Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Update ya Msiba wa mama/shangazi/bibi yetu TAMALI LEBI MWAKYOMA.

Ndugu  Issa BAtenga wa Dar es salaam anapenda kuchua nafasi hii kwa niamba ya familia kutoa tangazo kuwa Mwili wa Marehemu wa mama/shangazi/bibi yetu TAMALI LEBI MWAKYOMA.unawasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam alasiri ya leo Jumatano saa 9 kutoka India  na ndege ya Emirates. 
Utaratibu ni kwamba Mwili huo utapelekwa moja kwa moja kwenye Hospitali ya Aghakhan kwa ajili ya kuhifadhiwa na Maandalizi..Taarifa hii ni kutokana na Kuvurugika kidogo kwa Ratiba...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MSIBA MAREKANI NA TANZANIA WA MAMA TAMALI MWAKYOMA

BJ and Hellen Mwakyoma (Gwantwa) Wa Chicago-IL anasikitika kutangaza kifo cha Mama yao Mama  Tamali Mwakyoma, Kilichotokea nchini India juzi October 17, 2015 alikokwenda kwa matibabu. Habari ziwafikie Ndugu jamaaa na Marafiki Popote Pale walipo.
BJ na Hellen wanatarajia kuondoka Marekani Jumanne kurudi Tanzania kwa Mazishi, ambapo shughuli za awali za msiba ziko nyumbani kwa marehemu Mikocheni jijini Dar es salaam, nyuma ya jengo la Kamisheni ya Vyuo Vikuu barabara ya Rose Garden. 
Kwa pole na...

 

10 years ago

Michuzi

Msiba wa Mama Maleko Lema -Update 2

Ndugu ,Jamaa na Marafiki .Tunasikitika kuwataarifu ya kuwa Mama Mzazi wa Cuthbert (CM) na Martha Lema amefariki dunia jana usiku Arusha Tanzania.Mazishi yatafanyika alhamis kule Machame ,Tanzania .
Kwa Marekani,Msiba utakuwepo nyumbani kwa CM & Martha huko Apple Valley -Minnesota.Adress:15483 Flight Way,Apple Valley MN 55124.
 Kama ilivyo desturi yetu,tunaendelea kukutanika nyumbani kwao  ili kuwafariji na kuleta rambi rambi zetu kwa pamoja.
Jumatano 10/29/14 kutakuwa na Ibada maalum ya kuomba...

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA YA MSIBA WA BIBI MAGDALENA ONGUKA ALLONGA (MEME)

KWA NIABA YA FAMILIA YA MZEE JOHN ALLONGA WA BUTURI RORYA, NAPENDA KUWAJULISHA NDUGU JAMAA NA MARAFIKI WOTE KUWA BIBI YETU MPENDWA MAGDALENA ONGUKA(MEME) AMEAGA DUNIA TAREHE 5.2.2014 KATIKA KIJIJI CHA BUTURI AKIWA NA UMRI WA MIAKA 108 MIPANGO YA MAZISHI YANAFANYIKA KIJIJINI BUTURI, BIBI AMEACHA WATOTO WANNE, WAJUKUU 35 NA VITUKUU 42.
TUTAPEANA TAARIFA YA TARATIBU ZITAKAVYOKUWA
Michael G.Allonga Mjukuu wa Marehemu

 

10 years ago

Michuzi

Msiba Mwingine Minnesota-Update 1

Ndugu ,Jamaa na Marafiki .Tunasikitika kuwataarifu ya kuwa Mama Wuyande Maleko Lema ambaye ni Mama Mzazi wa Cuthbert (CM) na Martha Lema wa Minnesota amefariki dunia jana usiku Arusha Tanzania.Mipango ya mazishi inaendelea kule Machame ,Tanzania .
Kwa Marekani, Msiba utakuwepo nyumbani kwa CM & Martha huko Apple Valley -Minnesota.Adress:15483 Flight Way,Apple Valley, MN 55124.
 Kama ilivyo desturi yetu,tutakutanika nyumbani kwao leo jioni kuanzia saa kumi jioni kuwafariji na kuleta rambi rambi...

 

10 years ago

Vijimambo

Msiba wa Godfrey Rupia: update

Msiba wa Godfrey Rupia: update: Abela na Albano wanaondoka leo Jumamosi kwenda Tanzania. Kutakuwa na maombi kesho Jumapili saa kumi jioni. Nyumbani kwa Abela address: 11 Hamley St, Lynn, MA.
Account ya kupokelea michango ni Bank of America. Checking 00 4660 5330 94. Routing# 011000138 Suzana Rupia
Tunashukuru sana kwa upendo wenu. Mungu ailaze roho ya marehemu mpendwa wetu Godfrey mahali pema peponi, Amin.
Tafadhali mjulishe mwenzio

The bereavement of Godfrey Rupia: update: Abela and...

 

9 years ago

Vijimambo

MSIBA WA NDUGU YETU MAREHEM BI.KHADIJA ISMAIL KUBE MTAA WA AGREY ,KARIAKOO, DAR-ES-SALAAM

Tunasikitika kutangaza kifo cha ndugu yetu Bi. Khadija Ismail Kube maziko yatafanyika siku ya Ijumaa 21 -08-2015,saa 4.00 asubuhi nyumbani kwao mtaa Aggrey. Kariakoo msikiti wa Qiblatein mwenyezimungu amlaze mahala pema peponi.Taarifa zimetolewa na Masjid Qubah,Segerea mwisho,Dar.
Innalilahi Wainna Iilahi Rajiunn

 

11 years ago

Michuzi

Maendeleo ya Msiba wa Mama Kagaruki na Safari ya Marehemu Mama Harriette Peace Kagaruki kuelekea Tanzania

 Michango kwa ajili ya kufanikisha shughuli za msiba wa Marehemu Mama Harriette Peace Kagaruki aliyefariki dunia huko Philadelphia tarehe 28 April 2014 imekamilika. Mpaka sasa kiasi cha dolla 20,000 kimepatikana kama ifuatavyo:
·      Watanzania Marekani wametoa dolla 5,300 ·      Familia, ndugu na Jamaa wa Tanzania wametoa dolla 11,000 ·      Watoto wa Marehemu Erick na Mary Kagaruki wametoa kiasi kilichobakia cha dolla 3,700.   Watoto wa Marehemu Erick Kagaruki na Mary Kagaruki na...

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA BRONX NEW YORK NA TANZANIA NDUGU WATANZANIA TUNAOMBA MICHANGO YENU HILI TUWEZE KUMPUMZISHA BABA YETU MPENDWA

MAREHEMU MZEE ALFRED MAGEGE.

Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania inaungana na Familia ya Magege kwa masikitiko kutangaza kifo cha marehemu Mzee Alfred Magege kilichotokea jumamosi June 13,2015. Marehemu Alfred Magege alisumbuliwa na Saratani ya mifupa kwa zaidi ya miaka kumi. Marehemu ameacha Mke na watoto 7. Kama kawaida yetu tunaombwa watanzania tujitokeze ili kuwafariji wafiwa.Ili tukamilishe Msiba huu kiasi cha $10,000 kinahitajika.Watanzania...

 

10 years ago

Michuzi

Update ya msiba wa MAREHEMU REHEMA RAMADHANI BARAKA, mdogo wake mwenyekiti wa ASET BARAKA MSIILWA


Ifuatayo ni update ya msiba wa mdogo wake Mwenyekiti wa African Stars Entertainment (ASET) Baraka Msiilwa, Marehemu Furaha Ramadhani Baraka, kilichotokea wikiendi iliyopita huko Ubelgiji.

Taarifa ni kwamba mwili wa Marehemu mdogo wetu Furaha unaondoka Brussels kesho  usiku kwenda Zurich. Utalala Zuruch na kusafirishwa Jumatano Asubuhi kwa ndege ya shirika la Swiss Air, na unatarajiwa kuwasili Dar es salaam siku  hiyo hiyo ya Jumatano mnamo saa mbili usiku
Mazishi yamepangwa kufanyika siku ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani