Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msiba Mwingine Minnesota-Update 1

Ndugu ,Jamaa na Marafiki .Tunasikitika kuwataarifu ya kuwa Mama Wuyande Maleko Lema ambaye ni Mama Mzazi wa Cuthbert (CM) na Martha Lema wa Minnesota amefariki dunia jana usiku Arusha Tanzania.Mipango ya mazishi inaendelea kule Machame ,Tanzania .
Kwa Marekani, Msiba utakuwepo nyumbani kwa CM & Martha huko Apple Valley -Minnesota.Adress:15483 Flight Way,Apple Valley, MN 55124.
 Kama ilivyo desturi yetu,tutakutanika nyumbani kwao leo jioni kuanzia saa kumi jioni kuwafariji na kuleta rambi rambi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Msiba Mwingine Minnesota

Ndugu ,Jamaa na Marafiki .Tunasikitika kuwataarifu ya kuwa Mama Mzazi wa Cuthbert (CM) na Martha Lema amefariki dunia jana usiku Arusha Tanzania.Mipango ya mazishi inaendelea kule Machame ,Tanzania .
Kwa Marekani, Msiba utakuwepo nyumbani kwa CM & Martha huko Apple Valley -Minnesota.Adress:15483 Flight Way,Apple Valley, MN 55124.
 Kama ilivyo desturi yetu,tutakutanika nyumbani kwao leo jioni kuanzia saa kumi jioni kuwafariji na kuleta rambi rambi zetu kwa pamoja.Tunaomba tujitokeze...

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA MINNESOTA

Ndugu, Jamaa na Marafiki,
Familia ya ndugu Joel & Janeth Mburu inasikitika kuwataarifu juu ya  msiba wa ghafla wa mama mzazi wa Janeth na Godson  Gabagambi uliotokea leo hii asubuhi-Karagwe, nchini Tanzania.Mipango ya mazishi inaendelea kufanyika huko Karagwe, Tanzania  .
Kwa marekani, Msiba upo nyumbani kwa Ndugu Joel & Janeth Mburu, Minnesota  na watu wanakutanika nyumbani hapo kuanzia leo  kwa anwani ifuatayo:-5250 Villa WayEdina MN 55436.
Kwa Uingereza ,msiba upo kwa Peter Gabagambi ;61...

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA YA MSIBA MINNESOTA

Ndugu, Jamaa na Marafiki,
Familia ya ndugu Joel & Janeth Mburu inasikitika kuwataarifu juu ya  msiba wa ghafla wa mama mzazi wa Janeth na Godson  Gabagambi uliotokea leo hii asubuhi-Karagwe, nchini Tanzania.Mipango ya mazishi inaendelea kufanyika huko Karagwe, Tanzania  .
Kwa marekani, Msiba upo nyumbani kwa Ndugu Joel & Janeth Mburu, Minnesota  na watu wanakutanika nyumbani hapo kuanzia leo  kwa anwani ifuatayo:-5250 Villa WayEdina MN 55436.
Kwa Uingereza ,msiba upo kwa Peter Gabagambi ;61...

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA YA MSIBA MINNESOTA NA TANZANIA

Ndugu,Jamaa na Marafiki ,
Tunasikitika kuwataarifu ya kuwa Ndugu yetu na mwanajumuiya mwenzetu Elibariki Mshomi amefiwa na mdogo wake,Robert Mshomi huko Moshi Tanzania.Mazishi yamepangwa kufanyika Jumatatu June 23 2014 nyumbani kwao Moshi.   Kama ilivyo kawaida ya desturi yetu,tunaombwa kujitokeza kumfariji ndugu yetu katika kipindi hiki kigumu.
Tutakuwa na Memorial Service,maombi  na nafasi ya watu kuleta rambi rambi siku ya jumapili June 22nd 2014 saa kumi na nusu jioni (4.30pm)...

 

10 years ago

Vijimambo

Msiba wa Godfrey Rupia: update

Msiba wa Godfrey Rupia: update: Abela na Albano wanaondoka leo Jumamosi kwenda Tanzania. Kutakuwa na maombi kesho Jumapili saa kumi jioni. Nyumbani kwa Abela address: 11 Hamley St, Lynn, MA.
Account ya kupokelea michango ni Bank of America. Checking 00 4660 5330 94. Routing# 011000138 Suzana Rupia
Tunashukuru sana kwa upendo wenu. Mungu ailaze roho ya marehemu mpendwa wetu Godfrey mahali pema peponi, Amin.
Tafadhali mjulishe mwenzio

The bereavement of Godfrey Rupia: update: Abela and...

 

10 years ago

Michuzi

Msiba wa Mama Maleko Lema -Update 2

Ndugu ,Jamaa na Marafiki .Tunasikitika kuwataarifu ya kuwa Mama Mzazi wa Cuthbert (CM) na Martha Lema amefariki dunia jana usiku Arusha Tanzania.Mazishi yatafanyika alhamis kule Machame ,Tanzania .
Kwa Marekani,Msiba utakuwepo nyumbani kwa CM & Martha huko Apple Valley -Minnesota.Adress:15483 Flight Way,Apple Valley MN 55124.
 Kama ilivyo desturi yetu,tunaendelea kukutanika nyumbani kwao  ili kuwafariji na kuleta rambi rambi zetu kwa pamoja.
Jumatano 10/29/14 kutakuwa na Ibada maalum ya kuomba...

 

9 years ago

Michuzi

Update ya Msiba wa mama/shangazi/bibi yetu TAMALI LEBI MWAKYOMA.

Ndugu  Issa BAtenga wa Dar es salaam anapenda kuchua nafasi hii kwa niamba ya familia kutoa tangazo kuwa Mwili wa Marehemu wa mama/shangazi/bibi yetu TAMALI LEBI MWAKYOMA.unawasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam alasiri ya leo Jumatano saa 9 kutoka India  na ndege ya Emirates. 
Utaratibu ni kwamba Mwili huo utapelekwa moja kwa moja kwenye Hospitali ya Aghakhan kwa ajili ya kuhifadhiwa na Maandalizi..Taarifa hii ni kutokana na Kuvurugika kidogo kwa Ratiba...

 

10 years ago

Vijimambo

African Development Center of Minnesota has hosted a very important meeting yesterday led by Senior U.S. Senator Amy Klobuchar and the leadership from Minnesota African Task Force Against Ebola

 Executive Director of the African Development Center of Minnesota Nasibu Sareva (Right) welcomes U.S. Senator Amy Klobuchar to African Development Center Main Office.

Executive Director of the African Development Center of Minnesota Nasibu Sareva welcomes U.S. Senator Amy Klobuchar to ADC
Executive Director of the African Development Center of Minnesota exchanges a few words with U.S Senator Amy Klobuchar
U.S Senator Amy Klobuchar exchanges a few words with Founder/Executive Director of Kofa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani