KAMANDA MPINGA: TOA TAARIFA UKIONA MWENDO KASI WA BASI
![](http://api.ning.com:80/files/vD-hYj2mu0Tli6jj4mEll6RVQtzx4doXdoT5UlS*Vkk9Pnn7JdtzPGNx6yl6*Vu6kmHnhcN*9dwaEP8W0wKeMqal8mfdioTn/mpinga.jpg)
Makala: Elvan Stambuli Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, Naibu Kamishna Mohamed Mpinga ametoa wito kwa abiria kutoa taarifa waonapo dereva ana mwendo kasi katika basi. Akihojiwa na waandishi wa habari huku akirekodiwa na Global Tv Online ambao watarusha leo kupitia mtandao wa www. Globalpublishers.com, baadhi ya mahojiano hayo yalikuwa hivi: Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Mohamed R. Mpinga...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL16 Sep
KAMANDA MPINGA: WANANCHI TUPENI TAARIFA KAMA KUNA VITENDO VYA RUSHWA
10 years ago
MichuziKAMANDA MPINGA AFUNGUA NUSU FAINALI MASHINDANO YA SOKA YA BODABODA (MPINGA CUP)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-if3vY0RplMg/VJaOvdhQLFI/AAAAAAAAFd4/i5SIQY6e7w4/s72-c/ukatili%2B1.jpg)
BIBI HUYU AUA MJUKUU WAKE WA MIAKA 6 KWA KUMTUPA DIRISHANI WAKATI BASI LIKIWA KATIKA MWENDO KASI HUKO SINGIDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-if3vY0RplMg/VJaOvdhQLFI/AAAAAAAAFd4/i5SIQY6e7w4/s640/ukatili%2B1.jpg)
Katika hali isiyo kuwa ya kawaida mama moja aliye kuwa akisafiri na mtoto wake mmoja na wajukuu zake wawili, aliamua kumtupa mjukuu wake wa miaka sita dirishani huku basi likiwa katika mwendo kasi na kusababisha kifo chake baada ya kufikishwa katika hospitali ya mkoa wa Singida.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa jeshi la polisi mkoani Singida...
11 years ago
Michuzi14 Apr
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Kamanda Mpinga ‘awashukia’ watendaji
11 years ago
Tanzania Daima03 Apr
Kamanda Mpinga awaasa madereva
KAMANDA wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Mohammed Mpinga, amewaasa madereva wa mabasi ya abiria kufuata taratibu, kanuni na sheria, ili kazi yao iweze kuheshimiwa na jamii. Alitoa wito huo...
10 years ago
GPLKAMANDA MPINGA AWAKEMEA MADEREVA WAZEMBE
10 years ago
GPLAJALI ZA BARABARANI ZAPUNGUA-KAMANDA MPINGA