Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shughuli za Msiba wa Mama Theonestina Rweyemamu new york, MAREKANI

Shughuli za Msiba wa Mama Theonestina Rweyemamu zinaendelea vizuri. Leo kutakuwa na misa ya Kumwombea Marehemu saa nne asubuhi kule Mount Vernon, New York na Anwani ya Kanisa ni kama ifuatavyo: The Sacred Heart Church, 115 Sharpe Blvd, South Mount Vernon, NY 10550. Jana heshima za mwisho zilitolewa ambapo Watanzania wengi walifika kuuaga mwili wa Marehemu pale Camelot Funeral Home, 174 Stevens Avenue, Mount Vernon, NY 10550. Chini ni taswira za picha za jana ni kama ifuatavyo: Sehemu ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Maendeleo ya Taarifa ya Msiba wa mama Theonestina Rweyemamu huko new york, marekani

Kufuatia taarifa ya msiba tuliyowatumia jana, tunapenda kuwakumbusha kwamba watoto wa marehemu na ndugu na jamaa watakuwepo nyumbani leo na mnaweza kwenda kuwafariji na kutoa rambi rambi zenu wakati wowote. Address ni:  40 East Sidney Avenue,  Apt # 10C , Mount Vernon,  NY 10550.  Na namba ya simu ya nyumbani ni 914-667-6456. 
Bado harambe ya kutafuta dolla 10,000 za kufanikisha mipango ya mazishi inaendelea.  Tunawaomba mtafute walau muda mchache mweze kujumuika na Watanzania wenzetu...

 

11 years ago

Michuzi

Maendeleo ya Msiba wa Mama Theonestina Rweyemamu

Familia ya Nestory Mwombeki Rweyamamu ya Mt. Vernon New York imetoa ratiba fupi ya shughuli za msiba wa mama yao mpendwa Theonestina Rweyemamu kama ifuatavyo: Kuaga Mwili wa Marehemu Mama Theonestina Rweyemamu itakuwa Jumatano tarehe 5 Februari 2014 kuanzia saa kumi jioni hadi saa mbili usiku. Mahala: Camelot Funeral Home, 174 Stevens Avenue, Mount Vernon, NY 10550; Misa ya Kumwombea Marehemu itakuwa saa nne asubuhi siku ya Alhamisi tarehe 6 Februari 2014 kwenye kanisa la Moyo Mtakatifu au...

 

10 years ago

Vijimambo

Tangazo la Misa ya Mrs Theonestina Rweyemamu - New York

Familia ya Nestory Mwombeki Rweyemamu inapenda kuwaalika wote kwenye misa ya kutimiza mwaka mmoja tangu kifo cha mama yao Theonestina Rweyemamu.

Shughuli itafanyika tarehe 1 Februari, 2015 siku ya jumapili, kuanzia saa nane mchana mpaka saa kumi na mbili jioni.

Anuani : 40 East Sidney Avenue, Mount Vernon NY 10550 (COMMUNITY ROOM).

Wote mnakaribishwa.

Asante
Mungu wetu azidi kukubariki na wewe.Doris Rweyemamu

 

11 years ago

Michuzi

Taarifa ya Maendeleo ya Msiba wa Mama Theonestina Rweyemam


Ratiba fupi ya shughuli za msiba wa mama Theonestina Rweyemamu ni kama ifuatavyo: Kuaga Mwili wa Marehemu Mama Theonestina Rweyemamu itakuwa Jumatano tarehe 5 Februari 2014 kuanzia saa kumi jioni hadi saa mbili usiku. Mahala: Camelot Funeral Home, 174 Stevens Avenue, Mount Vernon, NY 10550; Misa ya Kumwombea Marehemu itakuwa saa nne asubuhi siku ya Alhamisi tarehe 6 Februari 2014 kwenye kanisa la Moyo Mtakatifu au Sacred Heart Church. Mahala: 115 Sharpe Blvd., South Mount Vernon, NY...

 

11 years ago

Michuzi

death announcement of Mrs. Theonestina Rweyemamu

It is with deep sorrow and grief that the Rweyemamu family from Mount Vernon New York, lost their mother, Mrs. Theonestina Rweyemamu (pictured) from a long battle with aggressive cancer.

Her last wish was to be buried in Bukoba at our home – and since travel expense is extremely expensive, we are asking for a simple generous donation in order to fulfill her last wishes.

You can send your contribution to:  BANK OF AMERICA  – Account # 483044166145,  Routing # 021000322. – DORIS...

 

9 years ago

Michuzi

MSIBA MAREKANI NA TANZANIA WA MAMA TAMALI MWAKYOMA

BJ and Hellen Mwakyoma (Gwantwa) Wa Chicago-IL anasikitika kutangaza kifo cha Mama yao Mama  Tamali Mwakyoma, Kilichotokea nchini India juzi October 17, 2015 alikokwenda kwa matibabu. Habari ziwafikie Ndugu jamaaa na Marafiki Popote Pale walipo.
BJ na Hellen wanatarajia kuondoka Marekani Jumanne kurudi Tanzania kwa Mazishi, ambapo shughuli za awali za msiba ziko nyumbani kwa marehemu Mikocheni jijini Dar es salaam, nyuma ya jengo la Kamisheni ya Vyuo Vikuu barabara ya Rose Garden. 
Kwa pole na...

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA YA MSIBA WA PRIVATE BRIAN SALVA RWEYEMAMU

Private Brian Salvatory Rweyemamu
Bwana Salvatory Rweyemamu wa Kinondoni Dar es Salaam, anasikitika kutangaza kifo cha mtoto wake mpendwa Private Brian Salvatory Rweyemamu aliyefariki alfajiri ya kuamkia  tarehe 15 Mei,2014 katika hospitali ya Jeshi Lugalo jijini Dar es salaam alipokuwa akitibiwa.
Mipango ya mazishi ambayo yanatarajiwa kufanyika Jumamosi inafanyika. Msiba uko  nyumbani kwa Bwana Salvatory Rweyemamu Kinondoni jirani na Vijana Social Hall ama Mango Garden, jijini Dar es...

 

11 years ago

Michuzi

Rais Kikwete Amfariji Salva Rweyemamu na familia kwa msiba wa Private Brian

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Ofisi ya Rais Ikulu Bwana Salva Rweyemamu Kinondoni jijini Dar es Salaam kufuatia kifo cha mwanaye Private Brian Salva Rweyemamu kilichotokea jana katika hospitali ya jeshi Lugalo jijini baada ya kuugua kwa muda mfupi. Marehemu Private Brian anatarajiwa kuzikwa kesho mchana(Jumamosi) katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.  Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipa pole Bibi...

 

11 years ago

GPL

JK AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUMFARIJI SALVA RWEYEMAMU NA FAMILIA YAKE KWA MSIBA WA PRIVATE BRIAN

Waziri Mkuu Mstaafu Dkt Salim Ahmed Salim akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Ofisi ya Rais Ikulu Bwana Salva Rweyemamu Kinondoni jijini Dar es Salaam kufuatia kifo cha mwanaye Private Brian Salva Rweyemamu kilichotokea jana katika hospitali ya jeshi Lugalo jijini baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa Mkurugenzi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani