Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Barabara ya Ifakara - Mlimba kuwekwa lami

Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey ZambiNAIBU Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi alisema Serikali imedhamiria kujenga barabara ya Ifakara - Mlimba katika kiwango cha lami kutokana na umuhimu wake wa uzalishaji mkubwa wa mazao ya chakula nchini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MBALI NA MVUA KUPUNGUA, BARABARA YA IFAKARA - MLIMBA BADO KIMEO

Magari yakiwa yamekwama katika barabara ya Ifakara - Mlimba mkoani Morogoro. MBALI na mvua kupungua katika maeneo mbalimbali ya nchi, bado hali si nzuri kwa watumiaji wa barabara ya Ifakara kwenda Mlimba mkoani Morogoro baada ya magari kukwama kwenye barabara hiyo ambayo bado imejaa tope. (PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715 779, KAMA UNA TUKIO NA UNGEPENDA LITOKEE KATIKA TOVUTI HII, TUTUMIE KUPITIA NAMBA YETU… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tandahimba walilia barabara ya lami

ABIRIA wanaotumia barabara itokayo Mtwara kwenda Tandahimba na Newala wameilalamikia serikali kwa kushindwa kuitengeneza kwa kiwango cha lami licha ya kusafirisha korosho wakati wa mavuno. Akizungumza na Tanzania Daima, Halima...

 

10 years ago

Habarileo

‘Barabara za lami zafikia asilimia 58’

SERIKALI imejenga barabara nchini kwa kiwango cha lami kwa asilimia 58. Pia, zipo barabara 11,154 zilizo katika viwango mbalimbali vya ujenzi kwa kiwango hicho cha lami katika maeneo mbalimbali.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sinza kujengwa barabara za lami

MEYA wa Kinondoni, Yusuph Mwenda, amesema Kata ya Sinza inatarajiwa kuwa na mfumo wa barabara za kiwango cha lami za kisasa zitakazowekwa kutokana na vyanzo vya fedha za ndani na...

 

10 years ago

Habarileo

Dumila, Rudewa wapata barabara ya lami

BARABARA ya lami kutoka Dumila hadi Rudewa katika Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, yenye urefu wa kilometa 45, inayojegwa kwa gharama ya fedha za ndani Sh bilioni 48.6.9, imezinduliwa.

 

5 years ago

Michuzi

WAKULIMAIRINGA NA MBEYA KUNUFAIKA NA BARABARA ZA LAMI


Na. Geofrey A.Kazaula

Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA unaendelea na mpango wake wa kujenga barabara za lami kupitia mradi wa Agri-Conect ili kuhakikisha wakulima wanaweza kusafirisha mazao yao kwa urahisi kutoka mashambani hadi viwandani na sokoni.

Mradi huo wa Agri–Conect unaotekelezwa katika Mikoa ya Mbeya na Iringa umepokelewa kwa shangwe na wananchi wa maeneo hayo nakueleza kuwa wanaona kama ndoto kujengewa barabara za lami na kwamba kupitia barabara hizo watajikomboa...

 

10 years ago

GPL

WIZI MTUPU BARABARA YA LAMI TABATA

Sehemu ya barabara hiyo ilivyoharibika. WAKAZI na watumiaji wa barabara ya lami iendayo Chuo cha Ualimu cha St Mary kulichopo Tabata, jijini Dar es Salaam inalalamikiwa kwa kujengwa chini ya kiwango. Wakizungumza na GPL wakazi hao walisema: “Huu ni uchakachuaji uliopitiliza, haiwezekani barabara ijengwe Mei mwaka jana sasa hivi iwe imeharibika kiasi hiki, huu… ...

 

9 years ago

Habarileo

Zitto aahidi barabara za lami Kigoma

KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Kabwe Zitto amesema kama wananchi wakiwachagua wagombea wa ubunge katika majimbo manane wa mkoa wa Kigoma kutoka chama hicho, watahakikisha barabara kutoka mji wa Nyakanazi yenye urefu wa kilometa 340 inajengwa kwa kiwango cha lami.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wizara yaahidi barabara za lami pembezoni

WIZARA ya Ujenzi imeanza kutekeleza mpango wa kujenga barabara kwa kiwango cha lami zilizopo pembezoni mwa mji ili kupunguza msongamano wa magari jijini Dar es Salaam. Mkuu wa Kitengo cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani