Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMANDA MPINGA: TOA TAARIFA UKIONA MWENDO KASI WA BASI

Makala: Elvan Stambuli Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, Naibu Kamishna Mohamed Mpinga ametoa wito kwa abiria kutoa taarifa waonapo dereva ana mwendo kasi katika basi. Akihojiwa na waandishi wa habari huku akirekodiwa na Global Tv Online ambao watarusha leo kupitia mtandao wa www. Globalpublishers.com, baadhi ya mahojiano hayo yalikuwa hivi: Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Mohamed R. Mpinga...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KAMANDA MPINGA: WANANCHI TUPENI TAARIFA KAMA KUNA VITENDO VYA RUSHWA

Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, Naibu Kamishna Mohamed Mpinga ametoa wito kwa wananchi kutoa taarifa mara waonapo vitendo vya rushwa. Naibu Kamishna Mpinga ameyasema hayo wakati akihojiwa na Global TV Online hivi karibuni.

 

10 years ago

Michuzi

KAMANDA MPINGA AFUNGUA NUSU FAINALI MASHINDANO YA SOKA YA BODABODA (MPINGA CUP)

 Kamanda wa Kikosi cha Polisi cha Usalama Barabarani nchini, Mohamed Mpinga akiwasalimia kwa kuonesha vidole baada ya kuzikagua timu za Foma na Mtongani katika mchezo wa nusu fainali ya michuano ya mpira wa miguu ya timu za Bodaboda ya Mpinga Cup, Mkoa wa Kipolisi wa Temeke, kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam leo.Lengo la mashindano hayo yaliyoshirikisha timu 108 ni kutoa elimu ya usalama barabarani kwa Bodaboda. Kushoto kwake ni Msimamizi wa mashindano hayo, Mrakibu Msaidizi wa...

 

10 years ago

Vijimambo

BIBI HUYU AUA MJUKUU WAKE WA MIAKA 6 KWA KUMTUPA DIRISHANI WAKATI BASI LIKIWA KATIKA MWENDO KASI HUKO SINGIDA

Bi Lawaridi sadi (46)akiwa kituo cha polisi mkoani singida kwa kosa la kutupa mtoto kwenye basi basi ililolilikuwa likielekea mkoani kigoma

Katika hali isiyo kuwa ya kawaida mama moja aliye kuwa akisafiri na mtoto wake mmoja na wajukuu zake wawili, aliamua kumtupa mjukuu wake wa miaka sita dirishani huku basi likiwa katika mwendo kasi na kusababisha kifo chake baada ya kufikishwa katika hospitali ya mkoa wa Singida.

Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa jeshi la polisi mkoani Singida...

 

11 years ago

Mwananchi

Kamanda Mpinga ‘awashukia’ watendaji

Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani nchini imekiri kuwepo kwa watendaji wake wasiokuwa na uadilifu katika kazi zao, ambao waliruhusu gari la Kampuni ya Burudani kuondoka likiwa na abiria zaidi ya 93 bila ya kukaguliwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kamanda Mpinga awaasa madereva

KAMANDA wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Mohammed Mpinga, amewaasa madereva wa mabasi ya abiria kufuata taratibu, kanuni na sheria, ili kazi yao iweze kuheshimiwa na jamii. Alitoa wito huo...

 

10 years ago

GPL

KAMANDA MPINGA AWAKEMEA MADEREVA WAZEMBE

Kamanda Mpinga akitoa ufafanuzi juu ya matukio yanayosababishwa na uzembe wa madereva. Baadhi ya wanahabari wakifuatilia mkutano huo. Askari wa kikosi cha usalama barabarani…

 

10 years ago

GPL

AJALI ZA BARABARANI ZAPUNGUA-KAMANDA MPINGA‏

Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Kamanda Mohammed Mpinga(kulia)akiongea na waandishi wa habari hivi karibuni kuhusiana na maswala ya usalama barabarani,anaeshuhudia kushoto Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Kamanda Mohammed Mpinga amesema katika mahojiano maalum kuwa madereva wameanza kuelewa kuwa tabia ya kuongea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani