Taarifa ya Maendeleo ya Msiba wa Mama Theonestina Rweyemam
![](http://2.bp.blogspot.com/-BUZSJFYEywQ/UvHRWHDCRJI/AAAAAAAFK5I/CkkDouNCPCk/s72-c/bbb+(1).jpg)
Ratiba fupi ya shughuli za msiba wa mama Theonestina Rweyemamu ni kama ifuatavyo:
Kuaga Mwili wa Marehemu Mama Theonestina Rweyemamu itakuwa Jumatano tarehe 5 Februari 2014 kuanzia saa kumi jioni hadi saa mbili usiku. Mahala: Camelot Funeral Home, 174 Stevens Avenue, Mount Vernon, NY 10550;
Misa ya Kumwombea Marehemu itakuwa saa nne asubuhi siku ya Alhamisi tarehe 6 Februari 2014 kwenye kanisa la Moyo Mtakatifu au Sacred Heart Church. Mahala: 115 Sharpe Blvd., South Mount Vernon, NY...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f_JRc5jOdg0/Uu-IFwIsNQI/AAAAAAAFKqI/gCjzgivx4vo/s72-c/bbb.jpg)
Maendeleo ya Taarifa ya Msiba wa mama Theonestina Rweyemamu huko new york, marekani
![](http://2.bp.blogspot.com/-f_JRc5jOdg0/Uu-IFwIsNQI/AAAAAAAFKqI/gCjzgivx4vo/s1600/bbb.jpg)
Bado harambe ya kutafuta dolla 10,000 za kufanikisha mipango ya mazishi inaendelea. Tunawaomba mtafute walau muda mchache mweze kujumuika na Watanzania wenzetu...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0ijrZoPwLXo/UvClb3xIr_I/AAAAAAAFKxU/WHMfL0lxUYI/s72-c/bbb.jpg)
Maendeleo ya Msiba wa Mama Theonestina Rweyemamu
![](http://2.bp.blogspot.com/-0ijrZoPwLXo/UvClb3xIr_I/AAAAAAAFKxU/WHMfL0lxUYI/s1600/bbb.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RlfF5o26k5A/UvONK5Wyv9I/AAAAAAAFLPg/5BnL3jHA3NA/s72-c/unnamed+(11).jpg)
Shughuli za Msiba wa Mama Theonestina Rweyemamu new york, MAREKANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-RlfF5o26k5A/UvONK5Wyv9I/AAAAAAAFLPg/5BnL3jHA3NA/s1600/unnamed+(11).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ZERVkoJGFHo/Ux9RV6UoShI/AAAAAAAFS9c/mHEaRQVP53I/s72-c/20140308_184516.jpg)
Taarifa ya Maendeleo ya Msiba, New York
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZERVkoJGFHo/Ux9RV6UoShI/AAAAAAAFS9c/mHEaRQVP53I/s1600/20140308_184516.jpg)
Mama Mwaluko alikuwa akikaa Queens, New York, na alishawahi kuwa mwalimu na alifundisha high school hapa New York.
Mama Mwaluko alifariki baada ya kuugua ugonjwa wa saratani yaani kansa. Alikuwa akitibiwa huko katika hospitali ya Calvary huko Bronx, New York. Michango yenu kwa ajili ya kufanikisha shughuli za msiba huu itumwe kwenye akaunti...
11 years ago
MichuziMaendeleo ya Msiba wa Mama Kagaruki na Safari ya Marehemu Mama Harriette Peace Kagaruki kuelekea Tanzania
· Watanzania Marekani wametoa dolla 5,300 · Familia, ndugu na Jamaa wa Tanzania wametoa dolla 11,000 · Watoto wa Marehemu Erick na Mary Kagaruki wametoa kiasi kilichobakia cha dolla 3,700. Watoto wa Marehemu Erick Kagaruki na Mary Kagaruki na...
10 years ago
Vijimambo27 Oct
Maendeleo ya Msiba wa Mama Maleko Lema
Kwa Marekani,Msiba utakuwepo nyumbani kwa CM & Martha huko Apple Valley -Minnesota.Adress:15483 Flight Way,Apple Valley MN 55124.
Kama ilivyo desturi yetu,tunaendelea kukutanika nyumbani kwao ili kuwafariji na kuleta rambi rambi zetu kwa pamoja.
Jumatano 10/29/14 kutakuwa na Ibada maalum ya kuomba...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Rk2KSuo_Hiw/VfQL1eM35EI/AAAAAAAH4Nc/t2b04FC6ch4/s72-c/IMG_20150912_115432.jpg)
Taarifa za uongo kuhusu Rambirambi za Msiba wa Mama yake Aslay
Mtu huyo anatumia namba 0716281999 na amesajili kwa jina la Aslay Isihaka tunawaomba wadau na mashabiki wa Yamoto Band na Aslay wapuuze tariifa siyo za ukweli na hakuna utaratibu wa kutuma rambirambi katika simu.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Rk2KSuo_Hiw/VfQL1eM35EI/AAAAAAAH4Nc/t2b04FC6ch4/s640/IMG_20150912_115432.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-e5Ej3RD5PYs/UzotxxsfpuI/AAAAAAAFXnw/TNu9uLxH_-s/s72-c/mama+halima.jpg)
TAARIFA YA MSIBA: MAMA MZAZI WA SAID MDOE WA SALUTI5 AFARIKI DUNIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-e5Ej3RD5PYs/UzotxxsfpuI/AAAAAAAFXnw/TNu9uLxH_-s/s1600/mama+halima.jpg)
Alipata homa kali Jumapili mchana, akapelekwa hospitali (IMTU) akapata matibabu na kuruhusiwa kurudi nyumbani. Hali yake haikuwa mbaya wala ya kutia mashaka.
Jumatatu akaamka vizuri na akashinda vizuri hadi saa 12 za jioni hali ipoanza kubadilika tena. Akafariki akiwa njiani kupelekwa hospitali. Msiba uko Dar es Salaam, Mbezi Beach Old...
10 years ago
GPLMAENDELEO YA MSIBA WA MAMA KULWA, DOTTO NA NICO MWAIBALE JIJINI DAR, KUSAFIRISHWA KESHO KWENDA MBEYA KWA MAZISHI