Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanawake Tanzania wazungumza na BBC

BBC itafanya mjadala maalum unaohusu wanawake mia moja kutoka sehemu mbali mbali nchini Tanzania

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wanawake 5 kupigania taji la soka la BBC

Mshindi wa taji hilo atatangazwa mnamo mwezi May.

 

9 years ago

Michuzi

Msimu wa BBC wa Wanawake 100 wawadia 2015

Msimu huu tutauliza iwapo habari zinazoangaziwa na mashirika ya habari zinawadhalilisha wanawake au la, tujadili pia shinikizo za kutakiwa kuwa ‘msichana mzuri’, pamoja na kutoa orodha ya kila mwaka ya ‘Wanawake 100’ huu ukiwa ndio mwaka wa tatu kufanya hivyo.
Msimu wa BBC wa Wanawake 100 utarejea mwezi huu, ukiangazia maisha ya wanawake maeneo mbalimbali duniani. Mradi wa Wanawake 100 ulizinduliwa 2013 na kuanzisha ahadi ya BBC ya kuwakilisha wanawake vyema kwenye habari zake kimataifa. Sasa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanawake 100 wa BBC 2015: Nani wenye msukumo zaidi?

Wanawake 100 wenye msukumo duniani mwaka wa 2015 wameorodheshwa na BBC huku msimu wa kuangazia wanawake uking'oa nanga tena.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanafunzi bora wazungumza

Mwanafunzi Lissa Mimbi aliyeshika nafasi ya kwanza kitaifa mtihani wa kidato cha sita katika masomo ya Uchumi, Jiografia na Hesabu (EGM), ni mwanafunzi anayeweza kuwa na kipaji maalumu.

 

11 years ago

Mwananchi

Wazazi wa wanafunzi bora wazungumza

Wazazi wa wanafunzi kumi bora katika matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne uliofanyika mwaka jana, wameeleza kufurahishwa na matokeo hayo, huku mwingine akisema alitabiri mapema ushindi huo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watoto wazungumza lugha isiofahamika

Watoto watatu kutoka kijiji cha Barca katika kaunti ndogo ya Aber Wilayani Oyam nchini Uganda wameanza kuzungumza lugha tofauti.

 

9 years ago

Michuzi

MABALOZI IRENE MKWAMA WAZUNGUMZA NA RAIS WA ZANZIBAR



  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Uholanzi Irene Florence Mkwama alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kumuaga Rais leo. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na  Balozi Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Uholanzi Irene Florence Mkwama alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kumuaga Rais leo. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani