Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHADEMA HOI IFAKARA


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally, leo ameanza Ziara ya siku tatu Mkoani Morogoro ambapo katika mkutano wa ndani, madiwani watatu wakiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ifakara wamejivua uwanachama wa Chadema na kujiunga na CCM.

Madiwani hao ni Mashaka Benard Mwenyekiti wa Halmashauri, Chiza Shungu diwani Kata ya Mbasa na Digna Nyangile diwani viti maalum Ifakara.

Viongozi hao wamejiunga na CCM leo tarehe 13 Februari, 2020 katika mkutano wa Katibu Mkuu na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

New Music: Layla (The Voice Fairy) — Hoi Hoi

12237221_1669908713222926_427056748_n

Wimbo wa msanii anayechipukia, Layla A. Walden aka The Voice Fairy uitwao ‘Hoi Hoi.’ Umetayarishwa kwenye studio za AM Records.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

BBCSwahili

Ni shangwe na hoi hoi Ujerumani

Maelfu ya mashabiki wa soka nchini Ujerumani wamekusanyika tangu asubuhi mjini Berlin kuwakaribisha wachezaji wa timu ya taifa ya soka ambayo ilishinda kombe la dunia Brazil.

 

11 years ago

Habarileo

JK apongeza taasisi ya afya ya Ifakara

Rais Jakaya Kikwete akimsikiliza mtafiti wa chanjo ya malaria na kiongozi wa watafiti wa Ifakara Health Institute (IHI) waliopo mjini Malabo, Equatorial Guinea, Dk Ally Olot wakati walipomtembelea jana. Wengine ni mtalaamu mratibu wa tafiti za chanjo ya malaria Dk Mwajuma Chemba (wa pili kulia) na mtaalamu wa maabara, utambuzi wadudu wa malaria Elizabeth Nyakarungu. (Picha na Ikulu).RAIS Jakaya Kikwete amewapongeza watafiti wa taasisi ya Taasisi ya Afya Ifakara (IHI) kwa kuiletea sifa Tanzania katika fani ya utafiti nje ya nchi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yazindua Duka Jipya Ifakara

ifakara picha no 1

Katibu Tawala wilaya ya Kilombero ndugu Yahya Naniya akikata utepe ikiwa ni ishara rasmi ya  uzinduzi wa duka la Tigo lililopo Ifakara mjini, kutoka kushoto ni Meneja wa operesheni kwa wateja Tigo kanda ya Pwani, Isack Shoo, Inspekta Dotto Ngimbwa kutoka ofisi ya OCD Kilombero na mwisho kulia  Mkurugenzi wa Tigo kanda ya mashariki Goodluck Charles.

ifakara picha no 7

Mkurugenzi wa Tigo kanda ya mashariki, Goodluck Charles akizungumza machache kwenye hafla hiyo kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi.

ifakara picha no 8

Katibu...

 

10 years ago

Habarileo

Barabara ya Ifakara - Mlimba kuwekwa lami

Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey ZambiNAIBU Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi alisema Serikali imedhamiria kujenga barabara ya Ifakara - Mlimba katika kiwango cha lami kutokana na umuhimu wake wa uzalishaji mkubwa wa mazao ya chakula nchini.

 

9 years ago

Habarileo

Kilombero, Ifakara washindwa kufanya uchaguzi

MABARAZA ya madiwani ya Halmashauri ya wilaya ya Kilombero pamoja na Mji Mdogo wa Ifakara mkoani Morogoro yameshindwa kuzinduliwa na kufanya uchaguzi kutokana mgawanyiko wa kisheria na kutofikiwa kwa akidi ya wajumbe na hivyo kuahirishwa kwa muda wa ndani ya siku saba.

 

10 years ago

Daily News

Ifakara road facelift takes off next year


Ifakara road facelift takes off next year
Daily News
THE European Union (EU) and UK are to upgrade the 60-kilometre Ifakara-Kilombero road. EU Head of Delegation to Tanzania and East Africa, Mr Filiberto Sebregondi has hinted that they plan to start construction of the road next year. Mr Sebregondi was ...

 

10 years ago

GPL

BASI LAGONGA TRENI NA KUUA IFAKARA

Basi la Super Aljabir baada ya ajali. Basi hilo likiwa limepinduka.…

 

11 years ago

GPL

FUSO LAUA MWENDESHA BAISKELI IFAKARA, MORO

Mwili wa marehemu ukiwa eneo la ajali. Pembeni ni baiskeli yake. Baiskeli ya marehemu ikipakiwa kwenye gari.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani