Snura: Muziki ukinishinda nakuwa msusi
NA THERESIA GASPER,
MSANII wa kizazi kipya, Snura Mushi, ameweka wazi kwamba kama kazi za sanaa anazofanya hazitomwendea vema atarudi katika kazi yake ya ususi.
Snura alisema kazi hiyo anaimudu na kama hasingekuwa msanii angeitumikia hadi leo kwa kuwa haikuwahi kumwangusha kiuchumi.
“Nilikuwa msusi mzuri kiasi kwamba sikukosa wateja lakini kutokana na majukumu kunizidi katika sanaa ya muziki na maigizo nimeamua kuikacha kwa sasa lakini ipo siku nitairudia,” alisema.
Snura kwa sasa anatamba...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wBi6IgNyVl9EYfObo3ljuRhW*v5Q88u4BV3CfrRqw5gEwcxL59GUxWf5*PseW8eSH2twmqdQ4BJVcYLlCrPpFPftunOPlTA1/wastara.jpg?width=650)
WASTARA: NIKIKUMBATIWA NAKUWA HOI
10 years ago
BBCSwahili22 Sep
Westgate:Msusi aliyenusurika anavyojikimu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3WL4yNYnOob-eDRVbYhXo03OG5oCL5Rz69HBhdLiLoKclxS-ELU20XBMyepwyw7gW9uzbtN*n3*MEh70pGAxzlDE9SqPtyLS/TABORA.jpg?width=650)
MSUSI WA SALUNI AFIA GESTI!
10 years ago
CloudsFM05 Dec
MSUSI WA SALOON AFIA GESTI
Askari polisi pamoja na baadhi ya viongozi wa Serikali ya mtaa kata ya Gongoni manispaa ya Tabora akiangalia mwili wa mwanaume mmoja ambaye ni msusi katika moja ya Saloon za wanawake manispaa ya Tabora inayofahamika kama HK.
Mwanaume huyo ambaye amefahamika kwa jina la Ramadhani amekutwa amefariki dunia akiwa chumbani kwake katika nyumba ya kulala wageni inayofahamika kwa jina la SALAMA GUEST ambapo ilidaiwa kuwa alikuwa ameishi katika nyumba hiyo kwa muda wa siku tatu na hatimaye kufikwa na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UQSvRDwuxJL3ED0weh4GKniy58gmXp*Rt13JT*LhyIyxxQ1gDDjPQKHWl*K3T-QLXaS5H5134752IBlsTKow9szAi-DktGif/001.ZUWENA.jpg?width=650)
MSUSI ALIYEJISHINDIA SHILINGI MILIONI 10/= AKABIDHIWA KITITA CHAKE
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9ozIPsjL7Ck/VRVZlWAAn1I/AAAAAAAHNoo/6wchbTZTkZw/s72-c/001.ZUWENA.jpg)
MSUSI ALIYEJISHINDIA SHILINGI MILIONI 10/- ZA VODACOM AKABIDHIWA KITITA CHAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-9ozIPsjL7Ck/VRVZlWAAn1I/AAAAAAAHNoo/6wchbTZTkZw/s1600/001.ZUWENA.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OfvubK0P8n4/VRVZlnqjhSI/AAAAAAAHNoc/grTjPzBaUX0/s1600/003.ZUWENA.jpg)
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Asha Bakari: Msusi asiyekuwa uwezo wa kuona anavyojikimu kimaisha Uganda
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2M99qCk4VAQ/VIBgc3Ywy2I/AAAAAAAALw8/pSSz0Hilco8/s72-c/KIFO%2BGUEST%2BHOUSE.jpg)
MSUSI WA HK SALOON AFIA GUEST HOUSE,KIFO CHAKE CHAGUBIKWA NA UTATA
![](http://3.bp.blogspot.com/-2M99qCk4VAQ/VIBgc3Ywy2I/AAAAAAAALw8/pSSz0Hilco8/s1600/KIFO%2BGUEST%2BHOUSE.jpg)
9 years ago
Bongo514 Dec
Beka Ibrozama: Muziki wa biashara usitufanye tuutupe muziki wa asili ya Tanzania
![beka](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/beka-300x194.jpg)
Muimbaji aliyewahi kutamba na wimbo wake ‘Natumaini’, Beka Ibrozama ameonya kuwa kama wasanii watajisahau na kufanya zaidi ule wanaouita muziki wa biashara wenye kukopa vionjo vya nje, muziki wenye asili ya Tanzania utapotea.
Akiongea kwenye kipindi cha Chill na Sky hivi karibuni, Beka alisema pamoja na kufanya nyimbo za kisasa, bado amekuwa akitumia muziki wenye asili ya Tanzania kumpa inspiration.
“Nasikiliza tu jinsi muziki unavyoelekea, naona ni muziki ambako upo wa kukopi sana, watu...