Maendeleo ya Msiba wa Mama Maleko Lema
Ndugu ,Jamaa na Marafiki .Tunasikitika kuwataarifu ya kuwa Mama Mzazi wa Cuthbert (CM) na Martha Lema amefariki dunia jana usiku Arusha Tanzania.Mazishi yatafanyika alhamis kule Machame ,Tanzania .
Kwa Marekani,Msiba utakuwepo nyumbani kwa CM & Martha huko Apple Valley -Minnesota.Adress:15483 Flight Way,Apple Valley MN 55124.
Kama ilivyo desturi yetu,tunaendelea kukutanika nyumbani kwao ili kuwafariji na kuleta rambi rambi zetu kwa pamoja.
Jumatano 10/29/14 kutakuwa na Ibada maalum ya kuomba...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi28 Oct
Msiba wa Mama Maleko Lema -Update 2
Kwa Marekani,Msiba utakuwepo nyumbani kwa CM & Martha huko Apple Valley -Minnesota.Adress:15483 Flight Way,Apple Valley MN 55124.
Kama ilivyo desturi yetu,tunaendelea kukutanika nyumbani kwao ili kuwafariji na kuleta rambi rambi zetu kwa pamoja.
Jumatano 10/29/14 kutakuwa na Ibada maalum ya kuomba...
11 years ago
MichuziMaendeleo ya Msiba wa Mama Kagaruki na Safari ya Marehemu Mama Harriette Peace Kagaruki kuelekea Tanzania
· Watanzania Marekani wametoa dolla 5,300 · Familia, ndugu na Jamaa wa Tanzania wametoa dolla 11,000 · Watoto wa Marehemu Erick na Mary Kagaruki wametoa kiasi kilichobakia cha dolla 3,700. Watoto wa Marehemu Erick Kagaruki na Mary Kagaruki na...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0ijrZoPwLXo/UvClb3xIr_I/AAAAAAAFKxU/WHMfL0lxUYI/s72-c/bbb.jpg)
Maendeleo ya Msiba wa Mama Theonestina Rweyemamu
![](http://2.bp.blogspot.com/-0ijrZoPwLXo/UvClb3xIr_I/AAAAAAAFKxU/WHMfL0lxUYI/s1600/bbb.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-BUZSJFYEywQ/UvHRWHDCRJI/AAAAAAAFK5I/CkkDouNCPCk/s72-c/bbb+(1).jpg)
Taarifa ya Maendeleo ya Msiba wa Mama Theonestina Rweyemam
![](http://2.bp.blogspot.com/-BUZSJFYEywQ/UvHRWHDCRJI/AAAAAAAFK5I/CkkDouNCPCk/s1600/bbb+(1).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f_JRc5jOdg0/Uu-IFwIsNQI/AAAAAAAFKqI/gCjzgivx4vo/s72-c/bbb.jpg)
Maendeleo ya Taarifa ya Msiba wa mama Theonestina Rweyemamu huko new york, marekani
![](http://2.bp.blogspot.com/-f_JRc5jOdg0/Uu-IFwIsNQI/AAAAAAAFKqI/gCjzgivx4vo/s1600/bbb.jpg)
Bado harambe ya kutafuta dolla 10,000 za kufanikisha mipango ya mazishi inaendelea. Tunawaomba mtafute walau muda mchache mweze kujumuika na Watanzania wenzetu...
10 years ago
GPLMAENDELEO YA MSIBA WA MAMA KULWA, DOTTO NA NICO MWAIBALE JIJINI DAR, KUSAFIRISHWA KESHO KWENDA MBEYA KWA MAZISHI
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ybieUunwRQM/VYUKkt_l2VI/AAAAAAAAHO8/yaqUqRlvF-4/s72-c/LEMA.png)
Godbless Lema Apata mpinzani Arusha ......Aja na Kauli mbiu "Chagua maendeleo usichague Soda"
![](http://3.bp.blogspot.com/-ybieUunwRQM/VYUKkt_l2VI/AAAAAAAAHO8/yaqUqRlvF-4/s1600/LEMA.png)
HARAKATI za kuwania ubunge katika Jimbo la Arusha Mjini zimeanza baada ya kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mustafa Abdulla Panju, kutangaza rasmi nia ya kugombea nafasi hiyo akiwa na kauli mbiu ya chagua maendeleo, usichague soda.Panju alitangaza rasmi nia hiyo jana katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika jijini hapa, ambapo aliwataka wanachama wa CCM kumuamini na kumpa nafasi ili apeperushe bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huuAidha, alisema...
11 years ago
MichuziMaendeleo ya Msiba Philadelphia na New York
Tunawaomba tuzidi kuchanga ili tuweze kufikia kiasi kinachohitajika na ili tuweze kufanikisha shughuli za kuurudisha mwili wa Marehemu Tanzania. Ukipata taarifa hizi...
11 years ago
MichuziMaendeleo ya Msiba New York na Philadelphia
Michango kwa ajili ya kufanikisha shughuli za msiba wa Marehemu Mama Harriette Peace Kagaruki aliyefariki dunia huko Philadelphia tarehe 28 April 2014 bado inaendelea. Mpaka sasa kiasi cha dolla 8,800 zimeshapatikana. Lengo ni kuchangisha dolla 20,000 ili kufanikisha shughuli za msiba huu uliotokea tarehe 28 April 2014. Tunawaomba tuzidi kuchanga ili tuweze kufikia kiasi kinachohitajika na ili tuweze kufanikisha shughuli za kuurudisha mwili wa Marehemu Tanzania. Ukipata taarifa hizi...