Msiba wa Mama Maleko Lema -Update 2
Ndugu ,Jamaa na Marafiki .Tunasikitika kuwataarifu ya kuwa Mama Mzazi wa Cuthbert (CM) na Martha Lema amefariki dunia jana usiku Arusha Tanzania.Mazishi yatafanyika alhamis kule Machame ,Tanzania .
Kwa Marekani,Msiba utakuwepo nyumbani kwa CM & Martha huko Apple Valley -Minnesota.Adress:15483 Flight Way,Apple Valley MN 55124.
Kama ilivyo desturi yetu,tunaendelea kukutanika nyumbani kwao ili kuwafariji na kuleta rambi rambi zetu kwa pamoja.
Jumatano 10/29/14 kutakuwa na Ibada maalum ya kuomba...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo27 Oct
Maendeleo ya Msiba wa Mama Maleko Lema
Kwa Marekani,Msiba utakuwepo nyumbani kwa CM & Martha huko Apple Valley -Minnesota.Adress:15483 Flight Way,Apple Valley MN 55124.
Kama ilivyo desturi yetu,tunaendelea kukutanika nyumbani kwao ili kuwafariji na kuleta rambi rambi zetu kwa pamoja.
Jumatano 10/29/14 kutakuwa na Ibada maalum ya kuomba...
9 years ago
MichuziUpdate ya Msiba wa mama/shangazi/bibi yetu TAMALI LEBI MWAKYOMA.
Utaratibu ni kwamba Mwili huo utapelekwa moja kwa moja kwenye Hospitali ya Aghakhan kwa ajili ya kuhifadhiwa na Maandalizi..Taarifa hii ni kutokana na Kuvurugika kidogo kwa Ratiba...
10 years ago
Vijimambo07 Dec
Msiba wa Godfrey Rupia: update
Account ya kupokelea michango ni Bank of America. Checking 00 4660 5330 94. Routing# 011000138 Suzana Rupia
Tunashukuru sana kwa upendo wenu. Mungu ailaze roho ya marehemu mpendwa wetu Godfrey mahali pema peponi, Amin.
Tafadhali mjulishe mwenzio
The bereavement of Godfrey Rupia: update: Abela and...
10 years ago
Michuzi27 Oct
Msiba Mwingine Minnesota-Update 1
Kwa Marekani, Msiba utakuwepo nyumbani kwa CM & Martha huko Apple Valley -Minnesota.Adress:15483 Flight Way,Apple Valley, MN 55124.
Kama ilivyo desturi yetu,tutakutanika nyumbani kwao leo jioni kuanzia saa kumi jioni kuwafariji na kuleta rambi rambi...
11 years ago
MichuziMaendeleo ya Msiba wa Mama Kagaruki na Safari ya Marehemu Mama Harriette Peace Kagaruki kuelekea Tanzania
· Watanzania Marekani wametoa dolla 5,300 · Familia, ndugu na Jamaa wa Tanzania wametoa dolla 11,000 · Watoto wa Marehemu Erick na Mary Kagaruki wametoa kiasi kilichobakia cha dolla 3,700. Watoto wa Marehemu Erick Kagaruki na Mary Kagaruki na...
10 years ago
MichuziUpdate ya msiba wa MAREHEMU REHEMA RAMADHANI BARAKA, mdogo wake mwenyekiti wa ASET BARAKA MSIILWA
Ifuatayo ni update ya msiba wa mdogo wake Mwenyekiti wa African Stars Entertainment (ASET) Baraka Msiilwa, Marehemu Furaha Ramadhani Baraka, kilichotokea wikiendi iliyopita huko Ubelgiji.
Taarifa ni kwamba mwili wa Marehemu mdogo wetu Furaha unaondoka Brussels kesho usiku kwenda Zurich. Utalala Zuruch na kusafirishwa Jumatano Asubuhi kwa ndege ya shirika la Swiss Air, na unatarajiwa kuwasili Dar es salaam siku hiyo hiyo ya Jumatano mnamo saa mbili usiku
Mazishi yamepangwa kufanyika siku ya...
10 years ago
VijimamboMsiba wa Mama Leticia Mattei Rwechungura
Dada Leticia Mattei alikuwa mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa huko South Sudan (UNMIS) - United Nations Mission in Südan, Eastern Equatoria...
9 years ago
MichuziTANGAZO LA MSIBA WA MAMA JUDITH TARIMO
Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa marehemu Ukonga-Mombasa jijini Dar es salaam na Rombo Mahida, Mkoani Kilimanjaro.
Habari ziwafikie ndugu jamaa na marafiki wote wa ukoo wa Tarimo na Shayo, popote pale walipo.
Mwili wa marehemu unataraji kuagwa Oktoba 28, 2015 kabla ya kusafirishwa siku...
11 years ago
MichuziMaendeleo ya Msiba wa Mama Theonestina Rweyemamu