Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tangazo la msiba Marekani na Tanzania:


Familia ya Mang'ulo na ndugu Isaac Kibodya wanasikitika kutangaza kifocha bwana Abbas Khalfani Mang'ulo (68) ambaye ni baba mzazi wa KhajatSwalha Kibodya, mke wa bwana Isaac Kibodya kilichotokea Bagamoyo,Tanzania. Mazishi yamefanyika leo mchana huko Msata, Mkoa waPwani. kwa hapa Marekani msiba upo nyumbani kwa bwana na bibi Kibodya58 Vail Street, Springfield, Mass. Dua imepangwa kufanyika JumapiliJulai 19 Masjid Al Baqi 148 Fort Pleasant Avenue, Springfield, Masskuanzia saa 10...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Tangazo la msiba Tanzania na Marekani


11261405_1439531623036433_198071232238341808_o

DR. ALI MZIGE wa Mikocheni, Dar es salaam anasikitika kutangaza kifo cha Dada yake MRS MARIAMU -MWAJUMA MUSISA (NEE MZIGE) kilichotokea Raleigh, North Carolina Marekani tarehe 21-06-2015. Mwili wa marehemu utaletwa Tanzania kwa ajili ya mazishi.

Tutatoa taarifa zaidi mwili utakapowasili. Kwa mawasiliano tafadhali mpigie Yussuf Mhiro 0754-609-338 / 0714-979-014.Usoma taarifa hii tafadhali wajulishe ndugu jamaa na marafiki wa Ukoo wa Humbi Ziota na Musisa. Au Kaka wa Marehemu DR. ALI A....

 

9 years ago

Michuzi

TANGAZO LA MSIBA WA MZEE GODFREY MNGODO TANZANIA NA MAREKANI


Tunasikitika kuwaarifu kwamba mwenyekiti wetu wa kwanza wa mfuko Mr Michale Mgodo amepatwa na msiba wa baba yake mzazi Marehemu Godfrey Mngodo (pichani) uliotokea katika hospitali ya Dar Group jijini Dar es salaam juzi. 

Mipango ya mazishi inafanyika 
 nyumbani Tanzania na hapa USA kwa Mr and Mrs Mngodo.
Address yao ni 
549 Wildindingo Run, 
Westerville, 
Ohio 43081. 

Kwa maelezo  Zaidi please wasiliana na Michael Mngodo kwa kupitia number 614 446 5556, Teddy Mngodo 614 772 1591 na mwenyekiti...

 

10 years ago

Vijimambo

TANGAZO LA MSIBA DMV NA TANZANIA

Ndugu yetu, dada yetu na Mtanzania mwenzetu Rhoda Kasanga amefiwa na mpendwa baba yake mzazi siku ya Alhamisi April 16, 2015 nyumbani Tanzania.
Hapa DMV msiba upo 706 Chillum Rd, Apt 201, Hyttsville, MD 20783
Kupena pole na kufarijiana ndio malezi tuliyokulia ikiwemo upendo na ukarimu. Ukipata muda tafadhali pitia nyumbani kwa mfiwa utoe mkono wa pole au unaweza kumpigia simu 301 272 5922
Bwana ametoa, bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe.

 

9 years ago

Vijimambo

TANGAZO LA MSIBA CHICAGO NA TANZANIA

BJ and Hellen Gwantwa Mwakyoma of Chicago Illinois regret to announce the untimely and sudden death of their beloved Mother Mrs Tamali Mwakyoma. She passed away on Saturday October 17,2015, In India.Mrs Tamali will be missed by her sons, Daughters, her Grand children's, Nephews, Nieces and several other family members and friends here in the U.S, and Tanzania. BJ and Gwantwa will be travelling to Tanzania for the funeral on Tuesday.May the Almighty God grant Mrs Mwakyoma soul eternal peace,...

 

10 years ago

Michuzi

TANGAZO LA MSIBA KUTOKA FAMILIA YA NDG SEBASTIAN MGIMBA WA DAR ES SALAAM - TANZANIA

Marehemu Mathew Sebastian Mgimba Enzi za Uhai Wake.
2Timotheo 4:7 Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza Imani nimeilinda.
Familia ya Ndugu Sebastian Mgimba inasikitika kutangaza kifo cha Mpendwa wao Mathew Sebastian Mgimba kilichotokea Nchini Malaysia tarehe 20/11/2014.
Mwili wa Marehemu unatarajiwa kuwasili leo tarehe 25/11/2014 na mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwao Sinza Kumekucha.Mungu Ailaze Roho ya Marehemu Mahala Pema Peponi - Amina

 

10 years ago

Vijimambo

Msiba Tanzania na Marekani

Patricia Kajula wa Maryland Marekani anasikitika kutangaza kifo cha baba yake mzazi Mwamakunge Kajula kilicho tokea leo Mbeya Tanzania.
Msiba upo kwa binamu yake Patricia,Jeff Deo Nkanda Address:5701 union bridge ct Bowie MD 20720
Kwa maelezo zaidi wasiliana na:Patricia:240 486 9948Jeff Deo Nkanda: 240 413 1925Dotto Haruna: 240 274 7921Betty Lulanda:240 486 7082Shukurani Magoma:202 607 1976
Bwana alitoa na sasa bwana ametwa amenitumia.

 

9 years ago

Michuzi

MSIBA MAREKANI NA TANZANIA

Bettisheba Pole Ketang'enyi enzi ya uhai wakeTunasikitika kutangaza kifo cha mama Betisheba Ketangenyi, mama yake Yvonne Matinyi, Felicia Simms, Fredderek Ketangenyi pia ni Dada yake na Rossie Musika, Neema Musika, Daudi Musika, Sijaona Musika kilichotekea 9/30/15 katika hospitali ya NIH Maryland mipango ya kusafiri mwili wa marehemu inaendelea kwa mdogo wa marehemu Daudi Musika3819 Gateway terrace Burtonsville MD 20866Unaweza kuwasilianaFrederick Ketangenyi 267 809 5124Felicia Simms 240 608...

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA MAREKANI NA TANZANIA. EDDIE MALCOM.

MSIBA MAREKANI NA TANZANIA. EDDIE MALCOLM.
Jumuiya ya Watanzania New York, New Jersey, Connecticut na Pennsylvania Pamoja na Jumuiya ya Watanzania Southern California zinaungana na Familia ya Mawhite kutangaza kifo cha Mtoto wao Eddie Ally Buna maarufu Eddie Malcolm kilichotokea Ghafla New Jersey, Marekani siku ya Jumanne August 04 2015.Mwili utasafirishwa siku ya jumaamosi kwenda Zanzibar kwa mazishi kwa Qatar Airways.Jumuiya  inawaomba Watanzania wote watakaokuwa na nafasi kuungana nasi...

 

10 years ago

Michuzi

MSIBA KANSAS, MAREKANI NA KIBAHA, TANZANIA


FAMILIA YA ELISA  NA ADELITA NYITI WA KILUVYA/KIBAHA TANZANIA WANASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MTOTO WAO EMMANUEL NYITI. KILICHOTOKEA KANSAS CITY USA, SIKU YA JUMAMOSI TAREHE  06/20/2015.

HISTORIA FUPI  YA MAREHEMUEmmanuel Elisa Nyiti alizaliwa  March 21, mwaka  1973 mkoani Dar es Salaam Tanzania kabla  ya mauti kumfikia Juni 20 mwaka 2015.


Elimu ya awali aliipata katika shule ya msingi Kibaha  na baadaye akajiunga na shule ya sekondari Kibaha kutoka mwaka 1987 mpaka 1990.


Baada ya kumaliza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani