MBALI NA MVUA KUPUNGUA, BARABARA YA IFAKARA - MLIMBA BADO KIMEO
![](http://api.ning.com:80/files/JKksqYJJ9Yi5LA9KxwzaMJbn*y6XnHmVdNemfCRhwM0BPbMszTkkcNnpS1VWQslIg5bV1OrD9fqjpnKL8t2wF5*VaTtRSchC/BARABARAIFAKARA2.jpg?width=650)
Magari yakiwa yamekwama katika barabara ya Ifakara - Mlimba mkoani Morogoro. MBALI na mvua kupungua katika maeneo mbalimbali ya nchi, bado hali si nzuri kwa watumiaji wa barabara ya Ifakara kwenda Mlimba mkoani Morogoro baada ya magari kukwama kwenye barabara hiyo ambayo bado imejaa tope. (PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715 779, KAMA UNA TUKIO NA UNGEPENDA LITOKEE KATIKA TOVUTI HII, TUTUMIE KUPITIA NAMBA YETU… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo25 May
Barabara ya Ifakara - Mlimba kuwekwa lami
NAIBU Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi alisema Serikali imedhamiria kujenga barabara ya Ifakara - Mlimba katika kiwango cha lami kutokana na umuhimu wake wa uzalishaji mkubwa wa mazao ya chakula nchini.
11 years ago
Michuzi14 Apr
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-X9uFhmcosWo/UwzIrQwpkjI/AAAAAAAFPg0/Gbj5sZTYs-c/s72-c/unnamed+(38).jpg)
MAMLAKA YA HALI YA HEWA (TMA) YAKUTANA NA WADAU WA SEKTA MBALI MBALI KUJADILI UTABIRI WA MVUA ZA MSIMU KWA MWEZI MACHI MPAKA MEI (MASIKA)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X9uFhmcosWo/UwzIrQwpkjI/AAAAAAAFPg0/Gbj5sZTYs-c/s1600/unnamed+(38).jpg)
Kila mwaka mwezi Februari kabla ya kutoa utabiri wa msimu Mamlaka hukutana na wadau wa sekta mbali mbali nchini ili kujadili utabiri wa msimu huo wa mvua za MASIKA kwa kipindi cha miezi ya Machi hadi Mei na kuwapa wadau nafasi ya...
10 years ago
Habarileo14 May
Makali ya mvua Dar kupungua kuanzia J’mosi
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema mvua za mfululizo zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam zitaendelea kunyesha na kwamba zinatarajia kupungua mwishoni mwa wiki hii.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/PMGqvJ-jNYE/default.jpg)
5 years ago
BBCSwahili19 May
Wasp-76b: Sayari ya mbali ambapo 'mvua hunyesha ya vyuma'
11 years ago
Mwananchi11 Apr
Mvua yakata mawasiliano ya barabara
11 years ago
Mwananchi13 Apr
Mvua yaharibu barabara Tanga
11 years ago
Habarileo11 Feb
Mvua yakata barabara Dar - Arusha
MVUA kubwa zilizonyesha usiku wa kuamkia jana mkoani Kilimanjaro, zimekata mawasiliano ya barabara kuu ya Dar es Salaam-Arusha na kusababisha magari kukwama kwa saa nane Hedaru wilayani hapa.