TANGAZO LA MSIBA WA MZEE GODFREY MNGODO TANZANIA NA MAREKANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-0-Ea4ZP-DP8/VfXxwY_1GRI/AAAAAAAH4eE/lsX8UJvvUrg/s72-c/Mngodo.jpg)
Tunasikitika kuwaarifu kwamba mwenyekiti wetu wa kwanza wa mfuko Mr Michale Mgodo amepatwa na msiba wa baba yake mzazi Marehemu Godfrey Mngodo (pichani) uliotokea katika hospitali ya Dar Group jijini Dar es salaam juzi.
Mipango ya mazishi inafanyika
nyumbani Tanzania na hapa USA kwa Mr and Mrs Mngodo.
Address yao ni
549 Wildindingo Run,
Westerville,
Ohio 43081.
Kwa maelezo Zaidi please wasiliana na Michael Mngodo kwa kupitia number 614 446 5556, Teddy Mngodo 614 772 1591 na mwenyekiti...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog13 Sep
JK aomboleza kifo cha aliyekuwa mmoja wa magwiji wa Tasnia ya Utangazaji nchini Mzee Godfrey Mngodo
Marehemu Mzee Godfrey Mngodo enzi za uhai wake.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kuomboleza kifo cha aliyekuwa mmoja wa magwiji wa Tasnia ya Utangazaji nchini Mzee Godfrey Mngodo ambaye alifariki dunia, Ijumaa, Septemba 11, 2015 mjini Dar es Salaam.
Katika salamu zake za rambirambi kwa Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dkt. Fenella Mukangara, Rais Kikwete amesema kuwa amesikitishwa na taarifa za kifo cha...
10 years ago
VijimamboTangazo la msiba Marekani na Tanzania:
Familia ya Mang'ulo na ndugu Isaac Kibodya wanasikitika kutangaza kifocha bwana Abbas Khalfani Mang'ulo (68) ambaye ni baba mzazi wa KhajatSwalha Kibodya, mke wa bwana Isaac Kibodya kilichotokea Bagamoyo,Tanzania. Mazishi yamefanyika leo mchana huko Msata, Mkoa waPwani. kwa hapa Marekani msiba upo nyumbani kwa bwana na bibi Kibodya58 Vail Street, Springfield, Mass. Dua imepangwa kufanyika JumapiliJulai 19 Masjid Al Baqi 148 Fort Pleasant Avenue, Springfield, Masskuanzia saa 10...
10 years ago
Dewji Blog25 Jun
Tangazo la msiba Tanzania na Marekani
DR. ALI MZIGE wa Mikocheni, Dar es salaam anasikitika kutangaza kifo cha Dada yake MRS MARIAMU -MWAJUMA MUSISA (NEE MZIGE) kilichotokea Raleigh, North Carolina Marekani tarehe 21-06-2015. Mwili wa marehemu utaletwa Tanzania kwa ajili ya mazishi.
Tutatoa taarifa zaidi mwili utakapowasili. Kwa mawasiliano tafadhali mpigie Yussuf Mhiro 0754-609-338 / 0714-979-014.Usoma taarifa hii tafadhali wajulishe ndugu jamaa na marafiki wa Ukoo wa Humbi Ziota na Musisa. Au Kaka wa Marehemu DR. ALI A....
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FYw0yZ08EH4/VBQ_yT2UH9I/AAAAAAAAXLI/TlFCivDGHso/s72-c/kilangi.jpg)
TANGAZO LA MSIBA WA MZEE IDRISA KILANGI
![](http://3.bp.blogspot.com/-FYw0yZ08EH4/VBQ_yT2UH9I/AAAAAAAAXLI/TlFCivDGHso/s1600/kilangi.jpg)
Mwili wa marehemu unataraji kusafirishwa kesho asubuhi saa 3:00 kwenda Iringa mjini kwa Mazishi.
Habari ziwafiukie Ndugu Jamaa na Marafiki wote wa Familia ya Mzee Kilangi,...
9 years ago
MichuziIBADA YA KUMBUKUMBU YA MAREHEMU GODFREY MNGODO, COLUMBUS, OHIO
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-YTWVBncG30Q/VhRNGN4o_BI/AAAAAAAEADM/IIDOQxeuDq4/s72-c/e0af04997296fa937ff6fece4c762056.jpg)
IBADA YA KUMBUKUMBU YA MPENDWA BABA YETU GODFREY MNGODO COLUMBUS. OHIO
![](http://2.bp.blogspot.com/-YTWVBncG30Q/VhRNGN4o_BI/AAAAAAAEADM/IIDOQxeuDq4/s640/e0af04997296fa937ff6fece4c762056.jpg)
Kwa maelezo zaidi na maelekezoMichael Mngodo 614 446 5565
10 years ago
Vijimambo17 Apr
TANGAZO LA MSIBA DMV NA TANZANIA
Hapa DMV msiba upo 706 Chillum Rd, Apt 201, Hyttsville, MD 20783
Kupena pole na kufarijiana ndio malezi tuliyokulia ikiwemo upendo na ukarimu. Ukipata muda tafadhali pitia nyumbani kwa mfiwa utoe mkono wa pole au unaweza kumpigia simu 301 272 5922
Bwana ametoa, bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe.
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-s_552QVGr9s/ViT-_1dCRJI/AAAAAAAAa_k/CiOBVyMaBgc/s72-c/12079492_969885916390465_6005675068092636352_n.jpg)
TANGAZO LA MSIBA CHICAGO NA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-s_552QVGr9s/ViT-_1dCRJI/AAAAAAAAa_k/CiOBVyMaBgc/s640/12079492_969885916390465_6005675068092636352_n.jpg)