Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanafunzi bora wazungumza

Mwanafunzi Lissa Mimbi aliyeshika nafasi ya kwanza kitaifa mtihani wa kidato cha sita katika masomo ya Uchumi, Jiografia na Hesabu (EGM), ni mwanafunzi anayeweza kuwa na kipaji maalumu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wazazi wa wanafunzi bora wazungumza

Wazazi wa wanafunzi kumi bora katika matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne uliofanyika mwaka jana, wameeleza kufurahishwa na matokeo hayo, huku mwingine akisema alitabiri mapema ushindi huo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Shule, wanafunzi bora Dar wazawadiwa

KAIMU Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Raymond Mushi, amewataka viongozi wa elimu pamoja na wamiliki wa shule nchini kuwa na utaratibu wa kufanya tathimini za mara kwa mara...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanafunzi bora CBE wapata tuzo

TZ-College-of-Business-Education

Na. Aron Msigwa – MAELEZO

Chuo cha Elimu ya Biashara kampasi ya Dar es salaam kimetoa tuzo kwa wanafunzi bora 12 waliohitimu na kufanya vizuri katika masomo yao kwa mwaka wa masomo 2014/2015 ikiwa ni sehemu ya utaratibu wa chuo hicho kuenzi na kuthamini mchango walioutoa katika maendeleo ya taaluma chuoni hapo.

Akikabidhi tuzo hizo katika hafla fupi iliyofanyika jana jijini Dar es salaam, aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na mwenyekiti wa sasa wa wanafunzi ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Wafundisheni wanafunzi matumizi bora ya mitandao’

WALIMU mkoani hapa wametakiwa kushirikiana na wazazi katika kuwafundisha wanafunzi matumizi mazuri ya mitandao hususan simu za mikononi katika mazingira yasiyoharibu maadili yao. Akizungumza katika mahafali ya kuhitimu darasa la...

 

10 years ago

Michuzi

CBE YATOA TUZO KWA WANAFUNZI BORA

Na. Aron Msigwa – MAELEZO
Chuo cha Elimu ya Biashara kampasi ya Dar es salaam kimetoa tuzo kwa wanafunzi bora 12 waliohitimu na kufanya vizuri katika masomo yao kwa mwaka wa masomo 2014/2015 ikiwa ni sehemu ya utaratibu wa chuo hicho kuenzi na kuthamini mchango walioutoa katika maendeleo ya taaluma chuoni hapo.
Akikabidhi tuzo hizo katika hafla fupi iliyofanyika leo jijini Dar es salaam, aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na mwenyekiti wa sasa wa wanafunzi  waliomaliza...

 

11 years ago

GPL

WANAFUNZI BORA WA SAYANSI WAENDA DUBLIN IRELAND

 Mwakilishi kutoka Ubalozi wa Ireland nchini, Rita Bowen (wa pili kushoto) akikabidhi zawadi kwa mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Ilongelo   ya Singida, Jafari Ndagula mmoja wa washindi wawili wa jumla wa  shindano la Wanasayansi Chipukizi Tanzania 2013 (YST) katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Jafari na mwenzake Fidel Samwel (hayupo pichani) wataiwakilisha Tanzania katika sherehe...

 

9 years ago

Michuzi

WANAFUNZI NA WALIMU BORA WA MASOMO YA SAYANSI WANEEMEKA NA NMB

 Meneja Mwandamizi wa Benki Upande wa Taasisi NMB, Noelina Kivaria (kushoto) akimkabidhi Katibu mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawii wa Jamii, Dkt. Donan Mmbando (kulia) tuzo ya mfano wa hundi ya shilingi milioni 10 kwa niaba ya wanafunzi nane na walimu wanne bora wa masomo ya biolojia na kemia.  
Meneja Mwandamizi wa Benki Upande wa Taasisi NMB, Noelina Kivaria akizungumza wakati wa hafla ya utoaji tuzo kwa wanafunzi na walimu bora wa masomo ya biolojia na kemia kitaifa kidato cha nne na sita...

 

10 years ago

Mwananchi

Nani anajali matumizi ya vyakula bora kwa wanafunzi shuleni?

Sanura Bushiri (jina sio lake) anasoma darasa la nne katika Shule ya Msingi ya Majani ya Chai iliyopo Manispaa ya Ilala mkoani Dar es Salaam.

 

9 years ago

GPL

WANAFUNZI NA WALIMU BORA WA MASOMO YA SAYANSI WANEEMEKA NA NMB‏

Meneja Mwandamizi wa Benki Upande wa Taasisi NMB, Noelina Kivaria (kushoto) akimkabidhi Katibu mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Donan Mmbando (kulia) tuzo ya mfano wa hundi ya shilingi milioni 10 kwa niaba ya wanafunzi nane na walimu wanne bora wa masomo ya baiolojia na kemia. Meneja Mwandamizi wa Benki Upande waTaasisi NMB, Noelina Kivaria akizungumza wakati wa hafla ya utoaji tuzo kwa wanafunzi na walimu bora wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani