Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANGAZO LA MSIBA WA MAMA JUDITH TARIMO

Familia ya Marehemu Cyprian Tarimo ya Ukonga, Mombasa Dar es Salaam inasikitika kutangaza kifo cha mama yao mpendwa Mama Judith Tarimo kilichotokea Oktoba 25,2015 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa marehemu Ukonga-Mombasa  jijini Dar es salaam na Rombo Mahida, Mkoani Kilimanjaro. 
Habari ziwafikie ndugu jamaa na marafiki wote wa ukoo wa Tarimo na Shayo, popote pale walipo. 
Mwili wa marehemu unataraji kuagwa Oktoba 28, 2015 kabla ya kusafirishwa siku...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

TANGAZO LA MSIBA WA MAMA FLORA KAAYA




Familia ya Marehemu Freddrick Nicholaus Kaaya wa Mikocheni  Dar es Salaam, wanasikitika kutangaza kifo cha mama yao mpendwa Flora Kaaya kilichotokea 11/04/2015 katika Hospitali ya TMJ.
Mwili wa Marehemu utaagwa nyumbani kwake Mikocheni siku ya jumatano Aprili 15,2015 kuanzia saa 4 asubuhi.
Mazishi yatafanyika kijiji cha Akheri –Arumeru, Arusha suku ya Alhamisi Aprili 16,2015 saa 4 Asubuhi.
 BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA, JINA LA BWANA LIHIMIDIWE.

 

11 years ago

Michuzi

TANGAZO LA MSIBA MAMA BERNADA ALOYCE NJELEKELA

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Marina Njelekela anasikitika kutengaza kifo cha mama yake mpendwa Bi. Bernada Aloyce Njelekela kilichotokea jana saa nane mchana katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Mazishi yanatarajiwa kufanyika kesho mchana Makaburi ya Agape huko Mbezi Luis.

Tumeambatanisha ratiba ya mazishi pamoja na ramani inayoonyesha ulipo msiba.


RATIBA YA MAZISHI YA MAMA BERNADA ALOYCE NJELEKELA

(26 NOV 1933 – 14 APRILI 2014)


SIKU YA JUMATANO, 16 APRILI...

 

11 years ago

Michuzi

TANGAZO LA MSIBA

FAMILIA YA GEORGE JOHNSON MPONDELA INATANGAZA KUWA MSIBA WA MZEE WAO MPENDWA GEORGE JOHNSON MPONDELA ALIYEFARIKI JUZI TAREHE 15/6/2014 KWA UGONJWA WA MOYO KATIKA  HOSPITAL YA TAIFA MUHIMBILI UTAKUWA NYUMBANI KWAKE KIGAMBONI MJI MWEMA.
 MAZISHI YATAKUWA SIKU YA ALHAMISI YA TAREHE 18/6/2014 SAA 10 JIONI MAKABURI YA KINONDONI DAR ES SALAAM,
IBADA YA MISA ITAFANYIKA KANISA LA KATOLIKI  MUHIMBILI SAA 7 MCHANA NA HESHIMA ZA MWISHO ZITATOLEWA HAPO.
KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA NAMBA...

 

10 years ago

Vijimambo

TANGAZO LA MSIBA DMV NA TANZANIA

Ndugu yetu, dada yetu na Mtanzania mwenzetu Rhoda Kasanga amefiwa na mpendwa baba yake mzazi siku ya Alhamisi April 16, 2015 nyumbani Tanzania.
Hapa DMV msiba upo 706 Chillum Rd, Apt 201, Hyttsville, MD 20783
Kupena pole na kufarijiana ndio malezi tuliyokulia ikiwemo upendo na ukarimu. Ukipata muda tafadhali pitia nyumbani kwa mfiwa utoe mkono wa pole au unaweza kumpigia simu 301 272 5922
Bwana ametoa, bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe.

 

11 years ago

Michuzi

Tangazo la Msiba Philadelphia na New York

Mama Harriette Peace Kagaruki  (pichani) amefariki dunia huko Philadelphia tarehe 28 Apil 2014. Marehemu alikuwa anaishi Tanzania na alikuwa amekuja Marekani kuwasalimia wanawe Erick Kagaruki (Ohio) na Mary Kagaruki (Philadelphia), na ndipo alipougua ghafla na baadae kuaga dunia.  Marehemu Mama Kagaruki hakuwa mkazi wa Marekani. 
Kwa maana hiyo na kwa sababu msiba huu umetokea ghafla na kwa sababu ni Mtanzania mwenzetu tunaomba tusaidiane ili tuweze kufanikisha shughuli za msiba huu...

 

10 years ago

Vijimambo

Tangazo la msiba Marekani na Tanzania:


Familia ya Mang'ulo na ndugu Isaac Kibodya wanasikitika kutangaza kifocha bwana Abbas Khalfani Mang'ulo (68) ambaye ni baba mzazi wa KhajatSwalha Kibodya, mke wa bwana Isaac Kibodya kilichotokea Bagamoyo,Tanzania. Mazishi yamefanyika leo mchana huko Msata, Mkoa waPwani. kwa hapa Marekani msiba upo nyumbani kwa bwana na bibi Kibodya58 Vail Street, Springfield, Mass. Dua imepangwa kufanyika JumapiliJulai 19 Masjid Al Baqi 148 Fort Pleasant Avenue, Springfield, Masskuanzia saa 10...

 

10 years ago

Michuzi

TANGAZO LA MSIBA DAR ES SALAAM

Bw. Elia Yobu wa Dar es Salaam anasikitika kutangaza kifo cha Mama yake Mzazi EDINECK ELIAMEN YOBU (pichani) kilichotokea leo tarehe 9.2.2014 hapa Dar es Salaam. 
Mipango ya Mazishi inafanywa nyumbani kwa mtoto wa Marehemu Tegeta Mivumoni Dar es Salaam. 
Habari ziwafikie Marko Ruwaichi Lyimo na nduguze wa Kilombero Morogoro, Vera na Jessie Mpanda wa Mwanza , Filex na Ajuae Lyimo wa Marangu Moshi na Eliwangu Jamhuri wa Arusha. Ukoo wa Yobu Lyimo, Shoo wa Machame, Mbuya, Mtui, Makundi ndg jamaa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tangazo la msiba Tanzania na Marekani


11261405_1439531623036433_198071232238341808_o

DR. ALI MZIGE wa Mikocheni, Dar es salaam anasikitika kutangaza kifo cha Dada yake MRS MARIAMU -MWAJUMA MUSISA (NEE MZIGE) kilichotokea Raleigh, North Carolina Marekani tarehe 21-06-2015. Mwili wa marehemu utaletwa Tanzania kwa ajili ya mazishi.

Tutatoa taarifa zaidi mwili utakapowasili. Kwa mawasiliano tafadhali mpigie Yussuf Mhiro 0754-609-338 / 0714-979-014.Usoma taarifa hii tafadhali wajulishe ndugu jamaa na marafiki wa Ukoo wa Humbi Ziota na Musisa. Au Kaka wa Marehemu DR. ALI A....

 

9 years ago

Vijimambo

TANGAZO LA MSIBA CHICAGO NA TANZANIA

BJ and Hellen Gwantwa Mwakyoma of Chicago Illinois regret to announce the untimely and sudden death of their beloved Mother Mrs Tamali Mwakyoma. She passed away on Saturday October 17,2015, In India.Mrs Tamali will be missed by her sons, Daughters, her Grand children's, Nephews, Nieces and several other family members and friends here in the U.S, and Tanzania. BJ and Gwantwa will be travelling to Tanzania for the funeral on Tuesday.May the Almighty God grant Mrs Mwakyoma soul eternal peace,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani