CHADEMA HOI IFAKARA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally, leo ameanza Ziara ya siku tatu Mkoani Morogoro ambapo katika mkutano wa ndani, madiwani watatu wakiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ifakara wamejivua uwanachama wa Chadema na kujiunga na CCM.
Madiwani hao ni Mashaka Benard Mwenyekiti wa Halmashauri, Chiza Shungu diwani Kata ya Mbasa na Digna Nyangile diwani viti maalum Ifakara.
Viongozi hao wamejiunga na CCM leo tarehe 13 Februari, 2020 katika mkutano wa Katibu Mkuu na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo514 Nov
New Music: Layla (The Voice Fairy) — Hoi Hoi

Wimbo wa msanii anayechipukia, Layla A. Walden aka The Voice Fairy uitwao ‘Hoi Hoi.’ Umetayarishwa kwenye studio za AM Records.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
11 years ago
BBCSwahili15 Jul
Ni shangwe na hoi hoi Ujerumani
11 years ago
Habarileo29 Jun
JK apongeza taasisi ya afya ya Ifakara
RAIS Jakaya Kikwete amewapongeza watafiti wa taasisi ya Taasisi ya Afya Ifakara (IHI) kwa kuiletea sifa Tanzania katika fani ya utafiti nje ya nchi.
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Tigo yazindua Duka Jipya Ifakara
Katibu Tawala wilaya ya Kilombero ndugu Yahya Naniya akikata utepe ikiwa ni ishara rasmi ya uzinduzi wa duka la Tigo lililopo Ifakara mjini, kutoka kushoto ni Meneja wa operesheni kwa wateja Tigo kanda ya Pwani, Isack Shoo, Inspekta Dotto Ngimbwa kutoka ofisi ya OCD Kilombero na mwisho kulia Mkurugenzi wa Tigo kanda ya mashariki Goodluck Charles.
Mkurugenzi wa Tigo kanda ya mashariki, Goodluck Charles akizungumza machache kwenye hafla hiyo kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi.
Katibu...
10 years ago
Habarileo25 May
Barabara ya Ifakara - Mlimba kuwekwa lami
NAIBU Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi alisema Serikali imedhamiria kujenga barabara ya Ifakara - Mlimba katika kiwango cha lami kutokana na umuhimu wake wa uzalishaji mkubwa wa mazao ya chakula nchini.
9 years ago
Habarileo17 Dec
Kilombero, Ifakara washindwa kufanya uchaguzi
MABARAZA ya madiwani ya Halmashauri ya wilaya ya Kilombero pamoja na Mji Mdogo wa Ifakara mkoani Morogoro yameshindwa kuzinduliwa na kufanya uchaguzi kutokana mgawanyiko wa kisheria na kutofikiwa kwa akidi ya wajumbe na hivyo kuahirishwa kwa muda wa ndani ya siku saba.
10 years ago
Daily News04 May
Ifakara road facelift takes off next year
Daily News
THE European Union (EU) and UK are to upgrade the 60-kilometre Ifakara-Kilombero road. EU Head of Delegation to Tanzania and East Africa, Mr Filiberto Sebregondi has hinted that they plan to start construction of the road next year. Mr Sebregondi was ...
10 years ago
GPL
BASI LAGONGA TRENI NA KUUA IFAKARA
11 years ago
GPL
FUSO LAUA MWENDESHA BAISKELI IFAKARA, MORO