TIMU YA IMETOSHA YATUA MWANZA
Katibu wa Imetosha Salome Gregory akifuatiwa na Balozi Mdimu na Issaya Mwakilasa(wakuvwanga) wakiteremka toka ndegeni leo asubuhi katika uwanja wa ndege wa Mwanza.Toka kushoto Wakuvwanga, Zaytuni Biboze, Salome Gregory, Henry Mdimu na msanii wa muziki wa reggae Jhikoman Manyika wakiwa nje ya uwanja wa ndege jijini Mwanza mara baada ya kuwasili leo asubuhiUjumbe wa taasisi ya Imetosha inayojishughulisha na utoaji elimu juu ya kumaliza unyanyapaa, ukatili na mauaji kwa watu wenye ualbino...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTIMU YA MAJAJI KWA AJILI YA KUMTAFUTA MSHINDI WA TUZO YA RAIS YA HUDUMA ZA JAMII NA UWEZESHAJI YATUA NANGA KATIKA MIKOA YA SIMIYU NA MWANZA
10 years ago
MichuziTIMU YA HARAKATI YA IMETOSHA KUELEKEA KANDA YA ZIWA KUTOA SOMO
Balozi Henry Mdimu akiongea na vyombo vya habari
Taasisi isiyo ya ki serikali ya Imetosha Foundation inayopinga unyanyapaa, ukatili na mauaji dhidi ya watu wenye ualbino kwa njia ya elimu, inatarajia kutuma ujumbe mzito kanda ya ziwa hapo kesho kwa maandalizi ya ujio wa timu nzima ya taasisi hiyo iliyojikita kwenye kubadilisha mtazamo (mind set) wa watu juu ya janga hili. Ujumbe huo utaongozwa na mwenyekiti wa taasisi hiyo Bw Masoud Kipanya, Balozi Henry Mdimu Mgaya na katibu Salome...
10 years ago
MichuziTIMU YA HARAKATI YA IMETOSHA YATEMBELEA KITUO CHA BUHANGIJA, MKOANI SHINYANGA
11 years ago
GPLHOMA YA DENGU YATUA MWANZA
10 years ago
MichuziAIRTEL FURSA YATUA MWANZA
wa Mwanza wakati wa uzinduzi wa warsha maalum kwa vijana ya'Airtel
Fursa' kutoka Airtel Tanzania yenye lengo la kuwawezesha Vijana
wajasiliamali nchini iliyofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya jiji
Mwanza. Baadhi ya vijana wa mwanza wakifuatilia kwa makini mafunzo yalikuwa
yakiendeshwa na Airtel Fursa yenye lengo la kuwawezesha vijana kupata
mafunzo kwenye usimamizi wa fedha, upatikanaji wa mikopo, kufungua
akaunti ya...
11 years ago
MichuziTIMU YA TANZANIA KATIKA MICHEZO YA JUMUIYA YA MADOLA YATUA JIJINI GLASGOW, SCOTLAND
5 years ago
CCM BlogTIMU YA MADAKTARI BINGWA WA AFYA YA KINYWA NA MENO YATUA IKOLA MKOANI KATAVI
Timu ya Madaktari ikielekea kutia kambi katika Kata ya Ikola Wilaya ya Tanganyika Mkoani Katavi kutoa Elimu na huduma ya matibabu ya Afya ya Kinywa na Meno...
11 years ago
Habarileo11 Jan
Grow yatua Mwanza kumsaka Mama Shujaa wa Chakula
KAMPENI ya Grow inayotetea haki ya chakula na uzalishaji imetua jijini Mwanza kwa ajili ya kuhamasisha wanawake wakulima na wafugaji kujitokeza na kujaza fomu za kushiriki shindano la Mama Shujaa wa Chakula.
10 years ago
MichuziKAMPENI YA ZUIA AJALI SASA,TOA TAARIFA MAPEMA YATUA JIJINI MWANZA