Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSIBA KANSAS, MAREKANI NA KIBAHA, TANZANIA


FAMILIA YA ELISA  NA ADELITA NYITI WA KILUVYA/KIBAHA TANZANIA WANASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MTOTO WAO EMMANUEL NYITI. KILICHOTOKEA KANSAS CITY USA, SIKU YA JUMAMOSI TAREHE  06/20/2015.

HISTORIA FUPI  YA MAREHEMUEmmanuel Elisa Nyiti alizaliwa  March 21, mwaka  1973 mkoani Dar es Salaam Tanzania kabla  ya mauti kumfikia Juni 20 mwaka 2015.


Elimu ya awali aliipata katika shule ya msingi Kibaha  na baadaye akajiunga na shule ya sekondari Kibaha kutoka mwaka 1987 mpaka 1990.


Baada ya kumaliza...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MSIBA KANSAS CITY USA NA TANZANIA

FAMILIA YA ELISA NA ADELITA NYITI WA KILUVYA/KIBAHA TANZANIA WANASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MTOTO WAO EMMANUEL NYITI. KILICHOTOKEA KANSAS CITY USA, SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 06/20/2015.

HISTORIA FUPI YA MAREHEMU
Emmanuel Elisa Nyiti (pichani) alizaliwa March 21, mwaka 1973 mkoani Dar es Salaam Tanzania kabla ya mauti kumfikia Juni 20 mwaka 2015.

Elimu ya awali aliipata katika shule ya msingi Kibaha na baadaye akajiunga na shule ya sekondari Kibaha kutoka mwaka 1987 mpaka 1990.

Baada ya...

 

9 years ago

Michuzi

MSIBA MAREKANI NA TANZANIA

Bettisheba Pole Ketang'enyi enzi ya uhai wakeTunasikitika kutangaza kifo cha mama Betisheba Ketangenyi, mama yake Yvonne Matinyi, Felicia Simms, Fredderek Ketangenyi pia ni Dada yake na Rossie Musika, Neema Musika, Daudi Musika, Sijaona Musika kilichotekea 9/30/15 katika hospitali ya NIH Maryland mipango ya kusafiri mwili wa marehemu inaendelea kwa mdogo wa marehemu Daudi Musika3819 Gateway terrace Burtonsville MD 20866Unaweza kuwasilianaFrederick Ketangenyi 267 809 5124Felicia Simms 240 608...

 

10 years ago

Vijimambo

Msiba Tanzania na Marekani

Patricia Kajula wa Maryland Marekani anasikitika kutangaza kifo cha baba yake mzazi Mwamakunge Kajula kilicho tokea leo Mbeya Tanzania.
Msiba upo kwa binamu yake Patricia,Jeff Deo Nkanda Address:5701 union bridge ct Bowie MD 20720
Kwa maelezo zaidi wasiliana na:Patricia:240 486 9948Jeff Deo Nkanda: 240 413 1925Dotto Haruna: 240 274 7921Betty Lulanda:240 486 7082Shukurani Magoma:202 607 1976
Bwana alitoa na sasa bwana ametwa amenitumia.

 

10 years ago

Vijimambo

Tangazo la msiba Marekani na Tanzania:


Familia ya Mang'ulo na ndugu Isaac Kibodya wanasikitika kutangaza kifocha bwana Abbas Khalfani Mang'ulo (68) ambaye ni baba mzazi wa KhajatSwalha Kibodya, mke wa bwana Isaac Kibodya kilichotokea Bagamoyo,Tanzania. Mazishi yamefanyika leo mchana huko Msata, Mkoa waPwani. kwa hapa Marekani msiba upo nyumbani kwa bwana na bibi Kibodya58 Vail Street, Springfield, Mass. Dua imepangwa kufanyika JumapiliJulai 19 Masjid Al Baqi 148 Fort Pleasant Avenue, Springfield, Masskuanzia saa 10...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tangazo la msiba Tanzania na Marekani


11261405_1439531623036433_198071232238341808_o

DR. ALI MZIGE wa Mikocheni, Dar es salaam anasikitika kutangaza kifo cha Dada yake MRS MARIAMU -MWAJUMA MUSISA (NEE MZIGE) kilichotokea Raleigh, North Carolina Marekani tarehe 21-06-2015. Mwili wa marehemu utaletwa Tanzania kwa ajili ya mazishi.

Tutatoa taarifa zaidi mwili utakapowasili. Kwa mawasiliano tafadhali mpigie Yussuf Mhiro 0754-609-338 / 0714-979-014.Usoma taarifa hii tafadhali wajulishe ndugu jamaa na marafiki wa Ukoo wa Humbi Ziota na Musisa. Au Kaka wa Marehemu DR. ALI A....

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA MAREKANI NA TANZANIA. EDDIE MALCOM.

MSIBA MAREKANI NA TANZANIA. EDDIE MALCOLM.
Jumuiya ya Watanzania New York, New Jersey, Connecticut na Pennsylvania Pamoja na Jumuiya ya Watanzania Southern California zinaungana na Familia ya Mawhite kutangaza kifo cha Mtoto wao Eddie Ally Buna maarufu Eddie Malcolm kilichotokea Ghafla New Jersey, Marekani siku ya Jumanne August 04 2015.Mwili utasafirishwa siku ya jumaamosi kwenda Zanzibar kwa mazishi kwa Qatar Airways.Jumuiya  inawaomba Watanzania wote watakaokuwa na nafasi kuungana nasi...

 

9 years ago

Michuzi

MSIBA MAREKANI NA TANZANIA WA MAMA TAMALI MWAKYOMA

BJ and Hellen Mwakyoma (Gwantwa) Wa Chicago-IL anasikitika kutangaza kifo cha Mama yao Mama  Tamali Mwakyoma, Kilichotokea nchini India juzi October 17, 2015 alikokwenda kwa matibabu. Habari ziwafikie Ndugu jamaaa na Marafiki Popote Pale walipo.
BJ na Hellen wanatarajia kuondoka Marekani Jumanne kurudi Tanzania kwa Mazishi, ambapo shughuli za awali za msiba ziko nyumbani kwa marehemu Mikocheni jijini Dar es salaam, nyuma ya jengo la Kamisheni ya Vyuo Vikuu barabara ya Rose Garden. 
Kwa pole na...

 

9 years ago

Michuzi

TANGAZO LA MSIBA WA MZEE GODFREY MNGODO TANZANIA NA MAREKANI


Tunasikitika kuwaarifu kwamba mwenyekiti wetu wa kwanza wa mfuko Mr Michale Mgodo amepatwa na msiba wa baba yake mzazi Marehemu Godfrey Mngodo (pichani) uliotokea katika hospitali ya Dar Group jijini Dar es salaam juzi. 

Mipango ya mazishi inafanyika 
 nyumbani Tanzania na hapa USA kwa Mr and Mrs Mngodo.
Address yao ni 
549 Wildindingo Run, 
Westerville, 
Ohio 43081. 

Kwa maelezo  Zaidi please wasiliana na Michael Mngodo kwa kupitia number 614 446 5556, Teddy Mngodo 614 772 1591 na mwenyekiti...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani