Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSIBA MAREKANI NA TANZANIA WA MAMA TAMALI MWAKYOMA

BJ and Hellen Mwakyoma (Gwantwa) Wa Chicago-IL anasikitika kutangaza kifo cha Mama yao Mama  Tamali Mwakyoma, Kilichotokea nchini India juzi October 17, 2015 alikokwenda kwa matibabu. Habari ziwafikie Ndugu jamaaa na Marafiki Popote Pale walipo.
BJ na Hellen wanatarajia kuondoka Marekani Jumanne kurudi Tanzania kwa Mazishi, ambapo shughuli za awali za msiba ziko nyumbani kwa marehemu Mikocheni jijini Dar es salaam, nyuma ya jengo la Kamisheni ya Vyuo Vikuu barabara ya Rose Garden. 
Kwa pole na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Update ya Msiba wa mama/shangazi/bibi yetu TAMALI LEBI MWAKYOMA.

Ndugu  Issa BAtenga wa Dar es salaam anapenda kuchua nafasi hii kwa niamba ya familia kutoa tangazo kuwa Mwili wa Marehemu wa mama/shangazi/bibi yetu TAMALI LEBI MWAKYOMA.unawasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam alasiri ya leo Jumatano saa 9 kutoka India  na ndege ya Emirates. 
Utaratibu ni kwamba Mwili huo utapelekwa moja kwa moja kwenye Hospitali ya Aghakhan kwa ajili ya kuhifadhiwa na Maandalizi..Taarifa hii ni kutokana na Kuvurugika kidogo kwa Ratiba...

 

11 years ago

Michuzi

Shughuli za Msiba wa Mama Theonestina Rweyemamu new york, MAREKANI

Shughuli za Msiba wa Mama Theonestina Rweyemamu zinaendelea vizuri. Leo kutakuwa na misa ya Kumwombea Marehemu saa nne asubuhi kule Mount Vernon, New York na Anwani ya Kanisa ni kama ifuatavyo: The Sacred Heart Church, 115 Sharpe Blvd, South Mount Vernon, NY 10550. Jana heshima za mwisho zilitolewa ambapo Watanzania wengi walifika kuuaga mwili wa Marehemu pale Camelot Funeral Home, 174 Stevens Avenue, Mount Vernon, NY 10550. Chini ni taswira za picha za jana ni kama ifuatavyo: Sehemu ya...

 

11 years ago

Michuzi

Maendeleo ya Taarifa ya Msiba wa mama Theonestina Rweyemamu huko new york, marekani

Kufuatia taarifa ya msiba tuliyowatumia jana, tunapenda kuwakumbusha kwamba watoto wa marehemu na ndugu na jamaa watakuwepo nyumbani leo na mnaweza kwenda kuwafariji na kutoa rambi rambi zenu wakati wowote. Address ni:  40 East Sidney Avenue,  Apt # 10C , Mount Vernon,  NY 10550.  Na namba ya simu ya nyumbani ni 914-667-6456. 
Bado harambe ya kutafuta dolla 10,000 za kufanikisha mipango ya mazishi inaendelea.  Tunawaomba mtafute walau muda mchache mweze kujumuika na Watanzania wenzetu...

 

9 years ago

Michuzi

MSIBA MAREKANI NA TANZANIA

Bettisheba Pole Ketang'enyi enzi ya uhai wakeTunasikitika kutangaza kifo cha mama Betisheba Ketangenyi, mama yake Yvonne Matinyi, Felicia Simms, Fredderek Ketangenyi pia ni Dada yake na Rossie Musika, Neema Musika, Daudi Musika, Sijaona Musika kilichotekea 9/30/15 katika hospitali ya NIH Maryland mipango ya kusafiri mwili wa marehemu inaendelea kwa mdogo wa marehemu Daudi Musika3819 Gateway terrace Burtonsville MD 20866Unaweza kuwasilianaFrederick Ketangenyi 267 809 5124Felicia Simms 240 608...

 

10 years ago

Vijimambo

Msiba Tanzania na Marekani

Patricia Kajula wa Maryland Marekani anasikitika kutangaza kifo cha baba yake mzazi Mwamakunge Kajula kilicho tokea leo Mbeya Tanzania.
Msiba upo kwa binamu yake Patricia,Jeff Deo Nkanda Address:5701 union bridge ct Bowie MD 20720
Kwa maelezo zaidi wasiliana na:Patricia:240 486 9948Jeff Deo Nkanda: 240 413 1925Dotto Haruna: 240 274 7921Betty Lulanda:240 486 7082Shukurani Magoma:202 607 1976
Bwana alitoa na sasa bwana ametwa amenitumia.

 

11 years ago

Michuzi

Maendeleo ya Msiba wa Mama Kagaruki na Safari ya Marehemu Mama Harriette Peace Kagaruki kuelekea Tanzania

 Michango kwa ajili ya kufanikisha shughuli za msiba wa Marehemu Mama Harriette Peace Kagaruki aliyefariki dunia huko Philadelphia tarehe 28 April 2014 imekamilika. Mpaka sasa kiasi cha dolla 20,000 kimepatikana kama ifuatavyo:
·      Watanzania Marekani wametoa dolla 5,300 ·      Familia, ndugu na Jamaa wa Tanzania wametoa dolla 11,000 ·      Watoto wa Marehemu Erick na Mary Kagaruki wametoa kiasi kilichobakia cha dolla 3,700.   Watoto wa Marehemu Erick Kagaruki na Mary Kagaruki na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tangazo la msiba Tanzania na Marekani


11261405_1439531623036433_198071232238341808_o

DR. ALI MZIGE wa Mikocheni, Dar es salaam anasikitika kutangaza kifo cha Dada yake MRS MARIAMU -MWAJUMA MUSISA (NEE MZIGE) kilichotokea Raleigh, North Carolina Marekani tarehe 21-06-2015. Mwili wa marehemu utaletwa Tanzania kwa ajili ya mazishi.

Tutatoa taarifa zaidi mwili utakapowasili. Kwa mawasiliano tafadhali mpigie Yussuf Mhiro 0754-609-338 / 0714-979-014.Usoma taarifa hii tafadhali wajulishe ndugu jamaa na marafiki wa Ukoo wa Humbi Ziota na Musisa. Au Kaka wa Marehemu DR. ALI A....

 

10 years ago

Vijimambo

Tangazo la msiba Marekani na Tanzania:


Familia ya Mang'ulo na ndugu Isaac Kibodya wanasikitika kutangaza kifocha bwana Abbas Khalfani Mang'ulo (68) ambaye ni baba mzazi wa KhajatSwalha Kibodya, mke wa bwana Isaac Kibodya kilichotokea Bagamoyo,Tanzania. Mazishi yamefanyika leo mchana huko Msata, Mkoa waPwani. kwa hapa Marekani msiba upo nyumbani kwa bwana na bibi Kibodya58 Vail Street, Springfield, Mass. Dua imepangwa kufanyika JumapiliJulai 19 Masjid Al Baqi 148 Fort Pleasant Avenue, Springfield, Masskuanzia saa 10...

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA MAREKANI NA TANZANIA. EDDIE MALCOM.

MSIBA MAREKANI NA TANZANIA. EDDIE MALCOLM.
Jumuiya ya Watanzania New York, New Jersey, Connecticut na Pennsylvania Pamoja na Jumuiya ya Watanzania Southern California zinaungana na Familia ya Mawhite kutangaza kifo cha Mtoto wao Eddie Ally Buna maarufu Eddie Malcolm kilichotokea Ghafla New Jersey, Marekani siku ya Jumanne August 04 2015.Mwili utasafirishwa siku ya jumaamosi kwenda Zanzibar kwa mazishi kwa Qatar Airways.Jumuiya  inawaomba Watanzania wote watakaokuwa na nafasi kuungana nasi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani