1

Ndugu ,Jamaa na Marafiki .Tunasikitika kuwataarifu ya kuwa Mama Wuyande Maleko Lema ambaye ni Mama Mzazi wa Cuthbert (CM) na Martha Lema wa Minnesota amefariki dunia jana usiku Arusha Tanzania.Mipango ya mazishi inaendelea kule Machame ,Tanzania .
Kwa Marekani, Msiba utakuwepo nyumbani kwa CM & Martha huko Apple Valley -Minnesota.Adress:15483 Flight Way,Apple Valley, MN 55124.
 Kama ilivyo desturi yetu,tutakutanika nyumbani kwao leo jioni kuanzia saa kumi jioni kuwafariji na kuleta rambi rambi...

 

10 years ago

Vijimambo

African Development Center of Minnesota has hosted a very important meeting yesterday led by Senior U.S. Senator Amy Klobuchar and the leadership from Minnesota African Task Force Against Ebola

 Executive Director of the African Development Center of Minnesota Nasibu Sareva (Right) welcomes U.S. Senator Amy Klobuchar to African Development Center Main Office.

Executive Director of the African Development Center of Minnesota Nasibu Sareva welcomes U.S. Senator Amy Klobuchar to ADC
Executive Director of the African Development Center of Minnesota exchanges a few words with U.S Senator Amy Klobuchar
U.S Senator Amy Klobuchar exchanges a few words with Founder/Executive Director of Kofa...

 

10 years ago

Vijimambo

African Development Center of Minnesota provides Minnesota’s African immigrants financial education


Nasibu Sareva, Executive Director of African Development Center of Minnesota says “We’ve been working really hard to make sure that we continue to strive for excellence in our services.He gained inspiration and enduring leadership lessons as he watched his grandfather, Juma Suleiman Sareva, care for many people in a single household in Tanzania. “My grandad raised just about everybody,” Sareva said. “He raised his children, nieces, nephews and even grandchildren". For More Info Click...

 

10 years ago

Michuzi

MEMBE AHUDHURIA MSIBA WA MTOTO WA JENERALI MSUGURI NA KUHANI MSIBA WA JOHN NYERERE BUTIAMA MKOANI MARA

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kulia) akitoa salamu za rambi rambi kwa niaba ya Serikali wakati wa shughuli ya kuaga mwili wa Luteni mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Marehemu Martin David Msuguri wakati wa ibada ya kumuaga na mazishi yaliyofanyika nyumbani kwa Baba yake, Jenerali mstaafu David Msuguri, Butihama mkoani Mara Juni 21.2015. Marehemu Martin alifariki Juni 19 mwaka huu katika Hospitali ya Lugalo...

 

11 years ago

Michuzi

shukurani toka minnesota, marekani

Ndugu Wanajumuiya wa Minnesota/New York, Sisi watoto na familia ya Mama Lulu Mwaluko, tunapenda kutoa shukurani zetu za dhati kwa jumuiya za watanzania za Minnesota na New York, kwa msaada mkubwa wa hali na mali, na mapenzi mliyotuonyesha katika kipindi kifupi cha kumuuguza, mpaka mauti ya mama yetu mpendwa, Lulu J.M. Mwaluko aliyefariki March 7, 2014 katika hospitali ya Calvary huko Bronx, New York.
Kwa kweli hakuna maneno yanayoweza kuelezea jinsi tulivyofarijika kwa uwepo wenu kati yetu...

 

10 years ago

Vijimambo

UKODAK WA WADAU WA VIJIMAMBO PANDE ZA MINNESOTA

Uongozi wa umoja wa akina mama wa kanisa la kiswahili Minnesota kwenye sherehe ya Valentine's ball iliyofanyika jumamosi tarehe 21 ndani ya ukumbi wa Event Center. Na katika sherehe hiyo mwenyekiti wa umoja wa akina mama Bi. Florence na mumewe Bwana Gracious Msuya walitunukiwa award ya utumishi bora.
Janeth, Penuel na Mr and Mrs Peter Mutua.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani